Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Ujinga mtupu.

IMG_20210721_112817_344.jpg
 
Iko wazi hiyo Kenya ndo wanaongoza kwa demokrasia ktk ukanda wetu wa Afrika Mashariki na pembe ya Afrika. Kenya pia ni nchi ya kimkakati Kuna Western investments za kutosha Kenya kuliko nchi yeyote ktk ukanda huu.
Vilevile hali ya kkutotulia kwa Somalia,Southern Sudan na recently Tigray na Ethiopian Federal kuwa ktk vita nako kunaifanya Kenya kuwa kimbilio ili itumie utulivu wake kuleta amani ktk ukanda huu. So mixture ya demokrasia na utulivu vinaibeba Kenya but mostly DEMOCRACY. Lumumba mna la kujifunza hapo msikwepe.
Lumumba Wana la kujifunza? NI wagumu sana kujifunza, jana tu wamefanya madudu Nyerere day ikageuzwa Magufuli day, mashada BADALA ya kuwekwa Butiama, yakawekwa Chatto! White House yao iko DODOMA kwenye jengo lao wanaita White house.
 
Labda rais wa wenzio msiojulikana:

View attachment 1975069

Yuko wapi Lijenje?
Mijadala mingi muno, mwacheni Rais afanye kazi, amekabidhiwa Nchi na Mungu. Na kwa walio na jicho la pili au la kiroho, wanaweza kugundua kuwa Mama alikabidhiwa nchi na Mungu wakati wa Kampeni za uchaguzi wa mwaka 2020. Ukiangalia vizuri, wakati huo Mama alipiga kampeni kuwazidi wenzake wote, JPM na Majaliwa. Mama alipiga kampeni sana, na kumbe ndiyo muda huo Mungu alikuwa anahamisha umiliki wa nchi kutokwa kwa Rais alyekuwepo kipindi hicho kwenda kwa Mama
Kitu kinachofanana kidogo na hiki kiliwahi kutokea hata kwenye Biblia. Sauli Mfalme wa Israel aliwahi kurithiwa na Daudi. Daudi alikabidhiwa ufalme akiwa bado mtoto mdogo, huku Sauli akiwa anendelea kuwa mfalme, mpaka daudi alipofikia umri wa kutawala. Kilichotokea ni kwamba ilibidi Mungu atengeneze sababu za Daudi kuwa karibu sana na Mfalme Sauli, na hivyo ikabidi Daudi alazimike kutoka nyumbani kwa baba na Mama yake, kwenda kusihi nyumbni kwa mfalme Sauli. Daudi alipokuwa akiishi nyumbani kwa mfalme Sauli, ndiyo hapo Mungu akawa anafanya sasa transfer ya kuhamisha ufalme kutoka kwa Sauli kwenda kwa Daudi. Kumbuka kuwa hapa Daudi alikuwa bado mdogo na ilichukua miaka kadhaa mbele hadi kuja kutawazwa kuwa ufalme
Kwa hiyo kiroho, muda ambao Mungu alihamisha utawala kutoka kwa Hayati JPM na kuupeleka kwa Mama, utakuwa ni wakati ule wa kipindi cha Kampeni za 2020!
Ubarikiwe tena na Bwana
 
Akili za Bavicha ni shida tupu, muda wote kuwaza vitu shallow na ujinga ujinga!! Sasa WH waalike marais wote duniani huyo Biden atapata wapi muda wa kulitumikia taifa lake? Kila week yeye si atakuwa busy kupokea marais tu? And aliyekuambia kuwa Rais mwanamke ni deal la kidemokrasia ni nani? Grow Up...
 
Shida yenu nyinyi hamjui mnachokihitaji mpaka sasa, yaani kiufupi ni hamna ajenda mnayosimamia. Nongwa ndo zimezidi, mim nina uhakika mama angealikwa huko white house ndo mngetukana mpaka matusi yote mngemaliza; mngesema ameende kuuza nchi tayari. Yaani hamueleweki mnasimamia lipi.

Si kuwa wenye shida ni ninyi?

Kumbukizi: Nani kama Nyerere (RIP)?

Hadi sasa hujui kuwa uhuru, haki, usawa na demokrasia kwetu havina mbadala?

Kwa mtaji huu:

IMG_20210925_164121_485.jpg


haalikwi mtu!

Mengine haya ni kisebu sebu na kiroho papo.
 
..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.

..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
Akiulizwa atasema Jirani zake kazi yao ni kuwaonea wapinzani kuwabambikia kesi za ugaidi feki huku Polisiccm mahita kiwafunga pingu saa 24 kuwatesa kuwapoteza akina Moses Lilenje kwa njia haramu za kishetani
 
Baada ya hapo ugali mezani kwako uliongezeka?
Tanzania hakuna ugaidi hata Moses na Lt urio wamepotea kwa kulazimishwa waseme ugaidi hewa wakateswa hadi kupotea huwezi kumlazimisha mtu aseme kitu ambacho hakipo lazima utamtesa sana kupelekea umauti , kingai na mahita wanayo Dhambi ya kujibu siku ya kiama
 
Uhuru si ndo rais aliesababisha maafa kipindi cha uchaguzi?

Unafanyaje sas ili upandishe
..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.

..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.

Kiongozi bora ni yule wa kuwabambikia kesi wapinzani?
Umenukuu ktoka wapi?
 
Uhuru si ndo rais aliesababisha maafa kipindi cha uchaguzi?

Unafanyaje sas ili upandishe uwezo wako wa kufikili
..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.

..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
 
Hayo ni mawazo mfilisi, wewe unapo sema kuwa haha alikwa kwa sababu ni mwanamke si kweli kabisa, huko huko ndo walio mtaka kuwa miongoni mwa Marais wenye hekima duniani.
Rais wetu chapa kazi endelea kuturejeshia Heshima yeti iliyo kuwa imepotea.
Dunia inaona kazi unayo ifanya na watanzania wenye hekima tunaona.
Watanzania wapi unawasemea? au watanzania unaovuta nao Bangi hapo gheto? Kuchapa kazi ni kuwabambikia kesi wapinzani? Mahita kuwafunga pingu walinzi wa mbowe kuwapiga kuwalazimisha wakubali ugaidi hewa ni kuchapa kazi? Heshima ipi utarejea wakati mbowe yupo jela kwa kesi ya kubambikiwa? wenye hekima hamuoni huo uonevu siyo?
 
Uhuru si ndo rais aliesababisha maafa kipindi cha uchaguzi?

Unafanyaje sas ili upandishe uwezo wako wa kufikili
..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.

..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
 
kenya ni kibaraka wao mkuu kwa eneo hili hivo usishangazwe na huo mualiko watu wapo kwenye mission za kikazi.

Kumeshakucha yapata masaa 8 sasa.

Achilia shuka hilo mkuu halikusaidii tena.
 
Ukisha alikwa faida yake nini?
Nambaie malaisi waliowahi kwenda Whitehouse nchi zao zimepata nini cha kujivunia?

Huyo Kenyata wala sio mara ya kwanza kualikwa huko, sasa kenya wako kama ulaya au USA?
Sifa zingine ni za kijinga.
Kwani lazima waje kwako kukuambia faida za kualikwa huko? Kuna sifa ya kijinga kama kuwabambikia kesi wapinzani?
 
Back
Top Bottom