Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Hoja ya kutumwa Sana hii.Badala uzungumzie kwa nini Parachichi yetu haiingi moja kwa moja kwenye big markets Kama China hadi tupitie kwa jirani au Thailand kwa kutokua ba bilateral agreement we unazunyumzia kualikwa white house.Tuzungumze white house kiuchumi sio Kama sifa.

Unawaza maparachichi? Kwani huyu:

IMG_20210930_170832_807.jpg


yuko wapi? Hujui kuwa yumo humu?

IMG_20210925_164121_485.jpg


Wewe endelea kuwaza maparachichi ya huko Munjombe.

Hiiiiii bagosha!
 
..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.

..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
Atasema hali ya dmokrasia ya Tanzania ni ya hovyo.

Sukuma Gang walipoona mama ameanza vizuri ndani ya siku 100 za kwanza wakaanza kuona dalili kwamba atamfunika aliyetangulia hivyo wakabuni mkakati wa kumchafua ili asijepata lile donge none la Mo Ibrahimu analotoa kwa viongozi wastaafu wa Afrika waliotukuka (ambalo soon Uhuru Kenyata atalipata).

Pole sana mama yetu kwa kuingizwa mkenge na wahafidhina wachache wanaowasumbua mabalozi mbalimbali kushinda mahakamani bila sababu ya msingi. Uliposimama pale UN kutoa ile hotuba nzuri, usidhanie walikuwa wanayasikiliza yale uliyokuwa unayazungumza, bali walikuwa wanapigia ripoti ya nchi yako kutoka kwa mabalozi wao walioko huku Tanzania!
 
Huku kwetu kwa Sasa tunahangaika na soko la Parachichi kwa maana maisha Bora na uchumi ni human rights pia"the right to social welfare,economic rights.

Sawa bwana Munjombe shughulika na maparachichi ya Munjombe.

Maisha ya wengine kwetu yana thamani.

Wako wapi Moses Lijenje, Ben, Azory?

Nani walikuwamo kwenye viroba?
 
Kualikwa White House ni sifa?

Kutoalikwa ni sifa?

Mbona migambo mnarukaruka na kukanyagana menyewe kwa menyewe wallahi?

Kwani aliyemchukua hadi JK NY kwa ajili ya lobbying hakulijua hilo?

Hiiiiii bagosha!
 
Kutoalikwa ni sifa?

Mbona migambo mnarukaruka na kukanyagana menyewe kwa menyewe wallahi?

Kwani aliyemchukua hadi JK NY kwa ajili ya lobbying hakulijua hilo?

Hiiiiii bagosha!
Crap
 
..nadhani kuna kitu kilimtokea ghafla.

..hata kama alikuwa akitukana wazungu, angeweza kuwashawishi kwa fedha, wakamtumia madaktari bingwa kuja kunusuru maisha yake.

Hata che Nkapa, Mahiga, Kijazi, na Nfugale vyote vilikuwa vya ghafla mno.

Daktari hata aje kwa drone asingeweza kuwahi.

Wazee wa Wuhan - Shikamoni sana!

Ama kwa hakika kwa hao popo wenu kwa hakika mmetukwaza mno.
 
Sisi tumechagua mauaji, kufungana kwa chuki, hatukidhi viwango vya kualikwa white house

Ndipo ulipo mzizi wa fitina. Mengine yote ni kisebu sebu na kiroho papo cha mitu ile ile.
 
Kila mmoja ataingia white house kwa muda wake!
White house siyo mbinguni!! Wana white house, tuna ikulu!! Hakuna tofauti!! Ni ulemavu wa akili kujisikia vizuri eti kwa sababu tu umeingia white house!!
Jisikie vizuri kwa hoja iliyokupeleka yenye maxlahi kwa Taifa na siyo unaenda huko halavu unashnikizwa kuchanja watu wako ili mabeberu wapige pesa!! Ukichanjwa moja wanakuambia haitoshi chanja na booster!!
 
White house siyo mbinguni!! Wana white house, tuna ikulu!! Hakuna tofauti!! Ni ulemavu wa akili kujisikia vizuri eti kwa sababu tu umeingia white house!!
Jisikie vizuri kwa hoja iliyokupeleka yenye maxlahi kwa Taifa na siyo unaenda huko halavu unashnikizwa kuchanja watu wako ili mabeberu wapige pesa!! Ukichanjwa moja wanakuambia haitoshi chanja na booster!!

Kweli kwenu mbinguni bwana mbingunikwetu 😁😁.

Ha haa!

Ama kwa hakika JF raha sana.

Hiiiiii bagosha!
 
..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.

..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
Kwani Kenyatta ni msemaji wa watanzania, acha upopoma wako
 
Back
Top Bottom