not SATISFACTORY!yaani mie nilijionea poa tu, wala simlaumu kabisa mana kila mtu anapambana na ndoa yake kivyake vyake, huyu ndio dizaini yake hiyo...na leo asubuhi mdada ananical kwamba ni uongo mkaka alikuwa hajaitwa kazini bali ni mambo yake tu...aliumbuka mana ilibidi mkaka azime fone, rafiki yake aliekuwa na miada yake ya kwenda kuzurura nae alipoona jamaa hapatikani ikabidi amcal wife, ndio wife akajua ukweli.....
yaani mwanamke akijidanganya anifanyie huo ujinga....!ndo ananipa changamoto ya kutafuta kimada sasa
not SATISFACTORY!
what's the use??.....lakini kashtuliwa kidogo....
yaani mwanamke akijidanganya anifanyie huo ujinga....!ndo ananipa changamoto ya kutafuta kimada sasa
jana mr kapigiwa cm na frnd wake tuliocmamia ndoa yake anamwambia naomba uongee na mke wangu mana cmuelewi kabisa, natakiwa kazini hataki niende akihic namdanganya amefunga milango yote funguo kazi2pa chini(ni kaghorofa)..mr akaniambia hebu mcal mke wa fulani uongee nae anachokifanya sio vzr kama mwenzie kaitwa kazini, nilipomcal huyo dada utasema alikuwa anasubiria cal yangu kwa hamu"yes dada na funguo nimezitupa nje amezidi huyu, hana wkend wala holiday, nitamfungulia nitakapojickia)...nikamuuliza una funguo za ziada akasema hapana, alimcal jirani aziokote hizo funguo so akitaka kumfungulia atamcal tena jirani aje amfungulie"...watu wamejichokea bwana.....
SASA nitakaa na huyo mke 24/7?......Na wewe kwanini usikae na mke wako kwanini umpe sababu ya kukufungia mlango....?
Ila mie sifungii mtu mlango wala si nag...aende tuu na mie ntaenda na rafiki zangu (thats why I gotta keep all my friends ).....
sio kweli kwamba ataogopa KUDANGANYA!instead,unamuandaa mtu kuwa MWONGO BY PROFESSIONAL!i mean anadesign mbinu mpya kabisa AMBAZO HUENDA ZIKAWA HATARI ZAIDI!maanake hutakaa ugundue,we utakuwa unaletewa tu watoto wa nje ikibidi na UKIMWI!Duh,hii kazi kwelikweli ila huyu dada ndo anafaa,kwasababu cku ingine jamaa ataogopa kudanganya
SASA nitakaa na huyo mke 24/7?......
i need friends around bana!....
Provided i respect my body,and stay FAITHFULLY why shouldn't i mingle?
of course u do, I would hate to see him 24/7 either ..... ila yule mama mpaka kumfungia mme wake ujue huyo baba ni mzururaji wa kufa wala hajui ku-spend quality time with his family... thats why may be she was enraged....
Mmeoana /or Boyfriend na G/friend mahusiano ya sasa hayatabiriki maana baadhi GF/na BF tayari walishaanza kuishi kama wanandoa:A S 39:
Mwanaume unatoka kazini au popote katika shughuli zako za kila siku badala upite nyumbani kuijulia hali familia ndio uendelee na mengine unapitia Bar au kwa marafiki zako, Mama /Mpenzi kaandaa chakula kasubili utatokea saa tatu/nne /tano huonekani Wife anaamua kulala .
Saa saba /au nane /Tisa mme anaingia kwanza ananuka pombe utampa maji ya kuoga, chakula maybe atakula au atagoma..then anadai unyumba ...:A S-confused1:
Hii naona kama ni Kero kwanza unakuwa umemsumbua usingizi wake kuukatili ,then aanze kujiandaa kisaikolojia ili upate haki yako......kwanini usirudi mapema kaa na family /kuleni pamoja /na muda wa kuingia kulala mnakuwa pamoja........(faragha )
Why .......Why........ Why ????
jana mr kapigiwa cm na frnd wake tuliocmamia ndoa yake anamwambia naomba uongee na mke wangu mana cmuelewi kabisa, natakiwa kazini hataki niende akihic namdanganya amefunga milango yote funguo kazi2pa chini(ni kaghorofa)..mr akaniambia hebu mcal mke wa fulani uongee nae anachokifanya sio vzr kama mwenzie kaitwa kazini, nilipomcal huyo dada utasema alikuwa anasubiria cal yangu kwa hamu"yes dada na funguo nimezitupa nje amezidi huyu, hana wkend wala holiday, nitamfungulia nitakapojickia)...nikamuuliza una funguo za ziada akasema hapana, alimcal jirani aziokote hizo funguo so akitaka kumfungulia atamcal tena jirani aje amfungulie"...watu wamejichokea bwana.....
hehehehe!Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!
Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!
hehehehe!
huyu sasa ni WA KIUME!
mwanaume wa ukweli huwa haruhusu kabisa hiyo critical stage katika mahusiano!
hapo naona kuna tatizo jingine jipya la INCOME
Sweetie usijali dearest ...........yalishapita nimeamka sasa.hivi dearest....mhhh ngoja tu ninyamaze!
hapana Teamo unadhani hakuwa nazo?? Alikuwa nazo sana kwani alikuwa akifanya kazi nzuri tu ila ndo hivyo----penmgine pesa zake zilikuwa na kazi nyingine ya muhimu zaidi.
Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!
Habari ndiyo hiyo wakati mwingine inabidi ugangamare ukiona upole wako hausaidii na unaendelea kupata mateso ndani ya roho basi siku nyingine unafunga mlango na kuficha pairs zote za funguo....akiwa mwendawazimu anaweza kuvunja mlango huyooooo akaendela na hamsini zake...lol!