Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Ni nyingi mno ila hizi sitazisahau maishani mwangu:
1. Kunuka papuchi kama mtu asiyewahi kuoga maishani
2. Kukuta viashiria vya madawa ya kichawi kifuani na maziwa (kujipaka unga kwenye chuchu na kifuani), kuvaa shanga kiunoni zilizofungwa na hirizi
3. Kuwa na mavuzi makwapani na kuwa na ndevu japo ni demu
4. Kula kupitiliza, unakuta demu anakula utadhani hajala miaka kadhaa
5. Kunuka mdomo na makwapa japo kavaa vizuri na kuonekana sopu sopu
6. Kulazimisha kuhamia kwangu
Kazi ipo
 
Wengine unawafundisha kwa vitendo kabisa, ila wengine wako shapu kuelewa ukianza wewe kumkiss vizuri passionately hata kama mwanzoni alikuwa anakosea anabadilika anakuiga kukiss

Ijapokuwa sio kazi rahisi, ila nashukuru wengi waliopitia kwangu hata kama tumeachana wameondoka na ujuzi wa kukiss

Mh hili sasa tangazo!!
 
Fanya km watoa hewa nje wakati huo mkono/ kiganja kipo kinataka kuidaka hiyo hewa.. utaipata vyema kabisa, so hapo utajua ni uchill ama ukapige mswaki 😃
Hii njia mkuu inaeza kukufanya kitu mbaya siku moja. Hivi wale wanawake wanaotoa harufu kali sana ukweni, hivi unadhani huwa wanakuja magetoni ilihali wanatambua papa zao zimeoza? Mganga hajigangi kaka. Tafuta mtu awe testa wako. Mpumulie puani kwake akupe majibu, msindikizie muamala
 
Unashangaa mtu unampelekea lips yeye analileta ji ulimi lake zima zima utandhani ng'ombe anakunywa maji
Wanawake wengi wa kibongo hawajui jinsi ya kula denda (french kiss)

Unakuta pisi kali sana lakini she ain't a good kisser
 
Haya twende kazi

- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.

- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.

- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua leo tuna kikoba"

- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣
Mpka mwaka uishe tutasema vyote 😂😂
 
Back
Top Bottom