[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwa staili gani sasa make no uhuru hapo make mnalalamika tunalia sana ukute mtu kachomwa na mijiti na nyasi zakuwasha bado nawewe unamkandamizia tu!!
Pole pole ndio mwendo utafika tu.. Just be slow but sureMe n taratibu af cna haraka
Unajua cjui wansemaga simba
Mwenda pole ndo mla
Nyama nawafwata tu hapa
Nyuma af haitakiw daby ajue
Af ulipewa saport bdo
Hutak kuongeza speed
Unamuona daby anatembelea 120
Lakin hajui kama ata over tak
Hahaha too late.Haha, mkuu saint espy aondoke mwenyewe tu hapa sibanduki. Kanikosea adabu kuniita sijabalehe na uzee huu.
Daby kashadondokea pua mpaka sasa hivi.Me n taratibu af cna haraka
Unajua cjui wansemaga simba
Mwenda pole ndo mla
Nyama nawafwata tu hapa
Nyuma af haitakiw daby ajue
Af ulipewa saport bdo
Hutak kuongeza speed
Unamuona daby anatembelea 120
Lakin hajui kama ata over tak
[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba ngozi huvutia kwakeHahaha too late.
Mtu ushamuweka ndani ushapewa utamu sa hivi unajifanya humtaki?
Unadhani mahondaw yeye mjinga adi ajilete,
Ukishapata utamu wake si utatafuta mtoto mwingine?
Au unadhani wadada hawana akili?
Lol!
Bora muondoke woteHahaha kwa hiyo unamtafutia shemeji bwana,
Wewe nawe unatongozwa na shemeji hata hustuki
Kwa hio unamuita mahondaw mchepuko? Au sijaelewa[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba ngozi huvutia kwake
Ila dua la mchepuko halimpati mke.
Sasa unajarbu kujipa
Mkuu jamaa anaukame kama mbakaji bora nimwache....Bora muondoke wote
Mkasunbuane huko
Kwa espy
Sio ukame bwana.Mkuu jamaa anaukame kama mbakaji bora nimwache....