Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Kero hii ya kutofikishwa kileleni

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mshana jnr kwamba saga la RC bado halikufikisha Kileleni![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kila mpango anaouanzisha unaishia kuwa kama cheti chake
Kitambulicho cha mwalimu F
Shisha F
Sensa ya vijana wasio na kazi F
Madawa F
Yani ni fafafa

Imepelekea nielewe kwanini mipango yake yote inakua hola.
Akikumbuka cheti ni f na miradi anahakikisha inakua f ili ifanane na cheti chake.
Baaashite f ni kufeli sio kufaulu.
 
Unapoona kwenye mahusiano watu wanagombana lakini hawaachani jua hao wanapendana sana na hutimiziana haja zao mubashara kabisa! Hufikishana kileleni!!!

Mahusiano mengi yamevunjika kutokana na tatizo sugu la kutofikishana kileleni hakika hii ni Kero kubwa mno
Elimu ina pande mbili, unaweza kusoma na ukafaulu mitihani lakini usielimike na mwingine anaweza asisome elimu rasmi lakini akaelimika na kuwa mtu bora kabisa

Ni katika hilo la elimu kuna utashi utayari kujituma kuelewa na kiwango cha IQ pia! Kuna watu kwa njia za ajabu kabisa wamepata mafanikio yanayoliliwa na wengi lakini kwakuwa kiwango chao cha ufahamu ni kidogo sana wamejikuta wanaangukia pua na kufeli kabisa

Kwenye mfumo wa taa za magari kuna taa inawaka sana inaitwa spotlight...hii haiwashwi hovyo! Dar es salaam ni spotlight ya nchi kuna tofauti kubwa sana kati ya rc wa Kigoma na rc wa Dar

Chochote kinachofanywa Dar kinakuwa kama mwongozo wa kwingine kote
Mtu ambaye anabamba sana kwasasa kwenye mijadala ni bwana Makonda (bashite?) vyovyote iwavyo kati ya wengi wanaomponda wengine ni kutokana tu na wivu na kijicho! U-rc wa Dar si nafasi ndogo ati pesa hata kama huitaki itakufuata tu na ukiikataa basi unahitaji kupimwa akili

Tumjadili rc kwa hulka yake ya kutotimiza yale anayoyaanzisha. Hili halina tofauti na ile Kero ya kutofikishwa kileleni
Hulka hii mbaya ni sawa na chumba kile cha mahututi gereza la fikra
Haya yameishia wapi?

Vitambulisho maalum vya walimu ili wapande bure
Dar tuitakayo
Operation Ondoa ombaomba
Kero za wanadarisalama
Na operation nyingine nyingi zilizifeli kabisa

Shida ni moja maandalizi na kushirikishana hakuna. Lakini Dar ni jiji lenye wataalam na wasomi wa kila kaliba iweje hakuna kujadiliana kwanza?
La dawa za kulevya ndio bye-bye tumeachwa na hamu zetu hatujafikishwa kileleni tunachafuliwa tu kila wakati

Kama ukiamua kuwa banditu baki hivyohivyo usiwe kama mkate mgumu mbele ya chai
Mwanaume kakaa mahabusu siku zaidi ya 100 lakini katoka na tabasamu wewe Leo kuombwa tu kuonyesha vyeti unamwaga michozi hadharani! Nini maana ya kuwa kiongozi?
Umewasilisha hoja vizuri sana
 
Unapoona kwenye mahusiano watu wanagombana lakini hawaachani jua hao wanapendana sana na hutimiziana haja zao mubashara kabisa! Hufikishana kileleni!!!

Mahusiano mengi yamevunjika kutokana na tatizo sugu la kutofikishana kileleni hakika hii ni Kero kubwa mno
Elimu ina pande mbili, unaweza kusoma na ukafaulu mitihani lakini usielimike na mwingine anaweza asisome elimu rasmi lakini akaelimika na kuwa mtu bora kabisa

Ni katika hilo la elimu kuna utashi utayari kujituma kuelewa na kiwango cha IQ pia! Kuna watu kwa njia za ajabu kabisa wamepata mafanikio yanayoliliwa na wengi lakini kwakuwa kiwango chao cha ufahamu ni kidogo sana wamejikuta wanaangukia pua na kufeli kabisa

Kwenye mfumo wa taa za magari kuna taa inawaka sana inaitwa spotlight...hii haiwashwi hovyo! Dar es salaam ni spotlight ya nchi kuna tofauti kubwa sana kati ya rc wa Kigoma na rc wa Dar

Chochote kinachofanywa Dar kinakuwa kama mwongozo wa kwingine kote
Mtu ambaye anabamba sana kwasasa kwenye mijadala ni bwana Makonda (bashite?) vyovyote iwavyo kati ya wengi wanaomponda wengine ni kutokana tu na wivu na kijicho! U-rc wa Dar si nafasi ndogo ati pesa hata kama huitaki itakufuata tu na ukiikataa basi unahitaji kupimwa akili

Tumjadili rc kwa hulka yake ya kutotimiza yale anayoyaanzisha. Hili halina tofauti na ile Kero ya kutofikishwa kileleni
Hulka hii mbaya ni sawa na chumba kile cha mahututi gereza la fikra
Haya yameishia wapi?

Vitambulisho maalum vya walimu ili wapande bure
Dar tuitakayo
Operation Ondoa ombaomba
Kero za wanadarisalama
Na operation nyingine nyingi zilizifeli kabisa

Shida ni moja maandalizi na kushirikishana hakuna. Lakini Dar ni jiji lenye wataalam na wasomi wa kila kaliba iweje hakuna kujadiliana kwanza?
La dawa za kulevya ndio bye-bye tumeachwa na hamu zetu hatujafikishwa kileleni tunachafuliwa tu kila wakati

Kama ukiamua kuwa banditu baki hivyohivyo usiwe kama mkate mgumu mbele ya chai
Mwanaume kakaa mahabusu siku zaidi ya 100 lakini katoka na tabasamu wewe Leo kuombwa tu kuonyesha vyeti unamwaga michozi hadharani! Nini maana ya kuwa kiongozi?
Master mind himself..uko vizuri mwamba.
 
Achika tu hautaweza kufikishwa kileleni abadani, kwa sababu mmeo urijali wake una fafa na badala ya kurekebishwa anasifiwa kukupaka ma nanilii yake. Tatizo kubwa ni siasa kuwa na mwelekeo wa ushabiki, kuanzia ngazi ya juu kabisa. Hakuna hoja au jambo likaanzishwa kwa mipango na kuhusisha wananchi na viongozi wote kuanzia chini mpk juu. Tunachoshuhudia ni kila kiongozi kutaka kufanya jambo lionekane ili upande wa pili waonekane hawajui na si watu wazuri na hawawezi kuwa viongozi wazuri. Tukianza na upandaji miti na kampeini ya mti wangu, ilikuwa ni roho mbaya yenye kupangiliwa kuzuia maandamano ya UKUTA wa CDM, kwa hiyo ilikuwa ni kampeini feki yenye hila za chuki ndani haiwezi kufanikiwa miti karibu asilimia 60 imekufa iliyo nunuliwa kwa mamilioni ya fedha. Kampeini ya dawa za kulevya imeanzishwa kwa hila za kibiashara na kisiasa ndiyo maana ya lopolopo ile na baadae imechukuliwa kwenye proper channel lkn tayari imeleta athari kubwa, ikiwemo ya kushindwa kuwakamata watuhumiwa na vithibitisho, kuchafuliwa baadhi nk.
Lkn sasa kila jambo linaanza kuonekana wazi chuki za kisiasa zinapandikizwa waziwazi. Hakika maisha hayatakuwa kama yalivyo kuwa hapo nyuma
Kuwepo wateule ambao sheria haziwagusi na kuwepo watwana ambao kila baya na lawama kutupiwa. Wafoji vyeti wao, wasio jua kazi wao, wavuta bangi wao, majanga yakiwakumba watakufa bila msaada hata wa watoto wao walio wazaa maana watazuiwa kuwapelekea.
Sasa hivi mihimili yote kushine kwa hiyo haya tuyaonayo ni show off tu haziwezi kufika mbali kwa sababu ni misifa ili wakingiwe kifua wasionyeshe vyeti.
Vita nzuri inafanywa kisiasa inakufa kirahisi tu.
 
Kukimbilia sa hakumsaidii.Akirudi swala la vyeti feki bado atalikuta mezani,la msingi atangaze kujiuzulu u-rc huko huko,akirudi aende moja kwa moja koromije.
Hivi watumishi wa kawaida serikalini likizo ck 28, hiyo ya r.c na majukumu mazito aliyonayo yakuongoza mkoa hiyo likizo ya miezi2 imekaaje?[emoji15]
 
Ee bhana wapenda papuchi tumevamia kumbe ngoma tofauti kbs.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] kwa heri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji6]
 
Cha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi
Yaan nnaomba nikiri nilikuwa mmoja wa watu waliokimbilia kwenye uzi huu nikijiandaa kutoa ushauri wa kutofikishwa kileleni[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Unapoona kwenye mahusiano watu wanagombana lakini hawaachani jua hao wanapendana sana na hutimiziana haja zao mubashara kabisa! Hufikishana kileleni!!!

Mahusiano mengi yamevunjika kutokana na tatizo sugu la kutofikishana kileleni hakika hii ni Kero kubwa mno
Elimu ina pande mbili, unaweza kusoma na ukafaulu mitihani lakini usielimike na mwingine anaweza asisome elimu rasmi lakini akaelimika na kuwa mtu bora kabisa

Ni katika hilo la elimu kuna utashi utayari kujituma kuelewa na kiwango cha IQ pia! Kuna watu kwa njia za ajabu kabisa wamepata mafanikio yanayoliliwa na wengi lakini kwakuwa kiwango chao cha ufahamu ni kidogo sana wamejikuta wanaangukia pua na kufeli kabisa

Kwenye mfumo wa taa za magari kuna taa inawaka sana inaitwa spotlight...hii haiwashwi hovyo! Dar es salaam ni spotlight ya nchi kuna tofauti kubwa sana kati ya rc wa Kigoma na rc wa Dar

Chochote kinachofanywa Dar kinakuwa kama mwongozo wa kwingine kote
Mtu ambaye anabamba sana kwasasa kwenye mijadala ni bwana Makonda (bashite?) vyovyote iwavyo kati ya wengi wanaomponda wengine ni kutokana tu na wivu na kijicho! U-rc wa Dar si nafasi ndogo ati pesa hata kama huitaki itakufuata tu na ukiikataa basi unahitaji kupimwa akili

Tumjadili rc kwa hulka yake ya kutotimiza yale anayoyaanzisha. Hili halina tofauti na ile Kero ya kutofikishwa kileleni
Hulka hii mbaya ni sawa na chumba kile cha mahututi gereza la fikra
Haya yameishia wapi?

Vitambulisho maalum vya walimu ili wapande bure
Dar tuitakayo
Operation Ondoa ombaomba
Kero za wanadarisalama
Na operation nyingine nyingi zilizifeli kabisa

Shida ni moja maandalizi na kushirikishana hakuna. Lakini Dar ni jiji lenye wataalam na wasomi wa kila kaliba iweje hakuna kujadiliana kwanza?
La dawa za kulevya ndio bye-bye tumeachwa na hamu zetu hatujafikishwa kileleni tunachafuliwa tu kila wakati

Kama ukiamua kuwa banditu baki hivyohivyo usiwe kama mkate mgumu mbele ya chai
Mwanaume kakaa mahabusu siku zaidi ya 100 lakini katoka na tabasamu wewe Leo kuombwa tu kuonyesha vyeti unamwaga michozi hadharani! Nini maana ya kuwa kiongozi?

Hii imetulia!
Inanikumbusha makala za mtu anaitwa Ani Jozeni kwenye magazeti ya The Guardian Limited
BTW....Yule jamaa sijui aliendaga wapi?!
 
Huu uzi mjomba nilijua mambo yetu yaleeeeeeeeee [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Back
Top Bottom