Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

Haha mkuu yani kila sekunde na refresh page ila mtoto kapiga kimyaaa
Huyu jamaa deby atakuwa alimkeep bussy ila nishamharibia arudi tu kwa espy
Haa haa haa
Mkuu naona jamaa
Anabadili gear hata ikiwa bdo
Haija fka kuchanger[emoji1]
Af mlima bdo hata hajafka nusu


Cjui utaweka no ngap
Umpige overtake

Kwa mtt espy kama
Amelemewa hiv pale[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mimi huku kitaa majirani zangu wanajiachiaje na kikanga kimoja kila week end wapo nje wanajifanya wanafua. Mimi nikitoka zangu najifanya kama siwaoni vile kumbe retina imeshameza image zote kitambo
ha haa haa aiseee

Kama pande za tabata walaaa
N hatar majiran wanajitanda na
Kanga moto tu yan

Hawajui kama minara inapata shida
 
Haa haa haa
Mkuu naona jamaa
Anabadili gear hata ikiwa bdo
Haija fka kuchanger[emoji1]
Af mlima bdo hata hajafka nusu


Cjui utaweka no ngap
Umpige overtake

Kwa mtt espy kama
Amelemewa hiv pale[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mtoto espy alishafika bei kwa jamaa, sasa nashangaa kwa nini jamaa amechenji gia angani kama ukawa.

Mtoto mzuri espy mtoto ana lips tamu kama nini. Mtoto mashalah!! Nilianza kurusha ndoana ila nikaona isiwe shida nikmuachia jamaa.

Nikasepa kwa my cute my dream my angel my ovakado mahondaw... Hamadi mtoto ndio anaanza kunielewa nakuta jamaa katua tena huku kwenye thread ya mtoto.

Huyu jamaa ni kiwembe. Matokeo yake atawakosa wote
 
ha haa haa aiseee

Kama pande za tabata walaaa
N hatar majiran wanajitanda na
Kanga moto tu yan

Hawajui kama minara inapata shida
Daaaaah !! Wewe jamaa kumbe upo pande za tabata.
Aisee tabata kuna visub hatari.
Yani dsm nzima sidhani kama kuna sehemu yenye watoto wakali kama tabata.
Someone will prove me wrong.
 
Mtoto espy alishafika bei kwa jamaa, sasa nashangaa kwa nini jamaa amechenji gia angani kama ukawa.

Mtoto mzuri espy mtoto ana lips tamu kama nini. Mtoto mashalah!! Nilianza kurusha ndoana ila nikaona isiwe shida nikmuachia jamaa.

Nikasepa kwa my cute my dream my angel my ovakado mahondaw... Hamadi mtoto ndio anaanza kunielewa nakuta jamaa katua tena huku kwenye thread ya mtoto.

Huyu jamaa ni kiwembe. Matokeo yake atawakosa wote

Haha...Mzee mwenzangu kwa heshima na taadhima ya jopo la utongozaji JF nimeamua kukuachia huyu.

Ila tongozo liwe Jukwaani pm unaficha yapi yote tulishawaambia wakati tunawatoa bikra.
 
Haha...Mzee mwenzangu kwa heshima na taadhima ya jopo la utongozaji JF nimeamua kukuachia huyu.

Ila tongozo liwe Jukwaani pm unaficha yapi yote tulishawaambia wakati tunawatoa bikra.
Ha ha h jukwaani mkuu itabidi nifanye hivyo.
Ila na wewe sasa ndugu yangu kwa vile ni mtaalamu wa mistari.

Uweke mistari yako pia kunipa support.
Siku ya birthday ya mtoto mwezi wa tatu nitakupa nafasi ya kufungua shampeini
 
Mamito Jirani si mpaka mpange au mkae nyumba moja ! Hata kama kuna umbali wa mita 500 huyo ndo jirani yako
Mmh!
Aya basi na sisi tuna majirani
Kabla haujafika kimba ukiwa unaenda crater.

Maasai ndiyo wanaishi mbali mbali bhna. Unaweza kuta familia moja ipo zaidi ya km 4 au 5.
Hahahah
Wamasai mmetisha manake ikitokea tatizo hapo na simu hakuna ni shida
Unaishi masaki ama kule ostabei.... Kule majuto alikomlaumu mwanae jb kwa nn majiran hawatembelean na kujuliana hali na kuombana vitu.... Krb uswaz kwetu
Naishi huku porini
Nyumba moja hadi nyingine imetenganishwa na vichaka kama nane hivi
 
Ha ha h jukwaani mkuu itabidi nifanye hivyo.
Ila na wewe sasa ndugu yangu kwa vile ni mtaalamu wa mistari.

Uweke mistari yako pia kunipa support.
Siku ya birthday ya mtoto mwezi wa tatu nitakupa nafasi ya kufungua shampeini
Hahahaha....mimi kama unakabinamu au kadada kazurii nirushie huku sina shida wala wewe.

Kuhusu, mistari. Eeeh unataka kulia kipaji changu?
 
Mtoto espy alishafika bei kwa jamaa, sasa nashangaa kwa nini jamaa amechenji gia angani kama ukawa.

Mtoto mzuri espy mtoto ana lips tamu kama nini. Mtoto mashalah!! Nilianza kurusha ndoana ila nikaona isiwe shida nikmuachia jamaa.

Nikasepa kwa my cute my dream my angel my ovakado mahondaw... Hamadi mtoto ndio anaanza kunielewa nakuta jamaa katua tena huku kwenye thread ya mtoto.

Huyu jamaa ni kiwembe. Matokeo yake atawakosa wote
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sasa wote mtakosa kote
Maana mshika mawili
Moja humponyoka
Sasa mnataka wote

Mtakosa wote
Pm ya mtt mahondaw
Unai refresh tu[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Mtt espy ungetuliq nae
Pale panakufaa aiseee


Jamaa nae cjui n tamaaa
Kila kona yupo bhn
 
Aisee huyu jamaa deby kaenda wapi tena .. Akikaa kimya mi kiroho kinaniuma sana aisee.
Asije akawa amepewa ushirikiano.
Kunahat hat huenda
Pm yake imekubaliwa aisee
Kapotea gafla hebu
Fanya kudungua mawasliano
Ya pm aiseee

Au tumuite mrussi atusaidie
Kudungua aiseee
 
Mmh!
Aya basi na sisi tuna majirani

Hahahah
Wamasai mmetisha manake ikitokea tatizo hapo na simu hakuna ni shida

Naishi huku porini
Nyumba moja hadi nyingine imetenganishwa na vichaka kama nane hivi
Mh najua unataka niahirishe posa yangu ila hao WA vichakan ndio sild am a used but new
 
Back
Top Bottom