Naskia ndo mambo yake ya kufosi mabinti kinguvu. hata mkewe alituhadithia kuwa alimlazimishaga mpaka kumbikiri hahaha nacheka kama mazuri vileHahaha...alikuwa na ukame wa hatari na pia ni domo zege. Alishindwa hata kukukalisha kitako mkayajenga [emoji23][emoji23]
Ukishabatizwa ni mwiko kutaja la zamani... x wangu atanistukia acha tu.Khakha ili hivi id yako ya zamani ni ipi vilee?? Tehteh
Duuh, alikunywa supu ya papuchi nin!Naskia ndo mambo yake ya kufosi mabinti kinguvu. hata mkewe alituhadithia kuwa alimlazimishaga mpaka kumbikiri hahaha nacheka kama mazuri vile
I used to say that maanaTuyajengaje sasa simjui hanijui??? Wee mtu ndokwanza unamuona kwa mara ya kwanza!! Hio siku sikulala yani
Naomba niwasubiri maana sisi hatuna jirani
Hahahaahhahahaahahahahaha ila kuna member wa zamani mewamis sana yani bas tu sijui kwanini kuna hio option ya kutengeza new id. mimi hata mtu anijue vipi sibadilishi walaUkishabatizwa ni mwiko kutaja la zamani... x wangu atanistukia acha tu.
Hapana kwakweli.. Wee ndokwanza nilikua mgeni jamani hata mlango wa pili wa nyumba nilikua sijui upo wapiDuuh, alikunywa supu ya papuchi nin!
I used to say that maana
Kuyajenga ndiyo njia sahihi! Kuliko kujiporea. Unajua hata mtu akija honestly, ile unaweza kumfikiria eeeh
Una uhakika???! Anyway Jirani ni jirani awe wa kupanga au wa kujitegemeaSiamini kama kuna nyumba isiyokuwa na jirani. Shida ya mleta mada haku-define ni aina gani ya makazi alipo ila maelezo yake ni kuhusu nyumba za kupanga vyumba.
Hayajakukuta...je, huyo kitombi [emoji23][emoji23] utaweza kumvumilia na taarifa zake hiziHahahaahhahahaahahahahaha ila kuna member wa zamani mewamis sana yani bas tu sijui kwanini kuna hio option ya kutengeza new id. mimi hata mtu anijue vipi sibadilishi wala
Pole saana...hahahaHapana kwakweli.. Wee ndokwanza nilikua mgeni jamani hata mlango wa pili nilikua sijui upo wapi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hello members!
Bila kupoteza Muda naomba tutoe taabu na matatizo ya jirani zetu ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaudhi na kuboa sana .
Hii itasaidia pia hata sisi wenyewe kujihoji na kujua baadhi ya mambo tuyafanyayo huko tunapoishi yanayowaboa wengine.
Nianze tu na baadhi ya vioja vyahapa kwetu :
1: Kuna kaka fulani hapa anaishi na mpenzi wake. Inaonekana huyo kaka anapenda sana kufanya tendo mara kwa mara kuliko kawaida. Yani akishinda kwake hio siku mpenzi wake ana shughuli pevu. Sasa sijui mkewe sijui mpenzi wake nae hana hata siri.. Mambo yao yandani anayaanika sana nje. Yani hakuna tusichokijua ndani yao Muda mwingine unamsikia kabisa mwanamke anavopinga na kukataa tendo kwa nguvu Muda mwingine wanavutana kweli mke anatoka mbio kwenda mtoni anakaa huko masaa kibao makusudi.
2. Mwingine tena anaeza kuta mtu upo zako kwako umejiwekea kamziki Kako sauti ya wastani tu. Hapohapo yeye ataenda kwake atawasha sauti kubwa kiasi kwamba utahis ngoma ya sikio inachomoka. sasa hapo kunakua na miziki miwili tofauti moja ndo sauti kubwaaa. Mbaya zaidi anaeza washa halafu anafunga mlango huyoo anaondoka. Mtu unaamua tu kuzima yako na kusikiliza yake make inaonekana kama mashindano vile.
3. Mwingine alitakaga kunibaka akaenda kunigeuzia kibao kwa mkewe eti mimi ndo namfosi kumtaka kimapenzi. Hii imejenga uadui mkubwa sana kati yangu na mkewe mpaka nashindwa kuelewa .
Human beings are very complex kwakweli nyie acheni tu
Toa maoni na vioja vya majirani zako.
Una uhakika???! Anyway Jirani ni jirani awe wa kupanga au wa kujitegemea
Aiseee kumbe co pekeangPole aseeh
Hiyo ya tatu nimetamani kuijua in deep. Ilikuaje? ?
Haha...ila ipo hapo nyuma ipitieAiseee kumbe co pekeang
Nishamzoea saivi napambana nae nishakua mwenyeji saivi kama mbwai mbwai.. Anaeza kuja na marafiki zake wa kiume akajifanya anatoka kasahau kitu huko. Akienda anakaa anakaa huko huku wale marafiki zake kuwaacha pale eti niwe napiga nao stori. Namimi natoka zangu nakua bize nayangu mpaka wanaamua kuondoka wenyewe. Mi nacheeeekaHayajakukuta...je, huyo kitombi [emoji23][emoji23] utaweza kumvumilia na taarifa zake hizi
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]View attachment 471996
Huu ni moja ya mifano michache ambayo huwakuta jirani zangu....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona zipo nyumba nyingi sana ambazo hazina jiraniSiamini kama kuna nyumba isiyokuwa na jirani. Shida ya mleta mada haku-define ni aina gani ya makazi alipo ila maelezo yake ni kuhusu nyumba za kupanga vyumba.