Kero ya Kukatika Umeme Mara kwa Mara: Wiki hii kukatika umeme kunanitesa kuliko zile siku 10 za mgao

Tatizo likiisha Kabisa tutauzaje majenereta wewe acha tu.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
 
Mnapiga kelele wakati hata unit 100 kwa mwezi hamtuii
 
Hilo tatzo kubwa la umeme umeliona wapi.

Umeme ukikatika mtaani kwenu unahisi ni Nchi nzima.
Usiwe una pinga tu hoja ya mtu,mbona hata mm nipo wilaya frani hivi umeme week nzima unakatika kila wakati,au wewe ndio makamba mwenyewe nini?
 
Usiwe una pinga tu hoja ya mtu,mbona hata mm nipo wilaya frani hivi umeme week nzima unakatika kila wakati,au wewe ndio makamba mwenyewe nini?
Walamba viatu hao huwa wanamuambiaga kwamba anakubalika sana na kwamba yeye ni waziri genius
 
Inasikitisha sana kuona jinsi shirika hili linavyoendeshwa.Miaka 60 ya uhuru lakini bado umeme ni wa shida hapa nchini.

Walau miaka michache iliyopita hapakuwa na makatizo Makali ya umeme kiasi hiki. Ina maana vyanzo vya umeme hapo nyuma vilikuwa tofauti na sasa?

Tuliaminishwa mgao mkubwa uliopita siku za karibuni ungekuwa mwisho Lakini inasikitisha kuona kila mara umeme bado unakatika kwa sababu zisizoisha.

Je, Tukisema shirika la TANESCO lina shida mahala itakuwa tunakosea?
 
Kuna watu watakwambia rais ajaye huyo
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
Umeme umekatika asubuhi hii 8:30
Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa na Tanesco Kahama

Mkoa: Shinyanga
Wilaya: Kahama
Kata: Nyahanga
Eneo/mtaa: Lugela
Simu: 0767659145
 
Umeme umekatika asubuhi hii 8:30
Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa na Tanesco Kahama

Mkoa: Shinyanga
Wilaya: Kahama
Kata: Nyahanga
Eneo/mtaa: Lugela
Simu: 0767659145
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Umeme umekatika asubuhi hii 8:30
Hakuna taarifa yoyote tuliyopewa na Tanesco Kahama

Mkoa: Shinyanga
Wilaya: Kahama
Kata: Nyahanga
Eneo/mtaa: Lugela
Simu: 0767659145
Hats mwanza Nyegezi wamekata SAA mbili asubuhi hii
 
Nunua generator mkuu maana ndiyo lengo majenereta yamekaa sana stoo na mafuta nayo bei juu lita tsh 2706 huku Tanganyika sijui kwa wenzetu Tanzania wao ni bei gani?
 
Alafu mama anasema tangu aingie madarakani ameleta miradi ya kutosha sa sielewi ana maainisha nn wakati umeme ukiendelea kukata Kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…