The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
- Thread starter
- #21
Mnazi jauKwea mnazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnazi jauKwea mnazi
Tanesco na vivuko wapi na wapi Mzee? Acha bhangi
Naunga mkono hojaHalafu wakipewa watu wa nje kuja kusimamia,wanakuja watu kutokwa povu hapa kama wagonjwa wa kifafa.
Ni serikali moja! Au tanesco wapo msumbiji?Tanesco na vivuko wapi na wapi Mzee? Acha bhangi
Samahani mkuu!Ni serikali moja! Au tanesco wapo msumbiji?
Kigamboni ni mkoani hukoNimetoka kariakoo kwa Raha nafika home kwa taabu
Kabisa aisee papo kama msumbiji sehemu inaitwa Maputo hadi mawingu yapo tofautiKigamboni ni mkoani huko
Ulitoka salama kweli? Maana mpaka najiuliza watoto wa kike huku wanazaliwa wakiwa sio bikra??Nipo Lindi, kigamboni enzi hizo nimekuja dar likizo ya form 4
Nakuja inbox, nipokee kwa shangweJikite kwenye mada
'Kero kwenye vivuko, Dar es Salaam'
Utaingiaje? Funguo unayo?Nakuja inbox, nipokee kwa shangwe
Kijana unapoelekeaa nitakuvunja mguu na wewe ni jirani yangu huku kigamboninoNakuja inbox, nipokee kwa shangwe
Naunga mkono hojaNahisi Kuna watu wanahujumu makusudi ili aje apewe mwarabu kama mwendokasi maana ni ajabu upo mwenyewe halafu unakosa ubunifu
Duh alafu tunaemgombania yupo lindi na hatujawahi kumuonaKijana unapoelekeaa nitakuvunja mguu na wewe ni jirani yangu huku kigambonino
Pale imekua kero mpaka stendi za Daladala pande zote mbili posta na kigamboniNaunga mkono hoja