KERO: TAMISEMI ondoeni shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR

KERO: TAMISEMI ondoeni shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2008
Posts
725
Reaction score
1,282
TAMISEMI ondoeni shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR.

Malalamiko ya shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR sio mageni.

Ni kama viongozi wa mikoa hii ya morogoro na wenzao wa Dodoma wamechagua kuweka pamba masikioni.

Jamani viongozi mnaohusika amkeni kufanya jambo kukomesha shida hii ya usafiri.

Kama viongozi waliopo hawatoshi waondolewe maana watu wanateseka.

Viongozi wa mikoa mingine inayopitiwa na SGR na nyinyi mjenge vituo na kuhakikisha usafiri mzuri kwa abiria msisubiri hadi mradi ufike kwenu na kuwapa watu shida kama hizi.

Mkumbuke huo mradi ni wa kimataifa. Taifa linaaibika kwa uzembe wenu.
 
Acha boda na taxi zipige hela, na sasahivi madereva bolt vituoni wamekubaliana kuwa wanapark treni ikishusha ili mkose mpigwe bei kubwa
 
TAMISEMI ondoeni shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR.

Malalamiko ya shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR sio mageni.

Ni kama viongozi wa mikoa hii ya morogoro na wenzao wa Dodoma wamechagua kuweka pamba masikioni.

Jamani viongozi mnaohusika amkeni kufanya jambo kukomesha shida hii ya usafiri.

Kama viongozi waliopo hawatoshi waondolewe maana watu wanateseka.

Viongozi wa mikoa mingine inayopitiwa na SGR na nyinyi mjenge vituo na kuhakikisha usafiri mzuri kwa abiria msisubiri hadi mradi ufike kwenu na kuwapa watu shida kama hizi.

Mkumbuke huo mradi ni wa kimataifa. Taifa linaaibika kwa uzembe wenu.

Sijaona shida yeyote uliyozungumzia hapo Kuna Haja gani kuandika thread bila kutaja hizo shida..
 
thread yako haijakamilika umekimbilia kutoa lawama bila ya kutaja tatizo
 
Back
Top Bottom