Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
-
- #241
Daah sasa ujidai kuwaambia ukweli utavyonuniwa siku nzima na kunyimwa nyu.chi juu!Ireen
Kunuka mdomo; demu mzuri lips nzuri ila ndio hivyo.
Asha
Kunuka jasho. Hapendi kupaka manukato
Happy
Kunuka uchi
Kazi ipoNi nyingi mno ila hizi sitazisahau maishani mwangu:
1. Kunuka papuchi kama mtu asiyewahi kuoga maishani
2. Kukuta viashiria vya madawa ya kichawi kifuani na maziwa (kujipaka unga kwenye chuchu na kifuani), kuvaa shanga kiunoni zilizofungwa na hirizi
3. Kuwa na mavuzi makwapani na kuwa na ndevu japo ni demu
4. Kula kupitiliza, unakuta demu anakula utadhani hajala miaka kadhaa
5. Kunuka mdomo na makwapa japo kavaa vizuri na kuonekana sopu sopu
6. Kulazimisha kuhamia kwangu
Sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ayo mmbo mengine tusiwe tukimwaga Michele kwenye kuku wengi tuzamie tu [emoji1787] my crush wang
Huku ni kutiana kichefu chefuKm wee huwezi poleee, endelea kunywa mimate ya mwenzio.
Wengine unawafundisha kwa vitendo kabisa, ila wengine wako shapu kuelewa ukianza wewe kumkiss vizuri passionately hata kama mwanzoni alikuwa anakosea anabadilika anakuiga kukiss
Ijapokuwa sio kazi rahisi, ila nashukuru wengi waliopitia kwangu hata kama tumeachana wameondoka na ujuzi wa kukiss
Hii njia mkuu inaeza kukufanya kitu mbaya siku moja. Hivi wale wanawake wanaotoa harufu kali sana ukweni, hivi unadhani huwa wanakuja magetoni ilihali wanatambua papa zao zimeoza? Mganga hajigangi kaka. Tafuta mtu awe testa wako. Mpumulie puani kwake akupe majibu, msindikizie muamalaFanya km watoa hewa nje wakati huo mkono/ kiganja kipo kinataka kuidaka hiyo hewa.. utaipata vyema kabisa, so hapo utajua ni uchill ama ukapige mswaki 😃
wanataka maokoto [emoji23]Wanawake wakichaga hawapendi kabisa mbuzi kagoma
Wanawake wengi wa kibongo hawajui jinsi ya kula denda (french kiss)
Unakuta pisi kali sana lakini she ain't a good kisser
Yeah uko sahihi, halafu anakupakaza mimate tuUnashangaa mtu unampelekea lips yeye analileta ji ulimi lake zima zima utandhani ng'ombe anakunywa maji
Kwani uongo auSema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdyooKwani uongo au
Mimi siwezi kua muongo kwako my crush wasiwasi wako tuNdyoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em tokaa hapaMimi siwezi kua muongo kwako my crush wasiwasi wako tu
Au mpka niite mitarumbeta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em tokaa hapa
Na kigoma cha machura wa mbagala, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au mpka niite mitarumbeta
Sasa hii itakua wale wa mama kibonge pale kwa kiboko ya wachawiNa kigoma cha machura wa mbagala, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute kwerAsilimia kubwa ya vinavyolalamikiwa humu ni utamaduni wa uchafu wa wahusika.
Mpka mwaka uishe tutasema vyote 😂😂Haya twende kazi
- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.
- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.
- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua leo tuna kikoba"
- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣