Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Wabongo bwana, akialikwa mnakesha humu kusema anaiuza nchi kwa mabeberu! Ameenda un tu makelele kibao, je akialikwa?
 
Wabongo bwana, akialikwa mnakesha humu kusema anaiuza nchi kwa mabeberu! Ameenda un tu makelele kibao, je akialikwa?

Hawaalikwi wenye makando kando:

IMG_20210930_170832_807.jpg
 
Nini biden,kenyata alialikwa na white house na trump ule mwaliko uliisaidia nini kenya!?
 
Tz bhana
Wakienda mnaona kama mnaibiwa
 
Hadi uwaruhusu symbion wakuuzie umeme kwa bei wanayotaka ndio utaalikwa white house. Nyerere alituambia ukiona mabeberu wanakupenda ujue kuna mahali unakosea kuhusu maslahi yako.
Kwanza watanzania hawapendi rais wao kujipendekeza nchi za kibeberu.
Huyo huyo Nyerere ndio alikuwa rafiki mkubwa wa rais wa marekani wakati huo..Kennedy.

Alialikwa white house zaidi ya mara moja,UK ndo usiseme.

Mkubali tu kuwa kidiplomasia tumefeli na chanzo ni unyanyasaji kwa wapinzani unaoendelea.
 
unadhani marekani ni kama vikokotoni ama kule makunduchi , wanaitwa watu wenye maana tu , nyie mtaishia kupokelewa na Mh. Mange tu thats what you deserve
 
Angealikwa ungesikia makelele Biden anyoosha mikono kwautendaji wa Hangaya lkn vile hawajakubalika kwakuwa wakandamizaji wawatu wao wenyewe basi watakwambia waitihausi ndonini!! Hao mabeberu tuu.
 
Kenya chini ya Uhuru inaonekana ni nchi kiongozi katika Afrika. Ufumbuzi wa matatizo ya Africa unajadiliwa na the most superpower na Kenya.

Matatizo ya udikteta, uongozi mbaya na uvunjifu wa demokradia Afrika yanajadiliwa na US na Kenya. Kwa wenye akili, hili si jambo dogo.

Kenya ipo katika mwanga, na hata akiondoka Uhuru, chini ya Raila Odinga, Kenya itaendelea kung'ara. Wote wawili, Uhuru na Raila, ni watu walio na hekima, wakweli wa nafsi, na siyo wanafiki kama viongozi wetu wa Tanzania.

Tunaiombea Kenya izidi kung'ara, viongoxi wake waendelee kujaliwa hekima. Maana lolote lililo jema au baya linalotokea Kenya, halikosi kuigusa Tanzania. Tulishuhudia marehemu alipoharibu mahusiano na Kenya, jinsi wakulima wetu wa mahindi, machungwa na parachichi, wafanyaboashara wa mbao, na wengine wengi walivyoathirika.

Huku kwetu ni sikio la kufa. Watu wanajivunia na kuuonea fahari uovu. Kiongozi mwovu na mkandamizaji zaidi huonekana ndiye shujaa.
 
Kenya chini ya Uhuru inaonekana ni nchi kiongozi katika Afrika. Ufumbuzi wa matatizo ya Africa unajadiliwa na the most superpower na Kenya.

Matatizo ya udikteta, uongozi mbaya na uvunjifu wa demokradia Afrika yanajadiliwa na US na Kenya. Kwa wenye akili, hili si jambo dogo.

Kenya ipo katika mwanga, na hata akiondoka Uhuru, chini ya Raila Odinga, Kenya itaendelea kung'ara. Wote wawili, Uhuru na Raila, ni watu walio na hekima, wakweli wa nafsi, na siyo wanafiki kama viongozi wetu wa Tanzania.

Tunaiombea Kenya izidi kung'ara, viongoxi wake waendelee kujaliwa hekima. Maana lolote lililo jema au baya linalotokea Kenya, halikosi kuigusa Tanzania. Tulishuhudia marehemu alipoharibu mahusiano na Kenya, jinsi wakulima wetu wa mahindi, machungwa na parachichi, wafanyaboashara wa mbao, na wengine wengi walivyoathirika.

Huku kwetu ni sikio la kufa. Watu wanajivunia na kuuonea fahari uovu. Kiongozi mwovu na mkandamizaji zaidi huonekana ndiye shujaa.

Huku kwetu tuna tatizo kubwa lililoanzia awamu #5.

Kuna kitu kimeitwa urais ni taasisi. Akaaminishwa Hangaya hivyo. Kwenye usukani sasa kuna mikono 4.

Hao ndiyo wanaoichafua nchi hii. Bila Hangaya kuling'amua hilo na kulifanyia kazi yeye mwenyewe. Ategemee fedheha zaidi.
 
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.

Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting

Hatuna cha kujifunza kweli?

Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!

Mwenye macho haambiwi tazama.
Hoja ya kitumwa Sana hii.Badala uzungumzie kwa nini Parachichi yetu haiingi moja kwa moja kwenye big markets Kama China hadi tupitie kwa jirani au Thailand kwa kutokua ba bilateral agreement we unazunyumzia kualikwa white house.Tuzungumze white house kiuchumi sio Kama sifa.
 
Back
Top Bottom