wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
Kwa hiyo mtaani kwetu ndiyo panastahili kukatika umeme mara kwa mara!!Hilo tatzo kubwa la umeme umeliona wapi.
Umeme ukikatika mtaani kwenu unahisi ni Nchi nzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mtaani kwetu ndiyo panastahili kukatika umeme mara kwa mara!!Hilo tatzo kubwa la umeme umeliona wapi.
Umeme ukikatika mtaani kwenu unahisi ni Nchi nzima.
KIGOGO14 ameamua kuwatesa WatanzaniaMuda huu umeme umekatika arusha.....
Jana tulishinda siku nzima bila umeme.....
Sishauriki
Tatizo likiisha Kabisa tutauzaje majenereta wewe acha tu.Waziri wa Nishati mh Makamba kwa mbwembwe nyingi alituaminisha kwamba tatizo la umeme itakuwa hadidhi baada ya kufanyia matengenezo makubwa mitambo ya kufua umeme kwa mda wa siku kumi. Tena akaenda mbali anasema ya kwamba mitambo hiyo ni mibovu kwa sababu kwa kipindi chote cha marehemu JPM haikufanyiwa matengenezo kwa sababu makundi waliogopa kuizima mitambo hiyo ili kuifanyia matengenezo kwa kuogopa JPM. Lakini ajabu kubwa ni kwamba baada ya matengenezo ya mitambo hiyo ndiyo tatizo la umeme limeongezeka zaidi.
Je mafundi waliiharibu mitambo hiyo badala ya kuutengeza? Na kama siyo hivyo ni bora warudishie ubovu ulikuwepo katika mitambo hiyo ili kutunusulu na tatizo hili la umeme. Kwani ilipokuwa mibovu hatukushuhudia tatizo hili la kukatika kwa umeme kila siku
RUSSIA NA UKRAINE SITISHENI VITA MNAUA RAIA WASIYO NA HATIA
Ndugu mpendwa Mteja wetuJana umeme umekata kuanzia saa 12 jioni mpaka leo 3/3 saa 3 asubuhi.
Umerudi saa 3 umekaa mpaka saa 8 mchana umekata tena wakarudisha saa 1.
Mpaka saa tatu umeshitua karibia mara 4.
Shida ni nini?
TANESCO naombi mnijibu
Hii hali itaendelea mpaka lini?
Wiki ijayo naagiza generator kutoka China.
No way out!
Hilo tatzo kubwa la umeme umeliona wapi.
Umeme ukikatika mtaani kwenu unahisi ni Nchi nzima.
Usiwe una pinga tu hoja ya mtu,mbona hata mm nipo wilaya frani hivi umeme week nzima unakatika kila wakati,au wewe ndio makamba mwenyewe nini?Hilo tatzo kubwa la umeme umeliona wapi.
Umeme ukikatika mtaani kwenu unahisi ni Nchi nzima.
Walamba viatu hao huwa wanamuambiaga kwamba anakubalika sana na kwamba yeye ni waziri geniusUsiwe una pinga tu hoja ya mtu,mbona hata mm nipo wilaya frani hivi umeme week nzima unakatika kila wakati,au wewe ndio makamba mwenyewe nini?
Umeme umekatika asubuhi hii 8:30Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhaliUmeme umekatika asubuhi hii 8:30
Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa na Tanesco Kahama
Mkoa: Shinyanga
Wilaya: Kahama
Kata: Nyahanga
Eneo/mtaa: Lugela
Simu: 0767659145
tawileWewe kichwani hamna kitu, hata kama ukifa asubuhi hii hakuna atayesikitika
Hats mwanza Nyegezi wamekata SAA mbili asubuhi hiiUmeme umekatika asubuhi hii 8:30
Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa na Tanesco Kahama
Mkoa: Shinyanga
Wilaya: Kahama
Kata: Nyahanga
Eneo/mtaa: Lugela
Simu: 0767659145
Hahahaha dadeki...MNA share na wauza majenereta?Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
Nunua generator mkuu maana ndiyo lengo majenereta yamekaa sana stoo na mafuta nayo bei juu lita tsh 2706 huku Tanganyika sijui kwa wenzetu Tanzania wao ni bei gani?Wiki hii kukatika umeme kunanitesa kuliko kawaida, wanakata asubuhi saa 12 wanarudisha jioni saa 12 na nusu. Masaa zaidi ya 12.
Niseme wazi siku zile 10 za mgao zilizotolewa sikuwa na kazi nyingi sana hivyo wala sikuona kama ni issue sana na wala sikuathirika.
Balaa lipo wiki hii nina kazi nyingi zinazohitaji umeme lakini ndio hivyo tena.
Nimeshindwa kuvumilia bora nitoe hili dukuduku roho yangu itulie.
Haka kamsemo naona kamekuja kama ajenda kupunguza watu kasi ya kutafuta haki zao. Eti tafuta hela. Wanaboa. Sasa kama ni hivo na yeye humu anatafuta nnSi ndo anatafuta hela alafu umeme wanamkatia..