KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste


mhhh pole sana -endelea kutulisha tango pori kulingana na hisia zako
 
Ilo jibu sasa dada wawatu alivyo jibiwa na mchungaj [HASHTAG]#pita[/HASHTAG] hiv
 
siasa si dhambi kuongelewa kanisani, lakini mavazi yasiyofaa ni mabaya zaidi!
Yesu wetu ni wa rohoni Na si mwilini.
Ukivaa suti nadhifu huku umejaa dhambi wewe ni debe tupu kabisa. Ukigeuzia kofia nyuma huku ukiwa mtakatifu uliye jitenga Na dhambi Basi wewe ni wa thamani kubwa mno kuliko mwenye suti
 
Imeandikwa "MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO".

Zaidi sana pambana na hali yako, Maisha ya Masanja hayatakupeleka mbinguni!

After all We are living in fake life.
 
Kuna sheria Za mungu na sheria Za binadamu sasa wewe unaleta sheria Za binadamu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…