Kenya's military might

Kenya's military might

Peleka upumbavu wako kenya mnajeshi gani vilaza nyie kajifananisheni na malawi mbuzi nyie wa alshababu mkiwaweza hao ndio kidogo mtakua mmeanza jifunza kupamban
Nyinyi siku mtajakutupita kwa lolote nitajua dunia inaisha,to compare KDF to tpdf is a joke of decade...... Eti tpdf hahahahaaa
 
maanake nikakuambia msiwai omba vita na Kenya....al shabab ni wanamgambo kama tpdf tofauti in kuwa shabab wanajificha ficha lakini nyinyi in a open battle hamutuwezi period!!!!!
Hahaha acha utani aisee yaani kweli nyie Kenya mtupe Tanzania homa wababe wa hizi kazi? Alshabab haina tofauti na waasi waliopo Congo kwa style yao ya mapigano lakini tafuta heshima iliyonayo Tanzania nchini Congo tunavyowadhibiti waasi
 
Nyinyi siku mtajakutupita kwa lolote nitajua dunia inaisha,to compare KDF to tpdf is a joke of decade...... Eti tpdf hahahahaaa
Vipi kuhusu ukuaji wa uchumi wa 5.5% vs 7.2%, Vipi kuhusu mapato yatokanayo na utalii, vipi kuhusu FDI?, vipi kuhusu amani na utulivu, au hayo si muhimu kwako, muhimu ni GDP tu?
 
naona umeanza kutokwa povu na bado....... muziki wetu tutaja kuwapa tu usijali na mtadance venye tunataka
Hahaha duh kwa kweli unaniacha hoi, Hongera kwa kipaji naona talanta ya kuchekesha umejaliwa si haba
 
Vipi kuhusu ukuaji wa uchumi wa 5.5% vs 7.2%, Vipi kuhusu mapato yatokanayo na utalii, vipi kuhusu FDI?, vipi kuhusu amani na utulivu, au hayo si muhimu kwako, muhimu ni GDP tu?
Kenya wamepika data zao nyingi sana, kwa kifupi standard of living Tanzania tupo juu ya wakenya, wakenya wanaishi maisha ambayo Tanzania hayapo majority of Kenyans wanaishi kwenye mabanda ya mabati chakavu kitu ambacho Tanzania ni maajabu,
Majority of Kenyans wanaishi kwa mkate na chai kitu ambacho Tanzania hakipo

Hapo sijaongelea umaskini wa kutisha uliopo turkana, garissa na mandera huko kuna umaskini wa kila kitu hasa chakula na maji kitu ambacho tanzania hakuna umaskini wa chakula ambao ndio umaskini mbaya kuliko aina zote za umaskini.
 
Nyinyi siku mtajakutupita kwa lolote nitajua dunia inaisha,to compare KDF to tpdf is a joke of decade...... Eti tpdf hahahahaaa
Kijana utakuwa hujui chochote wewe! Hebu lete hapa Battle records ambazo kdf wamepigana na kushinda!

Unatuletea hapa vifaa mnavyopewa msaada kila siku na wamarekani ili mpambane na alshabaab na bado wanawatusua!
 
Kenya wamepika data zao nyingi sana, kwa kifupi standard of living Tanzania tupo juu ya wakenya, wakenya wanaishi maisha ambayo Tanzania hayapo majority of Kenyans wanaishi kwenye mabanda ya mabati chakavu kitu ambacho Tanzania ni maajabu,
Majority of Kenyans wanaishi kwa mkate na chai kitu ambacho Tanzania hakipo

Hapo sijaongelea umaskini wa kutisha uliopo turkana, garissa na mandera huko kuna umaskini wa kila kitu hasa chakula na maji kitu ambacho t
Standards gani za kuishi wakati hata kwa nyumba yako JPM ndo anafanya maamuzi? Kwangu mkenya ni heri niishi angalau hata siku moja kama nimesimama kama mwanaume kamili na miguu yangu miwili kuliko kuishi kwa starehe kama nimepiga magoti maisha yangu yote! Mtu anapigwa risasi nane lakini wanaume wamekimyaa, wametuliiia. Useless! Tz yote mwanaume ni mmoja tu, Mange Kimambi! Kha!
 
Standards gani za kuishi wakati hata kwa nyumba yako JPM ndo anafanya maamuzi? Kwangu mkenya ni heri niishi angalau hata siku moja kama nimesimama kama mwanaume kamili na miguu yangu miwili kuliko kuishi kwa starehe kama nimepiga magoti maisha yangu yote! Mtu anapigwa risasi nane lakini wanaume wamekimyaa, wametuliiia. Useless! Tz yote mwanaume ni mmoja tu, Mange Kimambi! Kha!
Nani kakuambia Magufuli ndio kampiga risasi? Wakae kimya tunyooshe nchi huo sio wakati wa kubembelezana kama walivyozoea saivi ni kazi tu.
 
Nani kakuambia Magufuli ndio kampiga risasi? Wakae kimya tunyooshe nchi huo sio wakati wa kubembelezana kama walivyozoea saivi ni kazi tu.
Ni wapi hapo niliposema kuwa Supreme Leader Mtakatifu J.P.Magufuli ndo kampiga risasi? Mbona unajishuku? Tuambie basi profesa, nani alimpiga risasi? Nyinyi watu wa N.Korea huwa mnanishangaza sana!
 
Kijana utakuwa hujui chochote wewe! Hebu lete hapa Battle records ambazo kdf wamepigana na kushinda!

Unatuletea hapa vifaa mnavyopewa msaada kila siku na wamarekani ili mpambane na alshabaab na bado wanawatusua!
Tpdf fought rebels and KDF is in war with terrorist try to differentiate the two, which one of them have the experience than other
 
tpdf ni wanamgambo tu na hakuna jipya...airforce ni ndege za wizi yaani za IDD amin
 
Nimeuliza [HASHTAG]#truths[/HASHTAG] tz mna navy au ni hiyo mitumbwi 9 ndio mnaita navy alafu airforce ata tusizungumzie alafu unaniambia eti best in east and the whole africa.TPDF KALINGANISHE NA RWANDA/BURUNDI
Utamkufuru Mungu bure wewe boya, MZIKI WA JWTZ hauufahamu
 
una haki ya kusema, sisi kamwe co wa kufananisha na KDF
weweeee tuna military training centre za kimataifa arusha ,dar ambazo nikubwa na za kimataifa we training ma officer mbalimbali kutoka nchi za sadc na duniani ikiwemo nyinyi mnaojiita kdf sijui mambo mengine tunaweka siri
pili alipigwa idd amin na halipata favour toka libya kwa msaada wa vifaaaa na akapgwa vizuri na vifaa tukachukua ndiooo vifaaa ivyo vipo tuuu as retirements equipments tuna vifaaa vyetu vya kisasa tuu
 
Utulivu wa nchi ni kwa sababu ulinzi uko imara.
Wewe angalia tunazungukwa na nchi zilizo na mapigano kila kukicha lakini Tanzania ipo tulivu sana kwa sababu ya ulinzi ulio imara.
Hapo ndipo wapumbavu wa North korea ya East Africa wanavyonitia kichefuchefu. CCM hamtokaa muwe na analytical minds . Utulive wa Tanzania kwa mamcho ya true thinkers umetokana na vitu vingi na sio jeshi.

-Huwezi kataa the fact kwamba jeshi letu lina irrational service men. Ni obstacle kwa rational enemies. We are like Al-shabab in one way or another.

-Fear of the un known .Wananchi wanaogopa jeshi lenye watu wasio na muda wa kufikiri sana.Its risk dealing with lunatics.

- Irrational society. Watz wengi hawajui tofauti ya kweli na uongo,kwa vile almost kila kitu kipo controlled na key figures ambao wameaminiwa sana kuliko wanavyojiaminisha.

-Diversity kati ya watz ni kubwa sana, huwezi tengeneza pattern ya kuweza waframe ikawa successful na ndio inawamaliza wapumbavu wa ccm.Chadema wapo smart sana karne nyigi mbele ya ccm. ndio maana wanacheza very smart.Sasa hivi ccm na askari wasiojitambua wanaamua kucheza rafu .
Congo, Mozambique, Burundi nk.

Halafu nyie mnaenda kule somalia kwa kihere here chenu tu.
Nairobi tunaishushia kipondo ndani ya sekunde inapotea.
Tunaweka mashine mbili tu pale Kilimanjaro (A-100 multiple rocket launchers) Nairobi inabaki majivu.
mojawapo ya upumbavu wa wajamaa duniani ni unafiki, ila dunia yao huwa ni ngumu sana.Teerorists km waliwapenda sana mbona walipiga ambomu tz zaidi ya mara moja pamoja na unafiki wenu?Akili za chooni hizi ,na kushauriwa na agents wa ugaidi ktk waswhaili ndizo zinaua tz. Nani kawaambia kuwa ukidanganya watu kuwa mamba sio adui,siku unaamua kuingia ktk pool pamoja nae atakuacha. Ujamaa ni ushetani, na ndio wa kwanza kulia sana.
 
Hahaha acha utani aisee yaani kweli nyie Kenya mtupe Tanzania homa wababe wa hizi kazi? Alshabab haina tofauti na waasi waliopo Congo kwa style yao ya mapigano lakini tafuta heshima iliyonayo Tanzania nchini Congo tunavyowadhibiti waasi
habari yako mwanamgambo wa tpdf
 
Tunayasafirisha makombora yetu mapya pole pole tu..
FB_IMG_1506858988925.jpg
FB_IMG_1506859003692.jpg
 
weweeee tuna military training centre za kimataifa arusha ,dar ambazo nikubwa na za kimataifa we training ma officer mbalimbali kutoka nchi za sadc na duniani ikiwemo nyinyi mnaojiita kdf sijui mambo mengine tunaweka siri
pili alipigwa idd amin na halipata favour toka libya kwa msaada wa vifaaaa na akapgwa vizuri na vifaa tukachukua ndiooo vifaaa ivyo vipo tuuu as retirements equipments tuna vifaaa vyetu vya kisasa tuu
Mkuu tulilipiga jeshi LA idd Amini na jeshi LA Libya na vifaa vyao vya kisasa walivyopanga kumpa Amini tukawanyang'anya. Sasa huyo nyumbu kwanini hatak kukubali JWTZ ni jeshi bora Afrika wakati huyo mlibya mnayemsifu kuwa na jeshi zuri tulimgalagaza vibaya sana. In short JWTZ walipiga majeshi mawili kwa wakati mmoja.
 
Mkuu tulilipiga jeshi LA idd Amini na jeshi LA Libya na vifaa vyao vya kisasa walivyopanga kumpa Amini tukawanyang'anya. Sasa huyo nyumbu kwanini hatak kukubali JWTZ ni jeshi bora Afrika wakati huyo mlibya mnayemsifu kuwa na jeshi zuri tulimgalagaza vibaya sana. In short JWTZ walipiga majeshi mawili kwa wakati mmoja.
wewe endelea kuota.....hata AP wa kenya wakati mmoja waliweza kupambana na majeshi ya mu7 na kuua baadhi yao hivyo pia AP ni bora afrika sivyo.....fikiri kama binadamu sio kama kunguru
 
Back
Top Bottom