Kero vituko na vioja vya majirani

Hahaha...alikuwa na ukame wa hatari na pia ni domo zege. Alishindwa hata kukukalisha kitako mkayajenga [emoji23][emoji23]
Naskia ndo mambo yake ya kufosi mabinti kinguvu. hata mkewe alituhadithia kuwa alimlazimishaga mpaka kumbikiri hahaha nacheka kama mazuri vile
 
Hahaha...alikuwa na ukame wa hatari na pia ni domo zege. Alishindwa hata kukukalisha kitako mkayajenga [emoji23][emoji23]
Tuyajengaje sasa simjui hanijui??? Wee mtu ndokwanza unamuona kwa mara ya kwanza!! Hio siku sikulala yani
 
Hahaha...alikuwa na ukame wa hatari na pia ni domo zege. Alishindwa hata kukukalisha kitako mkayajenga [emoji23][emoji23]
Ukame wapi kitombi tu yule Kila Leo analeta wasichana humu lakini haridhiki jicho linamtoka kwe
 
Naskia ndo mambo yake ya kufosi mabinti kinguvu. hata mkewe alituhadithia kuwa alimlazimishaga mpaka kumbikiri hahaha nacheka kama mazuri vile
Duuh, alikunywa supu ya papuchi nin!
Tuyajengaje sasa simjui hanijui??? Wee mtu ndokwanza unamuona kwa mara ya kwanza!! Hio siku sikulala yani
I used to say that maana
Kuyajenga ndiyo njia sahihi! Kuliko kujiporea. Unajua hata mtu akija honestly, ile unaweza kumfikiria eeeh
 
Ukishabatizwa ni mwiko kutaja la zamani... x wangu atanistukia acha tu.
Hahahaahhahahaahahahahaha ila kuna member wa zamani mewamis sana yani bas tu sijui kwanini kuna hio option ya kutengeza new id. mimi hata mtu anijue vipi sibadilishi wala
 
Duuh, alikunywa supu ya papuchi nin!

I used to say that maana
Kuyajenga ndiyo njia sahihi! Kuliko kujiporea. Unajua hata mtu akija honestly, ile unaweza kumfikiria eeeh
Hapana kwakweli.. Wee ndokwanza nilikua mgeni jamani hata mlango wa pili wa nyumba nilikua sijui upo wapi
 
Siamini kama kuna nyumba isiyokuwa na jirani. Shida ya mleta mada haku-define ni aina gani ya makazi alipo ila maelezo yake ni kuhusu nyumba za kupanga vyumba.
Una uhakika???! Anyway Jirani ni jirani awe wa kupanga au wa kujitegemea
 
Hahahaahhahahaahahahahaha ila kuna member wa zamani mewamis sana yani bas tu sijui kwanini kuna hio option ya kutengeza new id. mimi hata mtu anijue vipi sibadilishi wala
Hayajakukuta...je, huyo kitombi [emoji23][emoji23] utaweza kumvumilia na taarifa zake hizi
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
No 3 aiseee hapo kweli
Ulipewa mtihani

No 1 huyo dem n wale wakushinda vibarazan na saloon kuweka
Cr moyon kwake n mwiko
 
Una uhakika???! Anyway Jirani ni jirani awe wa kupanga au wa kujitegemea

Nyumba ya kupanga chumba nimeishi, nyumba ya kupanga nyumba nzima nimeishi, nyumba isiyokuwa ya kupanga nimeishi. Kuna tofauti kubwa ya aina ya majirani na vituko vya majirani.
 
Hayajakukuta...je, huyo kitombi [emoji23][emoji23] utaweza kumvumilia na taarifa zake hizi
Nishamzoea saivi napambana nae nishakua mwenyeji saivi kama mbwai mbwai.. Anaeza kuja na marafiki zake wa kiume akajifanya anatoka kasahau kitu huko. Akienda anakaa anakaa huko huku wale marafiki zake kuwaacha pale eti niwe napiga nao stori. Namimi natoka zangu nakua bize nayangu mpaka wanaamua kuondoka wenyewe. Mi nacheeeeka
 
Siamini kama kuna nyumba isiyokuwa na jirani. Shida ya mleta mada haku-define ni aina gani ya makazi alipo ila maelezo yake ni kuhusu nyumba za kupanga vyumba.
Mbona zipo nyumba nyingi sana ambazo hazina jirani
Kama huku kwetu porini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…