Kero: Abiria wa Vingunguti, Buguruni, hawatendewi haki na mamlaka za usafirishaji umma

Kero: Abiria wa Vingunguti, Buguruni, hawatendewi haki na mamlaka za usafirishaji umma

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
HAKUNA USAFIRI UNAOWAFIKISHA WAKAZI WA ENEO HILI MOJA KWA MOJA MPAKA FERRY.

Abiria wa eneo hili wameomba kilio chao kusikilizwa na mkuu wa mkoa, kwani wamekuwa wakipata tabu sana, hivyo kulazimika kupanda mabasi mawili ili kufika ferry, ambayo kwao imekuwa ni mzigo mkubwa kutokana na maisha kwa kipindi hiki kuwa ki gumu kutokana na hali ya uchumi wa kidunia na vita vya Urusi na Ukraine.
 
Vinginguti/Buguruni ni prime areas,kibiashara na kiuchumi Kwa Ujumla wake.
Hizi sehemu ziko karibu kabisa na City center,ni sehemu ambayo Jiji linaendelea kupanukia huko.
 
Vinginguti/Buguruni ni prime areas,kibiashara na kiuchumi Kwa Ujumla wake.
Hizi sehemu ziko karibu kabisa na City center,ni sehemu ambayo Jiji linaendelea kupanukia huko.
Kweli kbsa kuwaondolea gari za Moja Moja kuwapa watu wa goms ni uonevu sana
 
Back
Top Bottom