Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo ni sahihi shughuli za bar kuhamishiwa kanisani?Hiyo hutokea kwa wahuni,Kwetu walawi ni kwenda home
Kama zipiKwaiyo ni sahihi shughuli za bar kuhamishiwa kanisani?
Kukumbatiwa jinsia tofauti?Kama zipi
Malipo ya SADAKA yanaitika! Wewe badala ya kukubali WITO unaukana! Waumini LAZIMA wapendane!Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.
Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.
Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.
Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Nahitaji kupita chuo cha usanii kwanza usanii siwezi ninaweza kuamka nimevulugwa nikarudisha sadaka yoteMalipo ya SADAKA yanaitika! Wewe badala ya kukubali WITO unaukana! Waumini LAZIMA wapendane!
Sijuwi ukoje?!😠😤😡
Acha Ujinga wa kuposha watu kwa kuwapeleka gizani.Silimu uwe muislam before it's too late
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.
Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.
Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.
Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Ushauri mzuri...hata Adam alimuacha Eva bustanini nyoka akafanya yake
Actually kurni na biblia ni vitu tofauti kwa nyakati tofauti kwa watu tofauti. Hizi zote ni dini za watu tofauti. Mimi siwezi kuwa mwislamu kwasababu hata mwislamu Hapaswi kuwa mkristo. Ndio maana hizi kwa Tanzania Hatuna ugomvi
Genesis chapter 2Ni wapi ulipata maneno hayo ??
Na wasio na familia waambatane na nani?Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Kama umeisoma mada na kuielewa usingeuliza hili swali.Na wasio na familia waambatane na nani?
Genesis chapter 2
MosesAliandika Nani ?
Moses