Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Yamekuwa hayo tena?Kazi ipooo😄😄
Tatizo binadamu wanapenda sana ngono.Haya twende kazi
- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.
- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.
- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua tuna kikoba"
- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende[emoji1787][emoji1787]
MwambieeAnapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua
Heeh🤨 unasema?wanaowasumbua waleteni kwangu.niwape kifir...
Sio kwamba anajua tabia ako- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣
wanasema kwa sasa hakuna namnaTatizo binadamu wanapenda sana ngono.
Heeh😇😇 haram ipi tena hiyo jmn?Unaomba na haramu
😁😁
🤣🤣🤣hii kali eti pastaNikiona unampango wa kunikera natulia na kikojoleo changu,yaan nikuambie fanya hivi uniambie mapigo ya kipasta! Nanyetuka mbele yake naishia sitakagi ujinga mimi [emoji41]
[emoji850][emoji850][emoji850]Sio kwamba anajua tabia ako
Akikupa hivyo
Unaomba na haramu
[emoji16][emoji16]
Si uwafundishe 😁 maana huwezi kuwa umekiss maelf yote ya wanawake wa kibongoWanawake wengi wa kibongo hawajui jinsi ya kula denda (french kiss)
Unakuta pisi kali sana lakini she ain't a good kisser
kuna darasa kumbe la kukiss na hamsemi😊😊Si uwafundishe 😁 maana huwezi kuwa umekiss maelf yote ya wanawake wa kibongo
Wengine unawafundisha kwa vitendo kabisa, ila wengine wako shapu kuelewa ukianza wewe kumkiss vizuri passionately hata kama mwanzoni alikuwa anakosea anabadilika anakuiga kukissSi uwafundishe 😁 maana huwezi kuwa umekiss maelf yote ya wanawake wa kibongo
Nielimishe kidogo huenda mwenzenu natoa harufu ya vitunguuMbona kuna njia rahisi tu ya kufanya ujijue unatoa harufu mdomon au vp
kiongozi kumbe unatoa darsa ya mambo haya kwa wadada?🤣ila nashukuru wengi waliopitia kwangu