kenyatta amekosa majibu juu ya mwelekeo wa uchumi nchini baada ya kuonekana uchumi kushuka kila mwaka

kenyatta amekosa majibu juu ya mwelekeo wa uchumi nchini baada ya kuonekana uchumi kushuka kila mwaka

ndege kama hizo zikitua humu hatuchukui mapicha kana kwamba washamba wa dunia...sie tumezoea
heheh kama vile nairobi ilishawah kutua??😀😀
hio ndoto kwenu na bahat mbaya zaidi greenfield ilishakufa yani hamuna cha kufanya ni kuumia tu
 
mi hapa mwanafunzi wa economics..what do you think? look at this tilapia vendor from darisalam😀😀😀
kama ww ni mwanafunzi wa uchumi basi mzazi wako aandike maumivu tu😀😀😀😀
 
heheh kama vile nairobi ilishawah kutua??😀😀
hio ndoto kwenu na bahat mbaya zaidi greenfield ilishakufa yani hamuna cha kufanya ni kuumia tu
sijui kama imewahi kutua ila ikitua sidhan kama wataanza kupiga mapicha jinsi nilivowaona washamba wenu wakifanya...mpaka abiria wanakwama ndani ya ndege kisa wafanyikazi wa airport wanapiga picha😀😀😀😀
 
heri ila imekuwa ikifanya kazi.,nyie yenu ilizikwa miaka 20 iliopita😀😀😀😀
sasa tunaifufua with brand new 7 aircrafts cash deal hakuna loan wala leasing deals yani ni cash tu
 
sijui kama imewahi kutua ila ikitua sidhan kama wataanza kupiga mapicha jinsi nilivowaona washamba wenu wakifanya...mpaka abiria wanakwama ndani ya ndege kisa wafanyikazi wa airport wanapiga picha😀😀😀😀
sio hujui unajua sana kua haijawah kutua na haina mpango wakutua dont pretend bana😀😀😀😀
kwenye ukweli sema tu japo unauma
 
mi hapa mwanafunzi wa economics..what do you think? look at this tilapia vendor from darisalam😀😀😀
You are not even approaching student status on economic stuff you just a goon with no direction or commonsense
 
sio hujui unajua sana kua haijawah kutua na haina mpango wakutua dont pretend bana😀😀😀😀
kwenye ukweli sema tu japo unauma
kwani ilipotua kwenu ilikua na mpango wa kutua huko ama mauritius? mbona unajichanganya?
 
hatuna itikadi za kupika data sisi sio watu wasifa 😀😀 tanzania itawaumiza sana kichwa 😛😛😛 bega kwa bega tu
View attachment 767697
Men lie, women lie bt numbers dont lie
$86bn-$56bn=$30bn na gap itaendelea kuongezeka
2016=$20bn
2017=$25bn
2018=$30bn
2019 naona itakua $40bn,kazi mko nayo yakufanya ndio gap ipunguke wacheni bla bla mingi kwa mitandao..
 
zikwapi?😀😀😀😀
3 zimeshaingia brand new bombadier q400 for domestic use mwaka zinaingia tatu july ikiwemo boeing 787 moja na bombadier cs300 mbili kwa ajili ya international routes
 
You are not even approaching student status on economic stuff you just a goon with no direction or commonsense
😀😀😀😀cha kushangaza ni wewe hapa unasherehekea ujinga wa 7.2 percent ilhali nchi ni LDC...kisha una question ujuzi wangu wa economics 😀😀😀😀
 
kwani ilipotua kwenu ilikua na mpango wa kutua huko ama mauritius? mbona unajichanganya?
walichagua hapa kutokana na vigezo usifkiri wanatua kokote tu😀😀😀😀😀 au unafkiri ni kama embe likidondoka mtini
 
3 zimeshaingia brand new bombadier q400 for domestic use mwaka zinaingia tatu july ikiwemo boeing 787 moja na bombadier cs300 mbili kwa ajili ya international routes
zikwapi picha? mambo ya tuta... tuta... sitaki😀😀😀expectations sio?
 
walichagua hapa kutokana na vigezo usifkiri wanatua kokote tu😀😀😀😀😀 au unafkiri ni kama embe likidondoka mtini
we ni bwege sana😀😀😀...ndege huwa inatua airport ilio karibu incase of an emergency...so usidhani eti ni neema za maulana...kama ingekuwa karibu na somalia airport ingetua humo tu
 
Men lie, women lie bt numbers dont lie
$86bn-$56bn=$30bn na gap itaendelea kuongezeka
2016=$20bn
2017=$25bn
2018=$30bn
2019 naona itakua $40bn,kazi mko nayo yakufanya ndio gap ipunguke wacheni bla bla mingi kwa mitandao..
kuamini kutoamini hio ni juu yako ila ukae ukijua munapumuliwa kisogoni na mwaka hamuendi kokote tutawabana vzr 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom