Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

Kwa staili gani sasa make no uhuru hapo make mnalalamika tunalia sana ukute mtu kachomwa na mijiti na nyasi zakuwasha bado nawewe unamkandamizia tu!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sasa kama kachuma
Mchicha vzr unafkir
Itaingizwa nusu n kama
Unaiba maana hakuna uhuru
 
Me n taratibu af cna haraka
Unajua cjui wansemaga simba
Mwenda pole ndo mla
Nyama nawafwata tu hapa
Nyuma af haitakiw daby ajue

Af ulipewa saport bdo
Hutak kuongeza speed
Unamuona daby anatembelea 120

Lakin hajui kama ata over tak
Pole pole ndio mwendo utafika tu.. Just be slow but sure
 
Haha, mkuu saint espy aondoke mwenyewe tu hapa sibanduki. Kanikosea adabu kuniita sijabalehe na uzee huu.
Hahaha too late.
Mtu ushamuweka ndani ushapewa utamu sa hivi unajifanya humtaki?
Unadhani mahondaw yeye mjinga adi ajilete,
Ukishapata utamu wake si utatafuta mtoto mwingine?
Au unadhani wadada hawana akili?
Lol!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sasa kama kachuma
Mchicha vzr unafkir
Itaingizwa nusu n kama
Unaiba maana hakuna uhuru
Magoti yataumia au kuwashwaaa knees bana.. Akichoka hio atabadilije pozi sasa??
 
Me n taratibu af cna haraka
Unajua cjui wansemaga simba
Mwenda pole ndo mla
Nyama nawafwata tu hapa
Nyuma af haitakiw daby ajue

Af ulipewa saport bdo
Hutak kuongeza speed
Unamuona daby anatembelea 120

Lakin hajui kama ata over tak
Daby kashadondokea pua mpaka sasa hivi.
Na wewe ndio unafuata..
 
Hahaha too late.
Mtu ushamuweka ndani ushapewa utamu sa hivi unajifanya humtaki?
Unadhani mahondaw yeye mjinga adi ajilete,
Ukishapata utamu wake si utatafuta mtoto mwingine?
Au unadhani wadada hawana akili?
Lol!
[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba ngozi huvutia kwake
Ila dua la mchepuko halimpati mke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba ngozi huvutia kwake
Ila dua la mchepuko halimpati mke.
Teh halimpati mke ila chamoto anakiona sio??! Don't underestimate the power of chepuko ohoo. Wake wanalia
 
mahondaw sijashindwa and i wont give up!!
Kuna kitu kimenikaba rohoni.
Hivi ushawahi kupenda mtu afu unaona unakaribia kumpoteza wazi wazi kiboya boya basi kuna kitu kinakukaba rohoni.
Lakini gemu ishaisha espy kashakuja kuchukua mtu wake.
Sasa unajarbu kujipa
Matumain umeshashinda

Wakat refa bdo hajapuliza kipenga
 
Mkuu jamaa anaukame kama mbakaji bora nimwache....
Sio ukame bwana.
Mimi nampenda mtoto ndio maana namlinda.
Nyie wote mmemtamani..
Mnataka kumpiga mtoto wangu kwa vile mkali afu mtokomee mumuache na maumivu.
Ndio maana nimekomaa na nyinyi na sitawapa nafasi.
 
Back
Top Bottom