Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Hasa hasa wanaotoka chini ya ule mlima mrefu kuliko yote afrika,hawatakagi kuwa humped hio staili...wao ni wamishionari orijino!
 
Sikupingi, bora umekuja mwanangu cocastic tia nyama somo lieleweke
Yaan French kiss, wabongo wengi hawawezi, wanachojua wao ni kunyweshana mate, kugongana meno km cheers ya glass, mara kuvutana lips, ptyuuuuuh.

Mtu unamueleza tunabadilishana ndimi (ulimi), lenyewe linakazana kufyonza mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru wangu nawafundisha na huwa wanaelewa.

French kiss ni tamu km mnaiweza na mna feel same. Woiiiih
 
Ukweli wa harufu ya mdoma , Watanzania wengi wanakosa package nzuri za kusafisha meno tofauti na wenzetu.

Yaani mswaki tu basi mbona mtu akioga bado anapaka mafuata ,lotion , deodorant na perfume.

Hata kupigwa mswaki bado panahitaji vitu vingine kama mouthwash ,refreshner kibao la sivyo ni patapotea .
Mda mwingine ukiandika kuwaelimisha hayo unayoyasema ww hawachelewi kukuletea mambo ya kijey efu
 
Haya twende kazi

- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.

- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.

- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua leo tuna kikoba"

- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣
😂😂😂🙀Mmbo iko moto
 
Yaan French kiss, wabongo wengi hawawezi, wanachojua wao ni kunyweshana mate, kugongana meno km cheers ya glass, mara kuvutana lips, ptyuuuuuh.

Mtu unamueleza tunabadilishana ndimi (ulimi), lenyewe linakazana kufyonza mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru wangu nawafundisha na huwa wanaelewa.

French kiss ni tamu km mnaiweza na mna feel same. Woiiiih
NAKAZIA
 
Yaan French kiss, wabongo wengi hawawezi, wanachojua wao ni kunyweshana mate, kugongana meno km cheers ya glass, mara kuvutana lips, ptyuuuuuh.

Mtu unamueleza tunabadilishana ndimi (ulimi), lenyewe linakazana kufyonza mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru wangu nawafundisha na huwa wanaelewa.

French kiss ni tamu km mnaiweza na mna feel same. Woiiiih
Ushaanza kutudanganya kwaiyo kombe la mate hua huchoti lini linazunguka pale kwa mouth 👄 kombe linajitengeneza 😂😂
 
Back
Top Bottom