Kero katika mahusiano ya ndoa ....

Kero katika mahusiano ya ndoa ....

yaani mie nilijionea poa tu, wala simlaumu kabisa mana kila mtu anapambana na ndoa yake kivyake vyake, huyu ndio dizaini yake hiyo...na leo asubuhi mdada ananical kwamba ni uongo mkaka alikuwa hajaitwa kazini bali ni mambo yake tu...aliumbuka mana ilibidi mkaka azime fone, rafiki yake aliekuwa na miada yake ya kwenda kuzurura nae alipoona jamaa hapatikani ikabidi amcal wife, ndio wife akajua ukweli.....
not SATISFACTORY!
 
yaani mwanamke akijidanganya anifanyie huo ujinga....!ndo ananipa changamoto ya kutafuta kimada sasa

mbona vimada mnao tu bila hata changamoto.....mara moja moja lazima umsh2e kidogo mwenzio ukiona anacheza nje ya mstari....
 
yaani mwanamke akijidanganya anifanyie huo ujinga....!ndo ananipa changamoto ya kutafuta kimada sasa

Na wewe kwanini usikae na mke wako kwanini umpe sababu ya kukufungia mlango....?

Ila mie sifungii mtu mlango wala si nag...aende tuu na mie ntaenda na rafiki zangu (thats why I gotta keep all my friends ).....
 
jana mr kapigiwa cm na frnd wake tuliocmamia ndoa yake anamwambia naomba uongee na mke wangu mana cmuelewi kabisa, natakiwa kazini hataki niende akihic namdanganya amefunga milango yote funguo kazi2pa chini(ni kaghorofa)..mr akaniambia hebu mcal mke wa fulani uongee nae anachokifanya sio vzr kama mwenzie kaitwa kazini, nilipomcal huyo dada utasema alikuwa anasubiria cal yangu kwa hamu"yes dada na funguo nimezitupa nje amezidi huyu, hana wkend wala holiday, nitamfungulia nitakapojickia)...nikamuuliza una funguo za ziada akasema hapana, alimcal jirani aziokote hizo funguo so akitaka kumfungulia atamcal tena jirani aje amfungulie"...watu wamejichokea bwana.....

Duh,hii kazi kwelikweli ila huyu dada ndo anafaa,kwasababu cku ingine jamaa ataogopa kudanganya
 
Na wewe kwanini usikae na mke wako kwanini umpe sababu ya kukufungia mlango....?

Ila mie sifungii mtu mlango wala si nag...aende tuu na mie ntaenda na rafiki zangu (thats why I gotta keep all my friends ).....
SASA nitakaa na huyo mke 24/7?......
i need friends around bana!....
Provided i respect my body,and stay FAITHFULLY why shouldn't i mingle?
 
Duh,hii kazi kwelikweli ila huyu dada ndo anafaa,kwasababu cku ingine jamaa ataogopa kudanganya
sio kweli kwamba ataogopa KUDANGANYA!instead,unamuandaa mtu kuwa MWONGO BY PROFESSIONAL!i mean anadesign mbinu mpya kabisa AMBAZO HUENDA ZIKAWA HATARI ZAIDI!maanake hutakaa ugundue,we utakuwa unaletewa tu watoto wa nje ikibidi na UKIMWI!

HEBU TUMIENI AKILI NYIE WA-BEIJING!ebo
 
Causin halafu ukisha mfungia mlango ndo inakuwaje? akikununia saa zote homo ndani utapata raha gani...? arghhhhhhhhh mwache tuu aende..hawezi kuogopa kudanganya atatafuta trick nyingine za kudanganya...anyway the idea of locking him inside makes me very exhausted...
 
SASA nitakaa na huyo mke 24/7?......
i need friends around bana!....
Provided i respect my body,and stay FAITHFULLY why shouldn't i mingle?

of course u do, I would hate to see him 24/7 either ..... ila yule mama mpaka kumfungia mme wake ujue huyo baba ni mzururaji wa kufa wala hajui ku-spend quality time with his family... thats why may be she was enraged....
 
of course u do, I would hate to see him 24/7 either ..... ila yule mama mpaka kumfungia mme wake ujue huyo baba ni mzururaji wa kufa wala hajui ku-spend quality time with his family... thats why may be she was enraged....

exactly mami!...kwamaelezo ya mdada, mkaka ni kurudi 6-7...wkend hayupo, holiday hana..khaa..
 
Mmeoana /or Boyfriend na G/friend mahusiano ya sasa hayatabiriki maana baadhi GF/na BF tayari walishaanza kuishi kama wanandoa:A S 39:

Mwanaume unatoka kazini au popote katika shughuli zako za kila siku badala upite nyumbani kuijulia hali familia ndio uendelee na mengine unapitia Bar au kwa marafiki zako, Mama /Mpenzi kaandaa chakula kasubili utatokea saa tatu/nne /tano huonekani Wife anaamua kulala .

Saa saba /au nane /Tisa mme anaingia kwanza ananuka pombe utampa maji ya kuoga, chakula maybe atakula au atagoma..then anadai unyumba ...:A S-confused1:

Hii naona kama ni Kero kwanza unakuwa umemsumbua usingizi wake kuukatili ,then aanze kujiandaa kisaikolojia ili upate haki yako......kwanini usirudi mapema kaa na family /kuleni pamoja /na muda wa kuingia kulala mnakuwa pamoja........(faragha )

Why .......Why........ Why ????

Hii ndiyo MJ1 aliandika hivi, "Wakati mwingine huwa mnatubaka." Kweli huku ni kubaka.
 
jana mr kapigiwa cm na frnd wake tuliocmamia ndoa yake anamwambia naomba uongee na mke wangu mana cmuelewi kabisa, natakiwa kazini hataki niende akihic namdanganya amefunga milango yote funguo kazi2pa chini(ni kaghorofa)..mr akaniambia hebu mcal mke wa fulani uongee nae anachokifanya sio vzr kama mwenzie kaitwa kazini, nilipomcal huyo dada utasema alikuwa anasubiria cal yangu kwa hamu"yes dada na funguo nimezitupa nje amezidi huyu, hana wkend wala holiday, nitamfungulia nitakapojickia)...nikamuuliza una funguo za ziada akasema hapana, alimcal jirani aziokote hizo funguo so akitaka kumfungulia atamcal tena jirani aje amfungulie"...watu wamejichokea bwana.....

Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!
 
Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!
hehehehe!
huyu sasa ni WA KIUME!
mwanaume wa ukweli huwa haruhusu kabisa hiyo critical stage katika mahusiano!
hapo naona kuna tatizo jingine jipya la INCOME
 
Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!

hivi dearest....mhhh ngoja tu ninyamaze!
 
hehehehe!
huyu sasa ni WA KIUME!
mwanaume wa ukweli huwa haruhusu kabisa hiyo critical stage katika mahusiano!
hapo naona kuna tatizo jingine jipya la INCOME

hapana Teamo unadhani hakuwa nazo?? Alikuwa nazo sana kwani alikuwa akifanya kazi nzuri tu ila ndo hivyo----penmgine pesa zake zilikuwa na kazi nyingine ya muhimu zaidi.
 
hapana Teamo unadhani hakuwa nazo?? Alikuwa nazo sana kwani alikuwa akifanya kazi nzuri tu ila ndo hivyo----penmgine pesa zake zilikuwa na kazi nyingine ya muhimu zaidi.

ANAWEZA KUWA NA PESA LAKINI asiwe responsible!KATIKA MAKOSA MAKUBWA wanaume huwa wanajichanganya ni ile lack-of-responsibilities!
kwa akili ya wanawake ilivyo......!hata kama mwanamke ana hela A MAN MUST PROVIDE FOR HIS FAMILY...walau kwa 90%,kinyume na hilo huwa kunakuwa na migogoro isiyoisha!

sasa huyo alijisahau kuwa responsible kwasababu kubwa mbili
1)ALIKUWA ANAJUA KABISA UNAWEZA KU-INCURR COSTS ZOTE BILA YEYE!hata kama na yeye anaweza
2)HAKUWA NA UWEZO HUO

sababu ya pili HAINA MASHIKO kwa kurejea post yako nukuliwa hapo juu!
 
Duh kuna wanaume wamejaliwa wake hadi nawaonea wivu jamani loh... hivi kuna chuo kinachofundisha ujasiri kama huu? nataka niende maana mie nilikuwa mpooooole yaani akikohoa tu mwenyewe namtafutia viatu, sox na kumshikia kitasa cha mlango waziiiii aende. Mbaya zaidi hadi mafuta ya gari nlikuwa namwekea!!!

Habari ndiyo hiyo wakati mwingine inabidi ugangamare ukiona upole wako hausaidii na unaendelea kupata mateso ndani ya roho basi siku nyingine unafunga mlango na kuficha pairs zote za funguo....akiwa mwendawazimu anaweza kuvunja mlango huyooooo akaendela na hamsini zake...lol!
 
Habari ndiyo hiyo wakati mwingine inabidi ugangamare ukiona upole wako hausaidii na unaendelea kupata mateso ndani ya roho basi siku nyingine unafunga mlango na kuficha pairs zote za funguo....akiwa mwendawazimu anaweza kuvunja mlango huyooooo akaendela na hamsini zake...lol!

kweli huyo atakuwa mwendawazimu...na akitoka ndio kimja hiyo hutajua pa kumpatia...lol
 
Back
Top Bottom