Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
GDP ya Lagos tu ni sawa na 2 times ya GDP ya KenyaLagos 1,171 km²
Dar 1,590 km²
dar is the largest city in Africa kudos!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GDP ya Lagos tu ni sawa na 2 times ya GDP ya KenyaLagos 1,171 km²
Dar 1,590 km²
dar is the largest city in Africa kudos!!
If this is the Real Life of Majority in Nairobi, Within your glorified Capital city. What about that tiny town you mentionedNakuru town deserves city status.
GDP ya Nai ni sawa na gdp ya tzGDP ya Lagos tu ni sawa na 2 times ya GDP ya Kenya
hiyo ndo njia ameamua kuargue nayo bila logic.Ina faida gani?
Hivi wewe huwa una umri gani?
Una akili za kitoto sana, mtu anawezaje kuishi kwa kula hivyo vitu?
Sio kweliGDP ya Nai ni sawa na gdp ya tz
Albino walikua wakiwindwa sababu ya imani potofu kwamba viungo vyao vinasaidia kwenye mafanikio kwa nguvu za giza na sio kwamba walikua wanaliwa.Ndio dunia inafaa iwaulize watanzania?
Mbna mnawinda albino?
kwa iyo dar ina gdp kushinda lagos? 😂 😂 Wacha kuargue kwa feelings na kuandika hadithi za ajabu ajabu hapa leta takwimu.Sio kweli
Kwa hiyo umejua kwamba huwezi linganisha Nairobi na Lagos sababu hamlingani kimapato, GDP ni finished products and services, Tanzania inazalisha na inauza sana raw materials nje, laiti kama raw materials zingekua zinajumuishwa kwenye GDP, Tanzania ingekua na number kubwa.
Kwa hiyo kuwa na production kubwa ya finished products and services sio kigezo mahsusi cha kupima ustawi wa nchi, mathalan ninyi Kenya mnazalisha finished products nyingi kuliko Tanzania lakini raw materials zaidi ya 60% inatoka Tanzania
Therefore mnapata finished products kwa bei ghali zaidi kuliko Tanzania, angalia bidhaa kama za vyakula au bidhaa nyingine nyingi, Kenya ni ghali kuliko Tanzania, kuanzia vinywaji mpaka vyakula na bidhaa nyingine.
hiyo GDP yenu ni ya kupika, hauwezi kukuza GDP zaidi ya 40b kwa miaka minne, 2015 mlikua na 60b at the 4% growth annuallykwa iyo dar ina gdp kushinda lagos? 😂 😂 Wacha kuargue kwa feelings na kuandika hadithi za ajabu ajabu hapa leta takwimu.
Kenya gdp $100b
Tz gdp $60b
4 times Gdp ya TanzaniaGDP ya Lagos tu ni sawa na 2 times ya GDP ya Kenya
Leta data za IMF au World bank. Respected institutions sio websites za wabongo zenye broken english kila mahali.hiyo GDP yenu ni ya kupika, hauwezi kukuza GDP zaidi ya 40b kwa miaka minne, 2015 mlikua na 60b at the 4% growth annually
View attachment 1254603
Wanaharibu ratio aje?Hawa intersex wanaharibu ration. But it's good to include them because this shows how open the exercise was.
Unataka discuss kuhusu economic growth from which ground?True my friend SI you have seen after cooking figures of 7.2% it later came out to be 4.1% and then learn later that Koroshow farmers have not been paid.
GDP ya Tokyo Ni sawa na AfricaGDP ya Nai ni sawa na gdp ya tz
Lakini Dar Ni kubwa karibu mara 3 ya Nairobi
Ke GDP haijafika $100B who are you fooling?kwa iyo dar ina gdp kushinda lagos? [emoji23] [emoji23] Wacha kuargue kwa feelings na kuandika hadithi za ajabu ajabu hapa leta takwimu.
Kenya gdp $100b
Tz gdp $60b
Tanzania kufyatua watoto ni sera rasmi ya Magu. CCM oyee.😁Mbona Kenya hatulipuani watoto kama Tanzania? Yaani bado hatujafika milioni 50? Hii imenishangaza sana. Tunafaa kukaza kamba na kucheza mchezo wa kitanda kama Wabongo.
Japan is better😂 😂 now you get my point.GDP ya Tokyo Ni sawa na Africa
What is your point?
GDP ya Tokyo Ni sawa na Africa
What is your point?
Uelewa wako kuhusu mambo ya mipango miji ni mdogo sanaDar km mkoa..
Kwanza size ya dar urban center km vile nairobi...sio kutuletea vijiji hapa