- Thread starter
- #81
Teh Teh Teh Haa Haa
Mtemi Hangaya Katoka US Juzi Tena Bado Wa Moto Moto
Mpaka Kahutubia Dunia, Tukaandamana Dar Es Salaam, Dodoma
Tukaambiwa hotuba yake ilikuwa kwenye top 7.
Hiiiiii bagosha 😂😂!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh Teh Teh Haa Haa
Mtemi Hangaya Katoka US Juzi Tena Bado Wa Moto Moto
Mpaka Kahutubia Dunia, Tukaandamana Dar Es Salaam, Dodoma
Haijawahi Kutokea Tangu Kuumbwa DuniaTukaambiwa hotuba yake ilikuwa kwenye top 7.
Hiiiiii bagosha 😂😂!
Mbona madikteta ambao wanakandamiza demokrasia kama Al Sisi wa Misri au Muhammad Bin Salman wa Saudi Arabia wameshaalikwa White House?
![]()
![]()
You have two replies for the same post 😂😂!
Interesting!
View attachment 1974611
I give you some time to acquaint with the dose.
Relax.
You are almost there.
How do I know?
1. I have your own confession
2. The quality of your argument is louder than #1
Umesomeka vyema mjomba.
Mengine jaribu jaribu Chatto na Makunduchi huko!
Endeleq kunywa mtori. Nyama utazikuta ukifa
Hamia Kenya mkuu😂😂😂😂Wewe ukifa utakuta zimekwisha
Siasa zimesheheni wanafiki na wachumia tumbo. Wanajidanhanya ndio wasomi wa Taifa letu. Majanga matupu.
Hata usafi tu uliofanywa Dar ni mojawapo ya faida hizo!!!Obama alikuja mpka hapa Tz!
Ulifaidika kitu gani?
Hamia Kenya mkuu😂😂😂😂
Kwani lazima tualikwe Marekani kana kwamba sisi ni koloni lao? Tualikwe tualikwe sisi ni nchi huru. Hata Putin hajaalikwa wala XiWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Kwani lazima tualikwe Marekani kana kwamba sisi ni koloni lao? Tualikwe tualikwe sisi ni nchi huru. Hata Putin hajaalikwa wala Xi
Russia, China huwezi kulinganisha na Shithole ambao hawawezi hata kujenga vyoo mashuleni bila kutembeza bakuli.... 🤣 🤣 🤣Kwani lazima tualikwe Marekani kana kwamba sisi ni koloni lao? Tualikwe tualikwe sisi ni nchi huru. Hata Putin hajaalikwa wala Xi
Hawa unaowasema wanauchumi wao. Wewe hata CHANJO ni ya msaada au mkopo. Sisi tunajivunia ujingaKwani lazima tualikwe Marekani kana kwamba sisi ni koloni lao? Tualikwe tualikwe sisi ni nchi huru. Hata Putin hajaalikwa wala Xi
Hawa unaowasema wanauchumi wao. Wewe hata CHANJO ni ya msaada au mkopo. Sisi tunajivunia ujinga
Walio shauri Mh Mbowe pewa KESI ya UGAIDI ,laana iwe juu yao ,ukoo wao ,na familia zao , walizani wanaikomoa CHADEMA,kumbe wanalikomoa Taifa,leo tz imekua kituko Mbele ya macho ya Dunia, YESU njoooooo, na tafuna watu haoWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Walio shauri Mh Mbowe pewa KESI ya UGAIDI ,laana iwe juu yao ,ukoo wao ,na familia zao , walizani wanaikomoa CHADEMA,kumbe wanalikomoa Taifa,leo tz imekua kituko Mbele ya macho ya Dunia, YESU njoooooo, na tafuna watu hao