Kenyatta Uhuru kutua Chato

Kenyatta Uhuru kutua Chato

Midanganyika zinaweweseka sana kuhusu huu mwaliko wa Uhuru. Mkatazeni huyo dictator wenu asimpe hata maji ya kunywa basi. Chuki itawaua bure
 
Hehehe hata alale chumbani kwa magufuli,Takataka kama brookside hazikanyangi Tz.
JPM sio mtu wa kushawishi ukitumia binu za kiselasela hivi..Sijui anatafuta nini chato, nikama tu yule demu ushaa fyeka na kudump tena hakomi kuingia inbox..
Aisee tabia hii hukera sana
sasa mbwa kama wewe kengeza hauna hata underwears mbili unalalamika juu ya hot air...Bure kabisa
 
Kama mngetumia kiingereza, wewe na nani? Kiswahili chenyewe kinakutatiza sasa ukitumia kiingereza si ndio itakuwa aibu tupu? Wakenya wengi humu huwa wanatumia kiingereza, kila wanapotaka kujadili masuala ya maana, bila ya kuwahusisha hawa malofa wenzako. Ona wanavotupia pumba za ajabu humu. Tushukuru mungu kwamba kiingereza kinawatatiza na wageni wakiingia humu huwa hawaelewi mada na hoja za kiswahili. Bure tungejiletea aibu nyingi sana kama watu wa Afrika mashariki. Nenda kule Twitter, uone hoja za maana za wakenya tena wanatumia lugha inayofahamika duniani kote. Alafu pitia kule Instagram, uone pumba juu ya pumba kutoka kwa wtz wenzako.
Ebu pitia hapa, there is something the Tanzanains don't want to show us about ATCL in South Africa.

Check out these search results: https://twitter.com/hashtag/ATCLSouthAfrica?s=09
 
Huna tusi lolote Mpuuzi wewe
huna jibu lolote humu bila ccm!!
Wacha kujipendekeza Kubwa jinga
Changia mada husika
Hapo sio ccm, ccm inahusika vipi na mada
Anapenda kujipendekeza kwa wapinzani wa ccm huyo mbwiga, hajui ni tone moja baharini linalopotea 2020.
 
Bahati ya kutumia kiswahili ni yenu wakenya kamatungetumia kingereza nchi zote zinge wadharau sana wakenya hata mngeonekana takataka maana nyinyi mnapenda kuwa mbwa wa wazungu
Na nyinyi ni umbwa zetu, uchumi tumo juu yenu, masomo, health/matibabu na pia michezo si uliona vile tuliwanyorosha sawa sawa kule Misri. Nyinyi mtaishi kuwa mbwa wetu mpende msipende 😂
 
Hehehe uchumi upi huo, elimu ipi iyo au ile kwenda kusoma kingereza tu huku kichwani hamna kitu, kwenye hospital kaa kimya kabisa alafu kutufnga mngetakiwa mjisifie kama mmefunga 3-0
Na nyinyi ni umbwa zetu, uchumi tumo juu yenu, masomo, health/matibabu na pia michezo si uliona vile tuliwanyorosha sawa sawa kule Misri. Nyinyi mtaishi kuwa mbwa wetu mpende msipende [emoji23]
 
Biashara ya kuiba madini yetu nani anataka wezi wanao iba tz wameweka kambi Kenya Kwa kuwekeza wenyewe mnajisifia kuwa taasisi za kimataifa nyingi zipo kwenu kumbe wapo kuiba madini ya tz ndiyo maana madini yote tunayokamata yanaelekea huko Kenya niambie kwanini ?

Wakenya ni wezi wakubwa Sana hata gesi ya Mtwara wanaiba, dhahabu na Tanzanite pia hata nafikiri hao ndio wenye Barrick Gold na Acacia na wanafaa wailipe Tanzania $190b in Taxes.

Iwiva, Kati ya CCM, Kenya na Waingereza, ni Nani mwizi zaidi?
 
Hehehe uchumi upi huo, elimu ipi iyo au ile kwenda kusoma kingereza tu huku kichwani hamna kitu, kwenye hospital kaa kimya kabisa alafu kutufnga mngetakiwa mjisifie kama mmefunga 3-0
Wewe wacha wivu, kingereza kinatusaidia kuwasiliana na watu wa Nchi mbalimbali ama ulitaka nizungumze na mtu was kutoka Afrika Kusini kwa lugha ya kimakonde??? Ndio maana East African secshen JF hamna Waganda.

Cha maana kule Misri Harambee waliponyoka na pointi 3 baada ya kuichapa CCmstars kichapo Cha mbwa msikitini.😭😭 mlipiga timu yeyote kweli?? ukipata jibu nitag 😂😂😂

Bure kabisa
 
Wakenya ni wezi wakubwa Sana hata gesi ya Mtwara wanaiba, dhahabu na Tanzanite pia hata nafikiri hao ndio wenye Barrick Gold na Acacia na wanafaa wailipe Tanzania $190b in Taxes.

Iwiva, Kati ya CCM, Kenya na Waingereza, ni Nani mwizi zaidi?
Pia babako akiendelea kuwa mlevi chakari tutaiba mamako
 
Back
Top Bottom