KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

Unaweza ukavaa suruali bwaga kama gunia la mashineni lakini kama moyoni hakuna Mungu ni buree.
Ifact kuvaa milegezo na kusuka kweli inaweza ikatia mashaka ila kuvalia kama hapo kwenye picha sijaona sana ubaya
" Chakula ni kwa tumbo na tumbo ni kwa chakula lakini roho ni kwa Bwana"

mhhh pole sana -endelea kutulisha tango pori kulingana na hisia zako
 
HAYA NDIO MAKANISA YA KWELI KUMBE!
kanisa ajabu segerea.jpg
kanisa ajabu1.jpg
kanisa ajabu1.jpg
 
Ilo jibu sasa dada wawatu alivyo jibiwa na mchungaj [HASHTAG]#pita[/HASHTAG] hiv
 
siasa si dhambi kuongelewa kanisani, lakini mavazi yasiyofaa ni mabaya zaidi!
Yesu wetu ni wa rohoni Na si mwilini.
Ukivaa suti nadhifu huku umejaa dhambi wewe ni debe tupu kabisa. Ukigeuzia kofia nyuma huku ukiwa mtakatifu uliye jitenga Na dhambi Basi wewe ni wa thamani kubwa mno kuliko mwenye suti
 
Imeandikwa "MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO".

Zaidi sana pambana na hali yako, Maisha ya Masanja hayatakupeleka mbinguni!

After all We are living in fake life.
 
Kuna sheria Za mungu na sheria Za binadamu sasa wewe unaleta sheria Za binadamu,
 
Back
Top Bottom