kenyatta amekosa majibu juu ya mwelekeo wa uchumi nchini baada ya kuonekana uchumi kushuka kila mwaka

kenyatta amekosa majibu juu ya mwelekeo wa uchumi nchini baada ya kuonekana uchumi kushuka kila mwaka

we ni bwege sana😀😀😀...ndege huwa inatua airport ilio karibu incase of an emergency...so usidhani eti ni neema za maulana...kama ingekuwa karibu na somalia airport ingetua humo tu
inategemea na usalama na airport yenyewe na wao Emirates walisema kua dar ndio airport yao walioichagua hata kabla ya hio ndege alaf still bado walikua na opportunity ya kutua viwanja vingi sana ilikwepo mozambique,dar, nairobi,south africa etc lakin wao dar ndio waneichagua kutokana na vigezo vya kiusalama na airport capabilities
 
Uchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!
Nani kakudanganya wakenya wanaishi vyema?!!!!!!!.
 
Akili zako zinakuambia Wakenya wanaishi vizuri?? Ama kweli we boga.. Watu wanaishi kwa mlo mmoja, vijana karibia asilimia zote hawana kazi hata za ndani afu unasema wanaishi vyema[emoji23] nchi nzima inamilikiwa na watu asilimia 10 tu 90 iliyobaki maskini wa kutupwa
Jamaa ananeema harafu hajui kama yuko kwenye neema!!!!!!.
 
inategemea na usalama na airport yenyewe na wao Emirates walisema kua dar ndio airport yao walioichagua hata kabla ya hio ndege alaf still bado walikua na opportunity ya kutua viwanja vingi sana ilikwepo mozambique,dar, nairobi,south africa etc lakin wao dar ndio waneichagua kutokana na vigezo vya kiusalama na airport capabilities
hahahaha unafananisha airport za hizo nchi ulizotaja na hilo gofu lenu hapo? umesahau mmejaza vibanda vya nguruwe mnaita aiport?
 
kuamini kutoamini hio ni juu yako ila ukae ukijua munapumuliwa kisogoni na mwaka hamuendi kokote tutawabana vzr 😀😀😀😀
Zile zenyu za tuta, tuki😀😀😀
IMG_20180424_124137.jpg
 
hahahaha unafananisha airport za hizo nchi ulizotaja na hilo gofu lenu hapo? umesahau mmejaza vinanda vya nguruwe mnaita aiport?
uhahahah acha hasira basi plz maumivu sio kitu kizuri😀😀😀😀😀😀 kutua kwa Airbus A380 isiwe sababu ya kuvunja urafiki wetu
 
uhahahah acha hasira basi plz maumivu sio kitu kizuri😀😀😀😀😀😀 kutua kwa Airbus A380 isiwe sababu ya kuvunja urafiki wetu
hahaha mbona nauliza tu which capabilities you are talking about...please explain to me these capabilities that your airport has
 
hahaha mbona nauliza tu which capabilities you are talking about...please explain to me these capabilities that your airport has
kitu cha kwanza usalama wa airport na usalama wa anga husika, cha pili uwezo wa airport ku handle aircraft haraka zaidi na kingine usalama wa ngenge yao pia mbona walizungumza kila kitu😀😀😀
 
go on dreaming unafkiri magu ni kama uhuru kenyata anawadanganya atajenga ukuta mpaka na somali akajua ukuta ni kama kula makande😀😀😀

magu akisema na kitendo kinafuata hapo hapo
asante kwa tuta tuki tuta😀😀😀
 
kitu cha kwanza usalama wa airport na usalama wa anga husika, cha pili uwezo wa airport ku handle aircraft haraka zaidi na kingine usalama wa ngenge yao pia mbona walizungumza kila kitu😀😀😀
ok kwa hiyo airport za nchi ulizotaja hazina capacity ya ku handle ndege ile ama sikuelewi?😀😀😀
 
Back
Top Bottom