Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Malipo ya SADAKA yanaitika! Wewe badala ya kukubali WITO unaukana! Waumini LAZIMA wapendane!
Sijuwi ukoje?!😠😤😡
 
Malipo ya SADAKA yanaitika! Wewe badala ya kukubali WITO unaukana! Waumini LAZIMA wapendane!
Sijuwi ukoje?!😠😤😡
Nahitaji kupita chuo cha usanii kwanza usanii siwezi ninaweza kuamka nimevulugwa nikarudisha sadaka yote
 

Your browser is not able to display this video.
 
Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Na wasio na familia waambatane na nani?
 
Nimetoka kupenga bonge la kamasi na kujipangusia mkono yakabaki mkononi nakuja kukushika mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…