Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan French kiss, wabongo wengi hawawezi, wanachojua wao ni kunyweshana mate, kugongana meno km cheers ya glass, mara kuvutana lips, ptyuuuuuh.Sikupingi, bora umekuja mwanangu cocastic tia nyama somo lieleweke
Mda mwingine ukiandika kuwaelimisha hayo unayoyasema ww hawachelewi kukuletea mambo ya kijey efuUkweli wa harufu ya mdoma , Watanzania wengi wanakosa package nzuri za kusafisha meno tofauti na wenzetu.
Yaani mswaki tu basi mbona mtu akioga bado anapaka mafuata ,lotion , deodorant na perfume.
Hata kupigwa mswaki bado panahitaji vitu vingine kama mouthwash ,refreshner kibao la sivyo ni patapotea .
Yap! Maji ni muhimu hasa kwa harufu inayotokana vyakula mfano unakuta Mtu kala kachumbari akihema unapata harufu
😂😂😂🙀Mmbo iko motoHaya twende kazi
- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.
- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.
- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua leo tuna kikoba"
- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣
Kanipiga dislike za maanamrembo mdudu wa bunju mamboo..
wako wangapi hawa?Nashukuru wangu nawafundisha na huwa wanaelewa.
NAKAZIAYaan French kiss, wabongo wengi hawawezi, wanachojua wao ni kunyweshana mate, kugongana meno km cheers ya glass, mara kuvutana lips, ptyuuuuuh.
Mtu unamueleza tunabadilishana ndimi (ulimi), lenyewe linakazana kufyonza mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru wangu nawafundisha na huwa wanaelewa.
French kiss ni tamu km mnaiweza na mna feel same. Woiiiih
😂😂😂Kaa kwa kutuliaKazi ipooo😄😄
Una moyo sana kudate na vichaaa ni kipajihuyó nishemeji yako mkuu leo Yuko kwenye sikuzake anableed mzoee
saivi hakuna kuliwa ni kukulanaumeliwa nawangapi hadi mdahuu mkuu.
sa si ndo vibe zenyewe madame au?😂kukabwa shingo wakati jamaa anataka kukojoa
Ushaanza kutudanganya kwaiyo kombe la mate hua huchoti lini linazunguka pale kwa mouth 👄 kombe linajitengeneza 😂😂Yaan French kiss, wabongo wengi hawawezi, wanachojua wao ni kunyweshana mate, kugongana meno km cheers ya glass, mara kuvutana lips, ptyuuuuuh.
Mtu unamueleza tunabadilishana ndimi (ulimi), lenyewe linakazana kufyonza mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru wangu nawafundisha na huwa wanaelewa.
French kiss ni tamu km mnaiweza na mna feel same. Woiiiih
Sikumbuki idadi.umeliwa nawangapi hadi mdahuu mkuu.
Unanyonywa mpk meno yanakuruzwa apo kinachobaki ganzi tu hakuna Raha yoyote apoAnainyonya paipu halafu anakuuliza vipi niendeleee
Km wee huwezi poleee, endelea kunywa mimate ya mwenzio.Ushaanza kutudanganya kwaiyo kombe la mate hua huchoti lini linazunguka pale kwa mouth [emoji105] kombe linajitengeneza [emoji23][emoji23]
Sauli 3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wako wangapi hawa?
kenta, fuso au ndo shabib mbili? [emoji23]
Zimepangwa kama mabehewa vitu vingine msiulizege 😂Sikumbuki idadi.