Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Usijibu majibu ya wenzio,akili Yako wewe inaongeleaje kuhusu ukweli?achana na mambo ya Yesu "Mimi ni njia KWELI ma uzima"wewe ulivyoniambia Ile ndio Kweli nataka kujua hiyo Kweli unamaanisha Nini wewe binafsi.wewe si ni mwanazuoni

kwani akili yako inaongelea vipi kuhusu ukweli ??

Mimi nimekuwekea biblia na quran au wewe unaamini kitabu kipi ??
 
kwani akili yako inaongelea vipi kuhusu ukweli ??

Mimi nimekuwekea biblia na quran au wewe unaamini kitabu kipi ??
Rejea mazungumzo Yako ya awali,umesema biblia ni uongo,ukweli ndio ule uliniambia hizo ni myth,ndio maana namuuliza ukweli ni Nini?
 
Rejea mazungumzo Yako ya awali,umesema biblia ni uongo,ukweli ndio ule uliniambia hizo ni myth,ndio maana namuuliza ukweli ni Nini?

Ni post gani nimeandika biblia ni uongo ?? Inaelekea unakuwa unasoma kwa jaziba hata huelewi nilichokiandika

Dr. J.K. Elliott, wa kitengo cha Thiolojia na Tafiti za Kidini wa Chuo Kikuu cha Leeds, ameandika makala iliyochapishwa katika jarida la The Times, London (10 Septemba, 1987) yenye kichwa "Kutazama mizizi ya Biblia".

Ndani ya makala yake, ameeleza kuwa: "Zaidi ya miswada 5,000 inayojumuisha Agano Jipya lote au sehemu yake iliyo katika lugha ya asili.

Miswada hii imepangika katika madaraja ya kuanzia karne ya pili hadi kuvumbuliwa kwa uchapaji.

Imekisiwa kuwa hakuna hata watu wawili wanaoafikiana kwa kila kitu.

Bila shaka, maandishi yote ya mkono yanastahili kuwa na makosa ya bahati mbaya wakati wa kunukuu.

Hata hivyo, katika kazi za kitiolojia si jambo la kushangaza kuwa mabadiliko ya kufikirika sana yaliingizwa ili kuondosha au kubadili maelezo ambayo waandishi wanayaona kuwa hayapendezi.

Pia kulikuwa na mwelekeo wa wanukuzi wa kuongeza ufafanuzi au fasiri.

Mabadiliko ya hadhari yanadhaniwa kuwa yameingizwa katika zama za mwanzo kabla ya kuanzishwa hali ya kanisa ya Agano Jipya.

Mwandishi aliendelea kufafanua kuwa "hakuna hata mswada mmoja wenye matini isiyobadilishwa kutoka katika uasilia wa ukamilifu wake, na kwa hiyo, "hakuna awezae kuchagua mswada wowote miongoni mwa miswada hiyo na kuuamini kwa imani ya pekee eti mswada huo ndio wenye ukiritimba wa kuwa ndio maneno asilia ya watunzi."

Aliendelea kusema zaidi: "Kama mtu ataendelea kupinga na kudai kuwa maandiko asilia yamenusurika pahala fulani kwenye maelfu ya miswada iliyopo, basi mtu huyo atalazimika asome miswada yote hiyo, hatua kwa hatua, ili kukusanya tofauti miongoni mwa miswada hiyo, kisha atathimini, lahaja kwa lahaja, ili ajue ni mswada upi wenye [matini] asilia na upi ndio wa matini ya nafasi ya pili.

Matarajio kama hayo yaliwakatisha tamaa wasomi wengi wa Biblia walioaminia yaliyomo katika matini zilizochapwa za zama za mwanzo, wasomi hao walichukua ushahidi wa miswada waliyoiona kuwa ni bora.

Hata matoleo ya Agano Jipya kwa Kigiriki yaliyochapwa kisasa, vilevile mafafanuzi ya kisasa yametegemea chapa hizo za zama za mwanzo; kwa kawaida hufuata utaratibu huu wa kujenga matini zao kwa kutumia msingi finyu ambao hauonekani kuwa ni wa asili kikamilifu."
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
☆Wavae mavazi mazuri ya heshima. (Wajisitiri)
☆ mukiw katika ibada tenganeni, w.ke nyuma na w.ume mbele. Kama kuna uwezekano bas mukae vyumba tofauti kabisa.

Lkn hamuwezi fanya hivo hata siku moja.
Bas hakun solution pambaneni na hli zenu
 
☆Wavae mavazi mazuri ya heshima. (Wajisitiri)
☆ mukiw katika ibada tenganeni, w.ke nyuma na w.ume mbele. Kama kuna uwezekano bas mukae vyumba tofauti kabisa.

Lkn hamuwezi fanya hivo hata siku moja.
Bas hakun solution pambaneni na hli zenu
Wakristo hawaishi kwa Torati , wanaishi kwa neema.
unaweza ukajitenga, ukavaa magunia lakini bado ukawa mzinzi.
Uzinzi ni roho na siyo mavazi.
Wanaolazimishana kuvaa mavazi ya kufunika mwili ndio hao wananza kulana wakiwa na miaka 9 wakati hao wanao onekana wanava uchi wananza mapenzi wakiwa 20's na ndoa .
fuatilia hata wasanii wa Bongo akina zuchu wanajifuni mavitu gani lakini ni kimada na jukwaani anakaa uchi.
 
Tatizo la KKKT Tanzania mmeiga mifumo ya ibada za kilokole, ambazo hazipo ki litrujia na zimejaa usanii
How?
Kwamba ukiambiwa mgeukie mwenzio ni mambo ya kilokole?
Basi hata hiyo litrujia yenyewe Bado huijui vzr mkuu!
Maana Kuna kipengele Cha kutakiana amani kwenye litrujia inapomaliziwa,na pale lzm ugeuke utakie amani ulio karibu nao.
 
Mwambie jirani yako..
Kwani jirani yangu hana masikio?
 
Hiki kitu wanakifanya sana wainjilisti na wale wanaopewa nafasi ya kuhubiri wakiwa hawana elimu ya theolojia.

Ukimkuta mchungaji anasema hivyo lazima background yake itakua haitokani na mafunzo ya kiluteri. (Hajakua katika familia ya kiluteri)

Waluteri walioiva katika theolojia hawana haya mambo.
 
Wakristo hawaishi kwa Toati , wanaishi kwa neema.
unaweza ukajitenga, ukavaa magunia lakini bado ukawa mzinzi.
Uzinzi ni roho na siyo mavazi.
Wanaolazimishana kuvaa mavazi ya kufunika mwili ndio hao wananza kulana wakiwa na miaka 9 wakati hao wanao onekana wanava uchi wananza mapenzi wakiwa 20's na ndoa .
fuatilia hata wasanii wa Bongo akina zuchu wanajifuni mavitu gani lakini ni kimada na jukwaani anakaa uchi.
Roho mtakatifu huwa anawaongoza kufanya zinaa au vipi maana huwa mnatuambia wakristo mnaongozwa na roho mtakatifu ??
 
Roho mtakatifu huwa anawaongoza kufanya zinaa au vipi maana huwa mnatuambia wakristo mnaongozwa na roho mtakatifu ??
Dhambi kuu na ya mauti ni kumkufuru Roho Mtakatifu.
Mungu mmoja yupo na nafsi tatu, Baba , Mwana [Yesu] na Roho Mtakatifu.

Kuna habari thabiti kwamba miongoni mwenu kuna uasherati unaotendeka; tena ni uasherati wa aina ambayo hata watu wasiomjua Mungu hawafanyi. Nimesikia kwamba kuna mtu anazini na mama yake wa kambo! 2 Mnawezaje basi kujivuna! Badala yake mngepaswa kuom boleza. Huyo aliyefanya tendo hili afukuzwe na kutengwa nanyi. 3 Japokuwa sipo nanyi katika mwili, lakini nipo nanyi katika roho. Na nimekwisha toa hukumu kuhusu huyo mtu aliyetenda jambo hili, kama vile ningekuwapo. 4 Mnapokutana katika jina la Bwana wetu Yesu nami nikiwepo katika roho, na nguvu ya Bwana wetu Yesu ikiwepo, 5 mtoeni mtu huyu kwa shetani, ili asili yake ya dhambi iangamizwe lakini roho yake iokolewe siku ile ya Bwana.​
 
Dhambi kuu na ya mauti ni kumkufuru Roho Mtakatifu.
Mungu mmoja yupo na nafsi tatu, Baba , Mwana [Yesu] na Roho Mtakatifu.

Kuna habari thabiti kwamba miongoni mwenu kuna uasherati unaotendeka; tena ni uasherati wa aina ambayo hata watu wasiomjua Mungu hawafanyi. Nimesikia kwamba kuna mtu anazini na mama yake wa kambo! 2 Mnawezaje basi kujivuna! Badala yake mngepaswa kuom boleza. Huyo aliyefanya tendo hili afukuzwe na kutengwa nanyi. 3 Japokuwa sipo nanyi katika mwili, lakini nipo nanyi katika roho. Na nimekwisha toa hukumu kuhusu huyo mtu aliyetenda jambo hili, kama vile ningekuwapo. 4 Mnapokutana katika jina la Bwana wetu Yesu nami nikiwepo katika roho, na nguvu ya Bwana wetu Yesu ikiwepo, 5 mtoeni mtu huyu kwa shetani, ili asili yake ya dhambi iangamizwe lakini roho yake iokolewe siku ile ya Bwana.​
Fafanua
 
Dhambi kuu na ya mauti ni kumkufuru Roho Mtakatifu.
Mungu mmoja yupo na nafsi tatu, Baba , Mwana [Yesu] na Roho Mtakatifu.

Kuna habari thabiti kwamba miongoni mwenu kuna uasherati unaotendeka; tena ni uasherati wa aina ambayo hata watu wasiomjua Mungu hawafanyi. Nimesikia kwamba kuna mtu anazini na mama yake wa kambo! 2 Mnawezaje basi kujivuna! Badala yake mngepaswa kuom boleza. Huyo aliyefanya tendo hili afukuzwe na kutengwa nanyi. 3 Japokuwa sipo nanyi katika mwili, lakini nipo nanyi katika roho. Na nimekwisha toa hukumu kuhusu huyo mtu aliyetenda jambo hili, kama vile ningekuwapo. 4 Mnapokutana katika jina la Bwana wetu Yesu nami nikiwepo katika roho, na nguvu ya Bwana wetu Yesu ikiwepo, 5 mtoeni mtu huyu kwa shetani, ili asili yake ya dhambi iangamizwe lakini roho yake iokolewe siku ile ya Bwana.​

Tumekusikia sasa jibu swali

Roho mtakatifu huwa anawaongoza kufanya zinaa au vipi maana huwa mnatuambia wakristo mnaongozwa na roho mtakatifu ??
 
Tumekusikia sasa jibu swali

Roho mtakatifu huwa anawaongoza kufanya zinaa au vipi maana huwa mnatuambia wakristo mnaongozwa na roho mtakatifu ??
Unataka kunifanyia interoggation mimi Jaji?
Unataka kunifanyia leading questions mimi?
Kitu gani unataka kujua ili nikufunze?
wewe kama imani yako ni ya kuwa bikra 70 akhera hata nikikwambia habari ya Roho Mtakatatifu haitokusaidia maana Neno la Mungu linasema Tusikae barazani kwa wenye mizaa!

Wewe mungu wako [kama ni mungu] amekuelekeza mbinguni kuna jinsia, na kwamba ukifika huko utapewa mabikra 70, kwamba mbinguni ni sehemu ya sex?
Umeelekezwa mbinguni kuna jinsia, na kama kuna jinsia hiyo sex ukishafanya na hao ma bikra nao watazaa ama hakutakuwa na uzazi?
Kama hao ma bikra 70 watazaa, nini kitafuata kwa hao watoto, nao wakitenda dhambi hao watoto watatolewa awaende kwa shetani?
mungu huyo wa sharia ndiye anaelekeza "kuua watu wake" huku ukitaja jina lake [kama hilo jina analoitwa ni lake kweli]?
 
Unataka kunifanyia interoggation mimi Jaji?
Unataka kunifanyia leading questions mimi?
Kitu gani unataka kujua ili nikufunze?
wewe kama imani yako ni ya kuwa bikra 70 akhera hata nikikwambia habari ya Roho Mtakatatifu haitokusaidia maana Neno la Mungu linasema Tusikae barazani kwa wenye mizaa!

Wewe mungu wako [kama ni mungu] amekuelekeza mbinguni kuna jinsia, na kwamba ukifika huko utapewa mabikra 70, kwamba mbinguni ni sehemu ya sex?
Umeelekezwa mbinguni kuna jinsia, na kama kuna jinsia hiyo sex ukishafanya na hao ma bikra nao watazaa ama hakutakuwa na uzazi?
Kama hao ma bikra 70 watazaa, nini kitafuata kwa hao watoto, nao wakitenda dhambi hao watoto watatolewa awaende kwa shetani?
mungu huyo wa sharia ndiye anaelekeza "kuua watu wake" huku ukitaja jina lake [kama hilo jina analoitwa ni lake kweli]?

Tumekusikia sasa jibu swali

Roho mtakatifu huwa anawaongoza kufanya zinaa au vipi maana huwa mnatuambia wakristo mnaongozwa na roho mtakatifu ??
 
Back
Top Bottom