kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Nasema hivyo kwa sababu mara nyingi mabachela tunatingwa na mambo mengi so huwezi kubalance mambo ya kufua.kuosha vyombo.kudeki.kufagia unajikuta unafunikiaKutokufua nguo kumetokana na malezi maisha bora house girl anakufanyia kila kitu.
Hapo kwa tuliolelewa kinunda huwezi kukuta geto chafu,eti nguo chafu, eti hujui kupika.
Kwangu akija demu kunipikia au kunifulia ni mwiko atapata kilimleta anasepa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boksa huwez kuweka kweny sufuria ila utasahau tu uliiweka wap kweny beg au ulitundika sehemMmh haya endelea vivyo hivyo huo ndio ubachela wa kweli, unaonekana hata boksa unaweza ukaiweka kwenye sufuria [emoji23][emoji23][emoji23]
πππutakua nayo moja au mbiliBoksa huwez kuweka kweny sufuria ila utasahau tu uliiweka wap kweny beg au ulitundika sehem
Sent using Gun Trigger
ndo nakaushiaga glass mkuu!Mmh haya endelea vivyo hivyo huo ndio ubachela wa kweli, unaonekana hata boksa unaweza ukaiweka kwenye sufuria [emoji23][emoji23][emoji23]
njoo geto kwangu nikuprove wrong![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu Uzi wanaume mpo rafu sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapa nimepika Tambi kwenye rise-cooker Yan had nimeona uvivu kula mkuu zinaelea kwenye mafuta tu mafuta nilijaza kama kikombe kimoja hivi
Sent using Gun Trigger
Jitahid uache mkuu mi nimeacha nina wiki sasa
Sent using Gun Trigger
Mkuu wewe unapiga kila siku??? Mm wastan wangu Ni 1/30 days. Yaani Mara 1 kwa mweziUmejitahidi nipe siri ya mafanikio siku nne bila punyeto
πππDah kuhusu kufua shuk nisiwe mwongo
mwezi mmoja nalalia upande wa ukutane, mwezi wa 2 nahamia upande mwingine
minimum ya kufua shuka ni miezi 2.5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ukishika simu yenye bando hasa kuanzia GB 1, basi shetani anakuwa na kiherehere unajikuta ghafla uko kwenye site pendwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Wiki watu wanakaa miezi wanarudi chamani!!!Jitahid uache mkuu mi nimeacha nina wiki sasa
Sent using Gun Trigger
Mimi siku nne nimejitahidi sana.Mkuu wewe unapiga kila siku??? Mm wastan wangu Ni 1/30 days. Yaani Mara 1 kwa mwezi
WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020