Kualikwa white house ndio kipimo cha kitu gani? Maana tulishapokea marais wawili wa Marekani wakaishia kutuletea DowansWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
President Joe Biden will host Kenyan President Uhuru Kenyatta for a meeting in Washington on Thursday as the White House weighs sanctions against parties to the conflict in a northern region of the neighboring East African country of Ethiopia.www.reuters.com
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Kualikwa white house ndio kipimo cha kitu gani? Maana tulishapokea marais wawili wa Marekani wakaishia kutuletea Dowans
Kwani we mwenyewe unasemaje tunapokwama?Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
WHITE HOUSE ni Eneo TAKATIFUWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
..subiri matusi toka kwa UV-CCM.
Hadi uwaruhusu symbion wakuuzie umeme kwa bei wanayotaka ndio utaalikwa white house. Nyerere alituambia ukiona mabeberu wanakupenda ujue kuna mahali unakosea kuhusu maslahi ya watu wako.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Yani Kenyata aulizwe na wamarekani mambo ya tz?..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.
..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
Acha uzwazwa..unajua wanaenda kuzungumzia nini?..hivi unajua hawa jamaa wanabase ya jeshi hapo Kenya?
Obama si ashakuja hadi bongo..aliongeza nini?.
Mabavicha yakiona mzungu anazuzuka kabisa!Africa nzima umeiona Tanzania tu wewe uchwara wa ufipa?