Ili ukifa ukamuliwe mavi uingie peponi msafi?Silimu uwe muislam before it's too late
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili ukifa ukamuliwe mavi uingie peponi msafi?Silimu uwe muislam before it's too late
Endeleeni kuyaabudi, kuyafuga, kuyatumia katika tiba, ulinzi nk kwa kudanganywa na Aya za kitabu,kilichoibuka miaka 500 baada ya kitabu Cha kweli, tutskutana fainali siku ya hukumu Kila mmoja na njia yake. Shetani na machawa wake ( makini) watakuwa wameshakusanya watu wa kutosha wa kuteketea nao motoni kwani baada ya kukosa utii kwa Mungu mkuu wa mashetani bin ibilisi bin maruhan, bin lusifer, alimwomba Mungu asiangamizwe Bali aje duniani kutafuta wafuasi Sasa naona amewspata wa kutosha.May Allah Almighty guide you!!! Majini ni viumbe kama wewe ulivyoumbwa!! Wapo wema na wapo WAOVU kama ilivyo kwa Wanadamu!!!!
Wewe timiza jukumu na wajibu wako KWA MOLA WAKO na VIUMBE WENGINE NAO WATATIMIZA WAJIBU WAO KWA MOLA WAO!!!
Hivi ww ndio yule jamaa wa redioni anajiita pascal ndege wa kilimapofu au ni majina yamefananaMimi ni muumini wa kanisa la KKKT Sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga kanisani ni pale mchungaji anakuwa anahubiri Mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako. Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri Mweupee ana shepu pale pale unahama kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat. Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati
mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika. Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo.
Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Hesabu yako inaishia hapa hapa duniani, na hakuna ushahidi wa kitu kinaitwa kiyama.Endeleeni kuyaabudi, kuyafuga, kuyatumia katika tiba, ulinzi nk kwa kudanganywa na Aya za kitabu,kilichoibuka miaka 500 baada ya kitabu Cha kweli, tutskutana fainali siku ya hukumu Kila mmoja na njia yake. Shetani na machawa wake ( makini) watakuwa wameshakusanya watu wa kutosha wa kuteketea nao motoni kwani baada ya kukosa utii kwa Mungu mkuu wa mashetani bin ibilisi bin maruhan, bin lusifer, alimwomba Mungu asiangamizwe Bali aje duniani kutafuta wafuasi Sasa naona amewspata wa kutosha.
Fungua kichwa chako kifanye kazi;Endeleeni kuyaabudi, kuyafuga, kuyatumia katika tiba, ulinzi nk kwa kudanganywa na Aya za kitabu,kilichoibuka miaka 500 baada ya kitabu Cha kweli, tutskutana fainali siku ya hukumu Kila mmoja na njia yake. Shetani na machawa wake ( makini) watakuwa wameshakusanya watu wa kutosha wa kuteketea nao motoni kwani baada ya kukosa utii kwa Mungu mkuu wa mashetani bin ibilisi bin maruhan, bin lusifer, alimwomba Mungu asiangamizwe Bali aje duniani kutafuta wafuasi Sasa naona amewspata wa kutosha.
Yaani mnabadilishana namba mkiwa ibadani?Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT Sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga kanisani ni pale mchungaji anakuwa anahubiri Mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako. Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri Mweupee ana shepu pale pale unahama kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat. Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati
mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika. Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo.
Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
hama huko, ila pia huenda una pepo la uzinziMimi ni muumini wa kanisa la KKKT Sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga kanisani ni pale mchungaji anakuwa anahubiri Mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako. Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri Mweupee ana shepu pale pale unahama kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat. Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati
mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika. Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo.
Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Wewe unafikiri uliumbwa na kuachwa tu burebure ufanye utakavyo???Hesabu yako inaishia hapa hapa duniani, na hakuna ushahidi wa kitu kinaitwa kiyama.
acha umalayaMakanisan ndo Kwa kupandishia nyege kumalizia ni Getto[emoji39]
KKKT ibada ni kila siku kasoro Jmosi. Sio kila siku mnaambata na mkeWewe jiulize Paschal amemuacha mke nyumbani akaelekea kanisani, na akakutana na mke wa mtu aliyemuacha mume nyumbani akaelekea kanisani.
Wewe nimecheka sanaIpo hivi👇
Mchungaji: mgeukie jirani yako mwambie "Jirani jirani nakupenda😅
Mwambie Jirani yako Mimi Ni handsome/beautiful
Mwambie Jirani yako usinione hivi mimi ni chombo(girls) ndugu msomaji hapo somo eti linakua ni kujikubali😄
Mgeukie jirani yako mpe tabasamu!! Acha kununa
Hicho kitendo kilipofanyika ndo ukazaliwa wewe mtakatifu 😋😋
Kama ulivyozaliwa ukajikuta mwislamu ndio hivyo tumejikuta huku. Tungezaliwa na wazazi waislamu tungekuwa waislamSilimu uwe muislam before it's too late
Mkuu nakushauri wahi muhimbili kitengo cha akili ukapime na kupata ushauriMimi ni muumini wa kanisa la KKKT Sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga kanisani ni pale mchungaji anakuwa anahubiri Mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako. Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri Mweupee ana shepu pale pale unahama kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat. Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati
mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika. Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo.
Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Hayo ni maneno na hakuna hata ushahidi.. Baki na unachokiaminWewe unafikiri uliumbwa na kuachwa tu burebure ufanye utakavyo???
Kwa hakika utasimishwa mbele ya Mola Mlezi na uhesabiwe kwa yale uliyoyafanya katika ulimwengu huu!!!!