Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Baada ya hapo ugali mezani kwako uliongezeka?Kujifariji uko vizuri. Komaa hapo hapo.
Lakini mwulize Hangaya akupe mrejesho.
Kwani JK alipelekwa NY kufanya nini pembezoni mwa UNGA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya hapo ugali mezani kwako uliongezeka?Kujifariji uko vizuri. Komaa hapo hapo.
Lakini mwulize Hangaya akupe mrejesho.
Kwani JK alipelekwa NY kufanya nini pembezoni mwa UNGA?
Kila mmoja ataingia white house kwa muda wake!
Ungemwuliza Hangaya akwambie kama anakubaliana nawe kwenye huu ushujaa wako mfinyu!
Wewe mwenye mawazo ya kulewa mi naijuje hiyo hainihusu!Kuna bar moja pale idodomya kwa jina la White House. Jiridhishe ni ipi hasa unayolenga kuingia kwa wakati wako.
Kwa mtazamo wako na fikra za uzalendo wa kitanzania kitanzania unafikiri kukari bishwa huko Kuna maana gani? Kwa hiyo hao walio kuja walikuna Kwa sababu unazofikiria wewe na jiulize pia ni wakati Gani walikuja na kwanini, SII Yale waliotaka uyaamini wewe.Kualikwa white house ndio kipimo cha kitu gani? Maana tulishapokea marais wawili wa Marekani wakaishia kutuletea Dowans
Kinacho kuhusu wewe ni maslahi tumbo pekee sio.Wewe mwenye mawazo ya kulewa mi naijuje hiyo hainihusu!
Hangaya hajasema anataka kwenda White House. To some people, it could sound going to WH is the standard measure.
For me, it is one of those things which might happen...and if they don't happen, the course of life will just remain the same.
Tunawashobokea sana hawa watu mpaka tunatia aibu
Kwa hiyo white house ni ahera, kiasi kwamba watu tusipumue kisa hatujaalikwa white house.........akili za kitumwa ni shida sana.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Indeed...does it make any difference, whether am a pedestrian or official in oneof the beuracratic system in Tanzania?Amekwambia hayo jombi?
You sound like a pedestrian in downtown Chatto or Makunduchi.
Wewe mwenye mawazo ya kulewa mi naijuje hiyo hainihusu!
Kwa hiyo white house ni ahera, kiasi kwamba watu tusipumue kisa hatujaalikwa white house.........akili za kitumwa ni shida sana.
Unaweza sema mwimba pambio wa kizazi kipyaAmekwambia hayo jombi?
You sound like a pedestrian in downtown Chatto or Makunduchi.
Uvccm mna shida Sana 🤣🤣🤣🤣Mabavicha yakiona mzungu anazuzuka kabisa!
Si umeona yule belgiji wao kapiga picha kakenua meno na wamemuanzishia na uzi kabisa hapa
Mama kamualika yule Muingereza Tony Blair nongwa zimewajaa wabongo, mnamsema Mama kama vile kaua mchana kweupe.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Tony Blair ni Dalali nani hamjui?Mama kamualika yule Muingereza Tony Blair nongwa zimewajaa wabongo, mnamsema Mama kama vile kaua mchana kweupe.
Unajuaje kama Kenyatta sio dalali?.Tony Blair ni Dalali nani hamjui?
YOU ARE SICK. WEWE NDIE UBONGO UMEKWAMA BRO.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Hayo ni mawazo mfilisi, wewe unapo sema kuwa haha alikwa kwa sababu ni mwanamke si kweli kabisa, huko huko ndo walio mtaka kuwa miongoni mwa Marais wenye hekima duniani.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.