KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

Tuitume dini vizuri tusitumie dini kwa njia ya kuingizia kipato Bali tuitumie dini yetuu kwa kumtukuzaa bwana mungu wetu jaman tukumbuke kitu kimoja kila jambo analo Tanya mwanadamu mungu hukiona mda huo huo japo hautoweza kupata majibu kwa muda huo huo hivyo tukumbuke mungu ndio kila kitu katika dunia yetuu
 
Imeandikwa "MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO".

Zaidi sana pambana na hali yako, Maisha ya Masanja hayatakupeleka mbinguni!

After all We are living in fake life.
kuna watu wanajichanganya sana,masanja ni msanii,si mtu wa mungu na hajawahi kuwa hivyo ila ANAPENDA KWENDA KANISANI km mtu wa mungu,hajamwibia mtu na jitihada zake zmemfikisha hapo.
tumuache aenjoy nayeye kwa yale aliyokosa before
 
Jamani hivi mnjua biashara ngapi anafanya mashanja? Vijana fanyani kazi. Masanja ana mashamba ya mpunga kivao huko vijijini, ana kampuni ya ulinzi hapo Dar na vimgahawa hapo Dar plus na sadaka[emoji16] na alinza biashara kitambo
Mbona biashara yake kuuuubwa huisemi? ! Ndio hizo mnazodanganywa nazo!
 
KU
Maadili ya Kipentekoste yenyewe yanapingana na maadili ya Kipentekoste.

Mwacheni Masanja apige hela, angalau yeye hajachukua sadaka ya mtu kwa fix.
KUMBE HATA HUKU UPO AISEEEE WEWE KIBOKO
 
BAMPAMI NAONA UNA UCHUNGU POLE
590ebf0233f62835efe0863ab6645697.jpg
1f19e9e5768b8f624b95a0f896370195.jpg
8d83ac3c02a7a451859ee62a0f9dc469.jpg


Pastor himself Dah...kwa kweli upentekoste wa kipindi hiki ni tofauti kabisa na upentekoste wa kipindi hichooo cha akina askofu kulola na lazaro....KANISA LIPO KIBIASHARA TU, WACHUNGAJI HAWAKEMEI MAMBO HAYA...WAMEBASE KWENYE KUJAZA WAUMINI TU NA KUNUNUA VYOMBO NA KUFANYA MIUJIZA.

LAKINI SIYO KUHUBIRI KWELI(UTAKATIFU)
 
Kiuhalisia Ukitaka Kumchambua Kila Mtu Kibiblia Tunaweza Pata Watu Wachache Sana Ila Me Nasema Mtu Asiwe 7bu Ya Wewe Kuto Kwenda Mbinguni Ukiona Anafanya Zuri Na Kwa Mujibu Wa Biblia Nawe Fanya Na Akifanya Kinyume Na Biblia Muombee Au Muache , Cku Hzi Manabii Weng Sana Hatujui Ni Wa Kweli Au C Kweli Cha Muhimu Fanya Kitu Kwa Mujibu Wa Biblia
 
Kiuhalisia Ukitaka Kumchambua Kila Mtu Kibiblia Tunaweza Pata Watu Wachache Sana Ila Me Nasema Mtu Asiwe 7bu Ya Wewe Kuto Kwenda Mbinguni Ukiona Anafanya Zuri Na Kwa Mujibu Wa Biblia Nawe Fanya Na Akifanya Kinyume Na Biblia Muombee Au Muache , Cku Hzi Manabii Weng Sana Hatujui Ni Wa Kweli Au C Kweli Cha Muhimu Fanya Kitu Kwa Mujibu Wa Biblia
 
Kiuhalisia Ukitaka Kumchambua Kila Mtu Kibiblia Tunaweza Pata Watu Wachache Sana Ila Me Nasema Mtu Asiwe 7bu Ya Wewe Kuto Kwenda Mbinguni Ukiona Anafanya Zuri Na Kwa Mujibu Wa Biblia Nawe Fanya Na Akifanya Kinyume Na Biblia Muombee Au Muache , Cku Hzi Manabii Weng Sana Hatujui Ni Wa Kweli Au C Kweli Cha Muhimu Fanya Kitu Kwa Mujibu Wa Biblia
 
Inabidi masanja aungane na yesu wa iringa... Yeye masanja awe Yuda mkandamizaji
 
Kiuhalisia Ukitaka Kumchambua Kila Mtu Kibiblia Tunaweza Pata Watu Wachache Sana Ila Me Nasema Mtu Asiwe 7bu Ya Wewe Kuto Kwenda Mbinguni Ukiona Anafanya Zuri Na Kwa Mujibu Wa Biblia Nawe Fanya Na Akifanya Kinyume Na Biblia Muombee Au Muache , Cku Hzi Manabii Weng Sana Hatujui Ni Wa Kweli Au C Kweli Cha Muhimu Fanya Kitu Kwa Mujibu Wa Biblia
Umeongea kweli na hakika,MTU anabaki kuacha kuabudu eti kisa Fulani kamkwaza,kumbe hajui kuwa anajichelewesha safari ya mbinguni,big up,ujumbe huu ni hakika na ndivyo ilivyo..barikiwa sana kwa kumtetea Yesu na kuitetea injili
 
Usihukumu usije ukahukumiwa wewe unaye ijua misingi ya kikirsto ifuate ,Hayo mengine mwachie Mungu hujui yaliyomo nafsini mwake
 
Acheni kutumika vibaya Mtumishi wa Mungu Masanja mbali ya uchungaji kazi yake nyingine ni msanii wa Commedy kwa hiyo msichanganye mambo. Sidhani hayo mavazi mnayoyalalamikia kama ni kweli lkn huwa anayavaa kanisani, mi ninachokiona wengi wenu hapa mnawivu na mafanikio yake, kwa sababu watu wa kwanza kulalamika kama kweli anakosea wangekuwa viongozi wake wa dini, wala sio nyie. kwa hiyo kwa ushauri wangu acheni majungu kama kweli nyie mmeokoka.
Je wale wanaofungisha ndoa mashoga na huku waumin wakilalamika sio viongiz wa dini ? au hao viongoz unaona wako sahihi ?
 
Umeongea kweli na hakika,MTU anabaki kuacha kuabudu eti kisa Fulani kamkwaza,kumbe hajui kuwa anajichelewesha safari ya mbinguni,big up,ujumbe huu ni hakika na ndivyo ilivyo..barikiwa sana kwa kumtetea Yesu na kuitetea injili
Blesed Too
 
Back
Top Bottom