Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Teh Teh Teh Haa Haa
Mtemi Hangaya Katoka US Juzi Tena Bado Wa Moto Moto
Mpaka Kahutubia Dunia, Tukaandamana Dar Es Salaam, Dodoma

Tukaambiwa hotuba yake ilikuwa kwenye top 7.

Hiiiiii bagosha 😂😂!
 
Mbona madikteta ambao wanakandamiza demokrasia kama Al Sisi wa Misri au Muhammad Bin Salman wa Saudi Arabia wameshaalikwa White House?

1024x576_724347.jpg


SaudiMBS_TrumpFeature.jpg

Yanini kuandikia mate?

Hangaya alihitaji sana kuonana japo na VP beberu.

Fuatilia au kamwulize.

Wenzio wanaugulia nyongo.
 
How do I know?

1. I have your own confession
2. The quality of your argument is louder than #1

Umesomeka vyema mjomba.

Mengine jaribu jaribu Chatto na Makunduchi huko!

Endeleq kunywa mtori. Nyama utazikuta ukifa
 
Unajua mwanamke ni mwanamke tu ...Huwa hotuba yake ni ya kuomba kusaidiwa saidiwa tu.
UN assembly alionyesha udhaifu wake
Hakuna zaidi ya kujitapa na 50/50
Wakati Marekani wanyewe wanaiongolea 50/50 lakini hawaitekelezi coz wanaelewa shida ya Hawa wabeijini
 
Kwani lazima tualikwe Marekani kana kwamba sisi ni koloni lao? Tualikwe tualikwe sisi ni nchi huru. Hata Putin hajaalikwa wala Xi

Tofauti ni kuwa tulikwenda hadi ku lobby kupata hiyo tunayoiita fursa.

Hiiiiii bagosha!
 
Hawa unaowasema wanauchumi wao. Wewe hata CHANJO ni ya msaada au mkopo. Sisi tunajivunia ujinga

Kuna taifa moja wana kiswahili cha kuunga unga hii unayoiona ya hao mburula inaitwa "kujikakamua" 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
 
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.

Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting

Hatuna cha kujifunza kweli?

Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!

Mwenye macho haambiwi tazama.
Walio shauri Mh Mbowe pewa KESI ya UGAIDI ,laana iwe juu yao ,ukoo wao ,na familia zao , walizani wanaikomoa CHADEMA,kumbe wanalikomoa Taifa,leo tz imekua kituko Mbele ya macho ya Dunia, YESU njoooooo, na tafuna watu hao
 
Walio shauri Mh Mbowe pewa KESI ya UGAIDI ,laana iwe juu yao ,ukoo wao ,na familia zao , walizani wanaikomoa CHADEMA,kumbe wanalikomoa Taifa,leo tz imekua kituko Mbele ya macho ya Dunia, YESU njoooooo, na tafuna watu hao

Ngoja tuvune dengu zetu tulizopanda mkuu:

IMG_20210925_164121_485.jpg


Hata watwaleban kadhia hii haikuwakuta UNGA.
 
Back
Top Bottom