jana mr kapigiwa cm na frnd wake tuliocmamia ndoa yake anamwambia naomba uongee na mke wangu mana cmuelewi kabisa, natakiwa kazini hataki niende akihic namdanganya amefunga milango yote funguo kazi2pa chini(ni kaghorofa)..mr akaniambia hebu mcal mke wa fulani uongee nae anachokifanya sio vzr kama mwenzie kaitwa kazini, nilipomcal huyo dada utasema alikuwa anasubiria cal yangu kwa hamu"yes dada na funguo nimezitupa nje amezidi huyu, hana wkend wala holiday, nitamfungulia nitakapojickia)...nikamuuliza una funguo za ziada akasema hapana, alimcal jirani aziokote hizo funguo so akitaka kumfungulia atamcal tena jirani aje amfungulie"...watu wamejichokea bwana.....