Kenyatta Uhuru kutua Chato

Safi sana..mwenye shida ndio humuita mwenzie....[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]siku zote km kuna jambo flani linakuumiza au kukushinda...unaita jamaa aliyekuzidi na kufafanunulia vizuri mambo yanavyoenda...
 
Porojo mingi wakinya mnamatatizo

Kuhusu ya Rwanda ni chin ya kapet hayo
 
Hiyo ni barua tu inapunguza ukali wa maneno tu

Lakn kiuhalisia anakwenda Tz kuomba msamaha

Ona sasa Jagwa amemponza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasawa msemaji wa rais[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni barua tu inapunguza ukali wa maneno tu

Lakn kiuhalisia anakwenda Tz kuomba msamaha

Ona sasa Jagwa amemponza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huna tusi lolote Mpuuzi wewe
huna jibu lolote humu bila ccm!!
Wacha kujipendekeza Kubwa jinga
Changia mada husika
Hapo sio ccm, ccm inahusika vipi na mada
Du!! Kama kawaida yako
[emoji1] [emoji1]
 
Changia mada husika Acha Uzuzu wako
Kujipendekeza ndio sifa yako kama Kinda jike!
Ww unahisi kuitaja Ccm ndio kupata ujiko Mpuuzi wewe
Ukipoteaga Humu napataga huzuni[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
I suspect RAO will be there also! This visit is a result of handshake!
 
Tulivyowadindia kwenye hiyo issue ya huyo mhuni wana la kujifunza.
 
I suspect RAO will be there also! This visit is a result of handshake!
Bure kabisa...si ulituambia Bagamoyo itakamilika mwaka huu? Sasa umetudanganya Tena? RAO Kama atukuwepo natoka JF.😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…