Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

UWONGO. Ibrahim alitoka Mesopotamia Iraq. Fuuck Allah
 
Fuuck Allah and Muhammad
 
Majin ni mapepo mabaya ni sehem ya Mashetan so kukaa nayo ni ushwetan wenyewe Sheikh.
Toa DALILI

Isije kuwa HEKAYA ZA KUAMBIWA nawe UNATUBEBEA NA UNATAKA KUTUAMINISHA

Majini ni viumbe na MUNGU amewaumba TOFAUTI NA SISI, wao wanaweza kusafiri UMBALI mrefu zaidi kwa muda mfupi [speed of light] na wanaishi muda mrefu kuliko sisi...

Kuna WEMA na kuna waovu kama WALIVYO WANADAMU!!!

Watahesabiwa na kuhukumiwa kwa matendo yao kama walivyo wanadamu!!!!

Leo ukiona au kusikia mchawi anaweza kusafiriki UMBALI mrefu kwenda kufanya uchawi wake au kuingia ndani ya nyumba ya mtu hata kama amefunga JUA NI KWA MSAADA WA MASHETANI WA KIJINI na hakuna anything SUPERNATURAL bali ni uwezo wa kawaida wa majini na HII NI KUTOKANA NA MKATABA ALIOUINGIA SHETANI WA KIBINADAMU [MCHAWI] na SHETANI WA KIJINI ambapo mwanadamu atamwabudia na kumtimizia matakwa take na Jini NAYE atamtimizia mwanadamu matakwa yake.....

Kwa sababu umekaririshwa huwezi kuelewa na utabaki tu kung'ang'ana MAJINI ni MASHETANI!!!!
 
Kwani ina tofauti gan na hizo hekaya zako
 
Sikuwahi kujua kama wewe ni muislamu, allah atuongoze sote mama.
 
Binafsi Lutheran limekuwa ni Kanisa la hovyoo sana hadi huwa najisikia vibaya kuwa Mlutheri. Hakuna utaratibu unaoeleweka ila kumekuwa na UHOLELA MWINGI SANA NA UJUAJI. WAMELETA TABIA ZA MAKANISA YA KILOKOLE NA KULIHARIBU KANISA.

Halafu nilijua hili Kanisa ni moja ya makanisa makubwa duniani kumbe ni kadogo sana tena sana ukilinganisha na makanisa mengine duniani. Kimsingi hili kanisa ni maarufu tu kwa hapa Tanzania. Huko duniani limeachwa mbali sana n Katoliki, Sabato, Anglican na mengine mengi tu. Cha ajabu hata huko ujerumani lilipoasisia halipo kwenye list ya makanisa makubwa. Kiufupi Lutheran inajulikana Tanzania zaidi.

All in all, pasipo kujali ukubwa au udogo wa Lutheran, ni vema likarejea kwenye ustaarabu wa kuendesha ibada katika utaratibu uliokuwepo miaka ya 70 na 80 ambapo mchungaji alikuwa anaonyesha unyenyekevu madhabahuni tofauti na sasa unakuta mchungaji anarukaruka mwanzo mwisho na UJUAJI MWIIINGI.

Wachungaji wa zamani wa Lutheran walikuwa wanahubiri habari njema za ufalme wa Mbinguni, wakiwahubiri watu kuacha dhambi na kuishi maisha ya kumpendeza Mungu. Wachungaji wa leo wao wanachokifanya wamekuwa MOTIVATION SPEAKERS wa masuala ya maisha ya ndoa/kupata mchumba, kupata kazi, cheo, utajiri, magonjwa . Kubwa zaidi kipaumbele cha Lutheran ni MATOLEO/ MICHANGO
 
Lutheran ya injili ya kweli na mfumo thabiti ilikuwa ile ya miaka ya 70,80 na 90 kulipokuwa na wachangiaji wa kweli. Sasa hivi kanisa haliendeshwi kitaasisi bali ni one man show, yaani ni rahisi leo Lutheran mtu akajitengenezea umaarufu akawa mkubwa kuliko kanisa, na hata mkitaka kumtoa mnasita sababu ya umaarufu wake kwenye kanisa hilo. Mfano Mchungaji Eliaona Kimaro na Mchungaji Matsai wa Kimara Korogwe. Hao hakuna anayeweza kuwagusa kwasasa maana ni wakubwa sana kuliko Taasisi yenyewe. Kwa mifano hii ni dhahiri Lutheran sio TAASISI IMARA YA DINI
 
Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Na akisema "mwambie jirani yako ACHA UZINZI" itasaidia nini?
 
Na akisema "mgeukie jirani yako mwambie ACHA UZINZI" hata ukiwa na familia itasaidia nini?
 
Hamna cha wema na wabaya ! yote ni mashetani
 
الحمد لله على نعمة الإسلام و السنة
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…