babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Yaani wivu kisa kingereza ambacho hakijanyooka [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe wacha wivu, kingereza kinatusaidia kuwasiliana na watu wa Nchi mbalimbali ama ulitaka nizungumze na mtu was kutoka Afrika Kusini kwa lugha ya kimakonde??? Ndio maana East African secshen JF hamna Waganda.
Cha maana kule Misri Harambee waliponyoka na pointi 3 baada ya kuichapa CCmstars kichapo Cha mbwa msikitini.[emoji24][emoji24] mlipiga timu yeyote kweli?? ukipata jibu nitag [emoji23][emoji23][emoji23]
Bure kabisa