Kenya's military might

wewe endelea kuota.....hata AP wa kenya wakati mmoja waliweza kupambana na majeshi ya mu7 na kuua baadhi yao hivyo pia AP ni bora afrika sivyo.....fikiri kama binadamu sio kama kunguru
Kweli wewe mende hasa Hilo jeshi LA mu7 ni bora Afrika? Hata top 5 halipo. Mimi nazungumzia kulipiga jeshi bora Afrika Kama Libya. Acha upanya wewe
 
Kweli wewe mende hasa Hilo jeshi LA mu7 ni bora Afrika? Hata top 5 halipo. Mimi nazungumzia kulipiga jeshi bora Afrika Kama Libya. Acha upanya wewe
wewe nielewe na uache ujuha....kwa hivyo hao wanamgambo wenu wanaweza kulipiga jeshi la m7 sivyo
 
Hayo maoni yako tu..we mwenyewe wajiweza kiasi gani
 
Kijana utakuwa hujui chochote wewe! Hebu lete hapa Battle records ambazo kdf wamepigana na kushinda!

Unatuletea hapa vifaa mnavyopewa msaada kila siku na wamarekani ili mpambane na alshabaab na bado wanawatusua!
N what battle record does TPDF has..remember even the Somali army defeated u.s marine in 1992.I don't think the same case can apply today my friend
 

Budget ya ulinzi Tanzania ni ths ngapi??
Idadi ya askari??
Ngege za kivita, vifaru magari na vinginevyo idadi yake??
Ishiriki katika vita na operesheni mbalimbali??

Baada ya hapo tuanze kujadili

umoja
 
TRUTHS 1)kati ya kdf na jwtz na wanakaa wanamgambo.2)jeshi lenu limewai kupigana vita na terrorists na usiniambie wale wanamgambo wa congo

Unauliza swali halafu unachagua majibu ujibiwe

Wale KDF westgate walitoka na rambo za sukari na biskuti
 
N what battle record does TPDF has..remember even the Somali army defeated u.s marine in 1992.I don't think the same case can apply today my friend
Why don't you take time and find TPDF's Battle records & compare them with those of kdf!

Usisahau kuangalia peace keeping records.
 
Why don't you take time and find TPDF's Battle records & compare them with those of kdf!

Usisahau kuangalia peace keeping records.
Tanzania an LDC is definitely ages behind Kenya socially, economically and obviously militarily. Hizo zingine ni bla bla blah our noisy neighbors na Kelele za chura hazitamzuia Kenya kusonga mbele kwa mwendo kasi.
 
Tanzania an LDC is definitely ages behind Kenya socially, economically and obviously militarily. Hizo zingine ni bla bla blah our noisy neighbors na Kelele za chura hazitamzuia Kenya kusonga mbele kwa mwendo kasi.
Really? I didn't knw uko petty kiasi hk! Nimewaomba battle records ambazo kdf wamepigana na kushinda lakini unaishia kuleta ushuzi!
 
Tanzania an LDC is definitely ages behind Kenya socially, economically and obviously militarily. Hizo zingine ni bla bla blah our noisy neighbors na Kelele za chura hazitamzuia Kenya kusonga mbele kwa mwendo kasi.
Mwendokasi wa Njaa kule Turkana yes...mwendokasi wa watu kuuliwa na polisi kila siki yes...mwendokasi wa kuisambaratisha nchi kwa ukabila na rushwa iliyokithiri yes.....mwendokasi wa kutia aibu huko Marekani na Uingereza kwa kuandamana kuonyesha ukabila wenu nchi za nje yes... mwendokasi wa gharama za maisha kuzidi kila siku yes....Hongereni sana.
 
Really? I didn't knw uko petty kiasi hk! Nimewaomba battle records ambazo kdf wamepigana na kushinda lakini unaishia kuleta ushuzi!
wewe ni kunguni sana.....ulikua unataka kdf wapigane na hatuna adui wakati huo....stupidity from Tanzanians
 
unajifanya venye unajua Kenya.....
 
wewe ni kunguni sana.....ulikua unataka kdf wapigane na hatuna adui wakati huo....stupidity from Tanzanians
Wewe ni sawa na mtu anayenyonywa damu na kunguni, anaishia kulalama na kutukana!

Hata hujui umuhimu wa battle records kwenya military strength[emoji33] [emoji33] [emoji33] Stupidity from a Kenyan!
 
Wewe ni sawa na mtu anayenyonywa damu na kunguni, anaishia kulalama na kutukana!

Hata hujui umuhimu wa battle records kwenya military strength[emoji33] [emoji33] [emoji33] Stupidity from a Kenyan!
wewe na wadanganyika wenzako..u ar very stupid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…