KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

A

Anaenda kuhubiri kwa kswahili Marekani kila wiki na nyie hamjiongezi.Masanja piga kazi na mbavu zao zikikusogelea piga nazo na sembe kama kawa
kwa hiyo unamsifika kwa kutumia jina la Mungu kupata pesa?
 
Sio wote wamwitao Bwana Bwana wataurth ufalme wake
Wengne ni wasndkizaji
 
Huyu jamaa bado anaushamba flani hivi pamoja na mafanikio yote aliyonayo.

Kuna siku niliona amepost picha ndani ya ndege na mama mmoja wa kizungu amelala ameachama mdomo! ule ni ujinga wa kiwango kikubwa. Yule mama angaliona picha ile angalimfungulia mashtaka ya udhalilishaji.
 
Asichezee upasta atoe uhuni wake anawavunjia heshima wachunganji sasa anaongea mafumbo na kujisifia aelewi punzi na Mali amepewa na mola kwanza amesomea chuo gani cha biblia au up uchungaji asimcheze mungu atakuwa kichaa huko kuongea mafumbo akaimbe taharabu na kucheza
 
Nilishasema masanja ni msaka tonge. Yaana hana hata chembe ya dini
 
Mlokole halisi huvaa kama Dr Shika, na hukaa mkao wa Dr Shika.
 
Peleka wivu wako huko,kwaniasanja ndiye atakupeleka mbinguni??
 
Peleka wivu wako huko,kwaniasanja ndiye atakupeleka mbinguni??
Hata kama hampeleki mbinguni lakin kama mhubiri anatangazia watu njia ya mbinguni halafu yeye haoneshi kama ni muendaji hapo imani hakuna, na akafanye kazi zingine na c kudharaulisha ukiristo
 
Ilikwishasemwa kuwa mwisho wa Dunia ukikaribia tutajionea meeeeeengi!
 
590ebf0233f62835efe0863ab6645697.jpg
1f19e9e5768b8f624b95a0f896370195.jpg
8d83ac3c02a7a451859ee62a0f9dc469.jpg


Pastor himself Dah...kwa kweli upentekoste wa kipindi hiki ni tofauti kabisa na upentekoste wa kipindi hichooo cha akina askofu kulola na lazaro....KANISA LIPO KIBIASHARA TU, WACHUNGAJI HAWAKEMEI MAMBO HAYA...WAMEBASE KWENYE KUJAZA WAUMINI TU NA KUNUNUA VYOMBO NA KUFANYA MIUJIZA.

LAKINI SIYO KUHUBIRI KWELI(UTAKATIFU)
 
Makanisa yenyewe mkigombana kuhusu sadaka mnatawanyika wala siyo jambo la kushaangaa hilo wachungaji wanakazana kukemea mapepo ila vibinti vimekaa mbele sket zimeishia kwenye magoti anavyoviona hadi anaamua kufumba macho
 
Yaani watu bwana
Hivi unajua haya mambo ni ya rohoni? Uhusiano wa Mungu na mtu ni personal,mwingine utaishia kuongea tu!

Kwa mavazi hayo kwny picha sioni tatizo!

Hayo ya kusuka ,milegezo sidhani tangu aache komedy bado anafanya nachojua alishaacha kabisa!
Ht page yake baada ya kuoa alifuta pics zote sijui km kaanza tena kuweka
 
Back
Top Bottom