Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

Nishamzoea saivi napambana nae nishakua mwenyeji saivi kama mbwai mbwai.. Anaeza kuja na marafiki zake wa kiume akajifanya anatoka kasahau kitu huko. Akienda anakaa anakaa huko huku wale marafiki zake kuwaacha pale eti niwe napiga nao stori. Namimi natoka zangu nakua bize nayangu mpaka wanaamua kuondoka wenyewe. Mi nacheeeeka
[emoji16][emoji16]
 
Nishamzoea saivi napambana nae nishakua mwenyeji saivi kama mbwai mbwai.. Anaeza kuja na marafiki zake wa kiume akajifanya anatoka kasahau kitu huko. Akienda anakaa anakaa huko huku wale marafiki zake kuwaacha pale eti niwe napiga nao stori. Namimi natoka zangu nakua bize nayangu mpaka wanaamua kuondoka wenyewe. Mi nacheeeeka
Haa haa kweli unawakomoa
 
Dhaaaa haitak kufunguka aisee
Click jina mahandow then utaona meseji zake upande wa kulia sijui ni elfu tano mia ngapi.
Then click kwenye messages.
Baadae zitakuja options mbili
-started
-replies

Click started utafute huo uzi.
 
Hayajakukuta...je, huyo kitombi [emoji23][emoji23] utaweza kumvumilia na taarifa zake hizi
Sasa juzi kati alitaka mazoea tena. Habari za kushikana shikana. Mara tukitaka kubishana koridoni hataki kupisha anakua anakuja mzima mzima iliotapakaa kama tugongane hivi nikienda pembeni ananifata nikirud nyuma huyo.. Mara nikitoka kuoga atake kunikumbatia eti waoooh. Mara ajisemeshe eti Wenawe hizi hips hizo zinahitaji mtu wa kuzibinya binya . Sasa wewe unaziacha tu yani yani yani yani yani yani mh
 
Mbona zipo nyumba nyingi sana ambazo hazina jirani
Kama huku kwetu porini
Mamito Jirani si mpaka mpange au mkae nyumba moja ! Hata kama kuna umbali wa mita 500 huyo ndo jirani yako
 
Sasa juzi kati alitaka mazoea tena. Habari za kushikana shikana. Mara tukitaka kubishana koridoni hataki kupisha anakua anakuja mzima mzima iliotapakaa kama tugongane hivi nikienda pembeni ananifata nikirud nyuma huyo.. Mara nikitoka kuoga atake kunikumbatia eti waoooh. Mara ajisemeshe eti Wenawe hizi hips hizo zinahitaji mtu wa kuzibinya binya . Sasa wewe unaziacha tu yani yani yani yani yani yani mh
Hahaha...hahaha...mpeleke shemeji yao hapo akae walau two weeks.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
No 3 aiseee hapo kweli
Ulipewa mtihani

No 1 huyo dem n wale wakushinda vibarazan na saloon kuweka
Cr moyon kwake n mwiko
Sometimes sisi wanawake nao tunaongea kupitiliza. Halafu unakuta tumekaa nae tunamchota akili tu nayeye anafunguka kama yalivo. Hajiulizi mbona wenzake hawasemi za wame zao au anafikiri wenzie ni wasafi!????? Basi tu kuficha siri za wawili
 
Hahaha...hahaha...mpeleke shemeji yao hapo akae walau two weeks.
Tatizo Kazi sasa. biznes zake hazimruhusu kukaa moja kwa moja hapa huwa anakuja mara kwa mara wanamjua ila nashangaa hawaishi kunisakama
 
Click jina mahandow then utaona meseji zake upande wa kulia sijui ni elfu tano mia ngapi.
Then click kwenye messages.
Baadae zitakuja options mbili
-started
-replies

Click started utafute huo uzi.
Thanks mkuu
 
Back
Top Bottom