- Thread starter
- #141
Acha mawazo ya kimaskini wewe
Kwani ni mawazo ya Kimaskini, kitajiri au kishujaa?
Kwani wawakilishi wao waliokuwa wanapiga ripoti pale law school mliweza kuwahadaa?
Au mnadhani hawa waliwaona kwao ni wajamaika?
Au mnadhani Mosses Lijenje hawajamsikia?
Kuuwa watu kinyama siyo roho za kitajiri bali za kihayawani tu![/QUOTE]