Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kiingereza chenyewe cha kuunga na SOLOTEPU nani akuarike....

Msomi wetu Kabudi Prof. akiwa anaongea kiingereza anatoa macho huku anatema mate ndoo kadhaa, sasa Hangaya ataweza?
 
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.

Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting

Hatuna cha kujifunza kweli?

Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!

Mwenye macho haambiwi tazama.
Kenya na Marekani wanashirikiana kijeshi na kiuchumi kwa hiyo Marekani inaipa kipaumbele Kenya zaidi ya nchi zingine nyingi tuu. Jeshi la Kenya likipigana na Al Shabab inaisadia Marekani pia ambayo majeshi yake hayatoshi kupigana vita kila kona ya dunia. Kwa hiyo Kenya ni nchi muhimu sana kwa maslahi ya Marekani.
 
Kenya na Marekani wanashirikiana kijeshi na kiuchumi kwa hiyo Marekani inaipa kipaumbele Kenya zaidi ya nchi zingine nyingi tuu. Jeshi la Kenya likipigana na Al Shabab inaisadia Marekani pia ambayo majeshi yake hayatoshi kupigana vita kila kona ya dunia. Kwa hiyo Kenya ni nchi muhimu sana kwa maslahi ya Marekani.

Jipe moyo mkuu.

Ila Kenyatta kadhia hii haikumhusu:

IMG_20210925_164121_485.jpg


Kwamba kule mahakamani mnadhani wameshawishika?

Walipo wanajua kuwa hata jaji kapandishwa cheo.
 
Could you share your education level, please?
By the way, is that your life time goal to enter into WH? It may make you a complete person.
Mimi malengo hafifu...nikifika Hyaty Hotel nimemaliza kila kitu. Natafuta pesa tu. Inshallah
 
Jipe moyo mkuu.

Ila Kenyatta kadhia hii haikumhusu:

View attachment 1974588

Kwamba kule mahakamani mnadhani wameshawishika?

Walipo wanajua kuwa hata jaji kapandishwa cheo.
Mbona madikteta ambao wanakandamiza demokrasia kama Al Sisi wa Misri au Muhammad Bin Salman wa Saudi Arabia wameshaalikwa White House?

1024x576_724347.jpg


SaudiMBS_TrumpFeature.jpg
 
Kualikwa white house ndio kipimo cha kitu gani? Maana tulishapokea marais wawili wa Marekani wakaishia kutuletea Dowans
Utapeli wa Bibi na babu ccm umepelekea kukwama wanawadanganya Marais Kama hao wanakuja kutaka kuibraiti kigamboni wanakuta malala kibao yawananchi hawajalipwa na hospitali imejengwa zakhem ,hovyo kabisa Bibi nababu ccm
 
By the way, is that your life time goal to enter into WH? It may make you a complete person.
Mimi malengo hafifu...nikifika Hyaty Hotel nimemaliza kila kitu. Natafuta pesa tu. Inshallah

You have two replies for the same post 😂😂!

Interesting!

IMG_20210829_032751_977.jpg


I give you some time to acquaint with the dose.

Relax.

You are almost there.
 
Kualikwa white house ndio kipimo cha kitu gani? Maana tulishapokea marais wawili wa Marekani wakaishia kutuletea Dowans
Watu mnachekesha sana. Angealikwa usingeongea hivyo, mngeanzisha ligi ya kusifia jinsi Tanzania tulivyopata rais anayekubalika duniani ila sasa kwa kuwa wamemkataa mnaanza kuponda kwamba hicho sicho kipimo.

Ila ukweli unabaki pale pale kwamba utawala huu wa kupigana kufa na kupona ili kubaki madarakani kwa gharama yoyote unaiponza sana hili taifa.
 
Little mind... how do you know? Kwa kuandika mitandaoni? Kazi sana

How do I know?

1. I have your own confession
2. The quality of your arguments is louder than #1

Umesomeka vyema mjomba.

Mengine jaribu jaribu Chatto na Makunduchi huko!
 
WaTz mnashida sanaa si nyie ndo mlikuwa mnasema rais wa Tz anasafari za nje kuliko za ndani ya nchi ? JK alikuwa ni raisi wa kwanza toka Africa kualikwa na Obama pia inatosha

Waliokuwa wanaomba hata kupata selfie hukuwasikia?

Waliodhani JK anaweza kusaidia kupatikana miadi nao hukuwasikia?

Huoni wenye mapambio yao wamekuwa kona?
 
Teh Teh Teh Haa Haa
Mtemi Hangaya Katoka US Juzi Tena Bado Wa Moto Moto
Mpaka Kahutubia Dunia, Tukaandamana Dar Es Salaam, Dodoma
 
Watu mnachekesha sana. Angealikwa usingeongea hivyo, mngeanzisha ligi ya kusifia jinsi Tanzania tulivyopata rais anayekubalika duniani ila sasa kwa kuwa wamemkataa mnaanza kuponda kwamba hicho sicho kipimo.

Ila ukweli unabaki pale pale kwamba utawala huu wa kupigana kufa na kupona ili kubaki madarakani kwa gharama yoyote unaiponza sana hili taifa.

Kiswahili wanasema - kisebu sebu na kiroho papo.

IMG_20210925_164121_485.jpg


Walipanda dengu. Ngoja tuvune dengu kwanza.
 
Back
Top Bottom