Madrid boy
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 895
- 615
Jombaa nyie mnaijua vita???Vita gani mlishawahi kupigana vita gani kwani nyie Wakenya mlipigana mlianza kwa mbwembwe na Al shabab tukazani Al shabab inaisha kwa zile mbwembwe zenu mlipoanza kuingia Somalia mkaishi kwenda kulinda Amani kama Amisonwatanzania muishi kuomba vita isiwai tokea na sisi (kenya) juu recce squad+gsu itamaliza tpdf
Try us...si empty wordsHahaha kdf (nmeliandka kw herufi ndogo coz hamna jeshi hapo) mpk Sasa wanatolewa jasho na vimgambo under 15 vya Somalia.
Sasa unahamuru km Nani? Kwl kenya hamna jesh hata mana y vta havjui kaz porojoTry us...si empty words
maanake nikakuambia msiwai omba vita na Kenya....al shabab ni wanamgambo kama tpdf tofauti in kuwa shabab wanajificha ficha lakini nyinyi in a open battle hamutuwezi period!!!!!Jombaa nyie mnaijua vita???Vita gani mlishawahi kupigana vita gani kwani nyie Wakenya mlipigana mlianza kwa mbwembwe na Al shabab tukazani Al shabab inaisha kwa zile mbwembwe zenu mlipoanza kuingia Somalia mkaishi kwenda kulinda Amani kama Amison
wewe achana na masuala ya ndani ya Kenya.....hats nyinyi waruhusu wachina wapige kambi hapo bongo kwa sababu mnapenda kujilinganisha na sisi ......pwahahahahaha .... nawahurumiaNyie Wakenya mnajigamba mnaweza kutupiga kwa sababu mmetoa ardhi yenu mkawapa Waingereza wameweka jeshi Lao hapo kwa madhumuni ya kuwasaidia endapo vita itatokea.Kama kuna Mkenya anaejiamini akatae kama hamna kambi ya jeshi la Wingereza hapo kenya
Peleka upumbavu wako kenya mnajeshi gani vilaza nyie kajifananisheni na malawi mbuzi nyie wa alshababu mkiwaweza hao ndio kidogo mtakua mmeanza jifunza kupambanmaanake nikakuambia msiwai omba vita na Kenya....al shabab ni wanamgambo kama tpdf tofauti in kuwa shabab wanajificha ficha lakini nyinyi in a open battle hamutuwezi period!!!!!
Wachina wa nini sisi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa taarifa yako Wamarekani walikua wanampango wakuweka kambi yao ya Kijeshi bongo kipindi cha Kikwete watu wakakataa msemaji wa Jeshi akasema hatutawaruhusu hata kuweka karakana yao maana wakishaweka karakana lazima watajazana na tayari it awkwa kambi.Muwashukuru jeshi la Wingereza hapo kenya maana al shabab wangesha wamaliza.wewe achana na masuala ya ndani ya Kenya.....hats nyinyi waruhusu wachina wapige kambi hapo bongo kwa sababu mnapenda kujilinganisha na sisi ......pwahahahahaha .... nawahurumia
Najua jeshi la Wingereza linawapa kiburi hapo Kenya Unasema sisi wanamgambo lakini tunajiamini tunajilinda wenyewe nyie bado mnalindwa na wakolooni [emoji12] [emoji12] Halafu nasikia wananchi wa maeneo hayo walikua wanalalamika wanabakw.. ... Usije nitolea povu niliona mwenyewe kwenye taarifa ya habari sijawahi kuja kenya napasikia tu nadhani habari unayomaanake nikakuambia msiwai omba vita na Kenya....al shabab ni wanamgambo kama tpdf tofauti in kuwa shabab wanajificha ficha lakini nyinyi in a open battle hamutuwezi period!!!!!
uscatch mafeelings iakini kaa ukijua kuwa tpdf ni wanamgambo tu ambao vita yao ni kupigana na wakora was Congo tuWachina wa nini sisi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa taarifa yako Wamarekani walikua wanampango wakuweka kambi yao ya Kijeshi bongo kipindi cha Kikwete watu wakakataa msemaji wa Jeshi akasema hatutawaruhusu hata kuweka karakana yao maana wakishaweka karakana lazima watajazana na tayari it awkwa kambi.Muwashukuru jeshi la Wingereza hapo kenya maana al shabab wangesha wamaliza.
Endelea kujipa moyo sawa Jombaauscatch mafeelings iakini kaa ukijua kuwa tpdf ni wanamgambo tu ambao vita yao ni kupigana na wakora was Congo tu
hehehe.but UKWELI UNAUMAEndelea kujipa moyo sawa Jombaa
tpdf=all shabab yaani wote in vimgambo tu na hamutakuja kuiweza the might KDF comeHahaha kdf (nmeliandka kw herufi ndogo coz hamna jeshi hapo) mpk Sasa wanatolewa jasho na vimgambo under 15 vya Somalia.
Kdf haiwezi kujaribu kupambana na jeshi imara la jwtz, yutawachapa mpaka dakika ya mwisho, jeshi la Tanzania ni hatari kuliko hao mazwazwa wa kdf.hehehe.but UKWELI UNAUMA
naona umeanza kutokwa povu na bado....... muziki wetu tutaja kuwapa tu usijali na mtadance venye tunatakaKdf haiwezi kujaribu kupambana na jeshi imara la jwtz, yutawachapa mpaka dakika ya mwisho, jeshi la Tanzania ni hatari kuliko hao mazwazwa wa kdf.
Mkuu tena hyo ilkuwa kigamboni, walkuwa wanataka tukawanyimaWachina wa nini sisi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa taarifa yako Wamarekani walikua wanampango wakuweka kambi yao ya Kijeshi bongo kipindi cha Kikwete watu wakakataa msemaji wa Jeshi akasema hatutawaruhusu hata kuweka karakana yao maana wakishaweka karakana lazima watajazana na tayari it awkwa kambi.Muwashukuru jeshi la Wingereza hapo kenya maana al shabab wangesha wamaliza.
Nyie hamna kitu mnaweza tufanya, waethiopia wanawadunda, Uganda wanawadharau, Al Shabab wanawaua. Wenyewe kwa wenyewe hamna umoja ni wakabila extremes.naona umeanza kutokwa povu na bado....... muziki wetu tutaja kuwapa tu usijali na mtadance venye tunataka
wahabeshi wanaujua muziki wetu na pia ni marafiki zetu ila viinchi kama tz na Uganda bado... nyinyi rika yenu ni kagame,m7 na burundiNyie hamna kitu mnaweza tufanya, waethiopia wanawadunda, Uganda wanawadharau, Al Shabab wanawaua. Wenyewe kwa wenyewe hamna umoja ni wakabila extremes.
Too soft for us I swear
Kwa jeshi kenya wasubili.Hizi zana mbili Kenya mnazo? Annael hivi hizi zana mbili zinaitwaje.? TZ sio mchezo.
View attachment 586304 View attachment 586305