Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
- Thread starter
- #41
ukumbuke macho hayana pazia. na akili hupokea kile kinachopokelewa kupitia 5 sensesYanakujeruhi vipi wakati ni mambo Yao binafsi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukumbuke macho hayana pazia. na akili hupokea kile kinachopokelewa kupitia 5 sensesYanakujeruhi vipi wakati ni mambo Yao binafsi...
Hiyo Kitu Ni Bhalaa Kwa Vijana Ikiambatana Na Fedheha Unakuta Kijana Kavaa Suruali Kama Imekatwa Na PangaWanaziita MODO aka VICHUPA....Ngoja waje wavaa vimodo waje kutupa mrejeho
skuizi naona vijana hadi wanachonga nyusi😂 aibu kweli kweliWanaume og wamekua wachache sana siku hizi
Childish Gambino wewe huvaagi mnyonyo ?aisee ni ugonjwa wa taifa.... wanaiga vitu vya ughaibuni
hapana mkuu navaa mabuga😂 sema kwenye nywele we keep it nappy like childish gambinoChildish Gambino wewe huvaagi mnyonyo ?
Kijana nywele kuwa nappy bila hela ni uchafu...... 🤣 🤣hapana mkuu navaa mabuga😂 sema kwenye nywele we keep it nappy like childish gambino
style kijana kuchana nywele tumefundishwa na wazungu its almost racist😂Kijana nywele kuwa nappy bila hela ni uchafu...... 🤣 🤣
Yaani wanatumia nguvu nyingi sana kucompete na sisi 🤣skuizi naona vijana hadi wanachonga nyusi😂 aibu kweli kweli
Nishakutana na baunsa kavaa kipedo sehemu moja hivi...Inasikitisha sana, wanavaa ywakubana nao wanaonesha walivyo maashala
wanaenda na soko nyie si mnataka rotimi types, kizz daniel types😂Yaani wanatumia nguvu nyingi sana kucompete na sisi 🤣
Braza hata ukitembea uchi, ila ukawa na hela watasema una mbwembwe.style kijana kuchana nywele tumefundishwa na wazungu its almost racist😂
i'm woke😂Braza hata ukitembea uchi, ila ukawa na hela watasema una mbwembwe.
Ila ukiwa masikini watakukamata wanakupeleka kwenye maombi mapepo yatoke..
i'm woke😂
Hakuna fatherhood hapoNishakutana na baunsa kavaa kipedo sehemu moja hivi...
Halafu wenzake wanacheza Single Lady ya Beyonce, daaah!