Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kulikuwa na ulazima Gani mm kufika huko kama issue ni uhakiki wa vyeti? SI nitume tu waviangalie wakishajiridhisha ndio waniite?Ukisoma Barua Ile ya kupangiwa Kituo inamtaka mwajiri afanye uhakiki Wa vyeti vyako Kwanza ndipo akupokee rasmi. Nadhani hicho ndo kinakula muda
Hicho ni kisingizio tu!! 1. Vyeti vilivyopandishwa kwenye mfumo vimethibitishwa kisheria na mahakama au wakili. 2. Wakati wa usaili (written interview) wahusika walikagua vyeti halisi kwa kuwatumia watu wenye utaalam wa kuhakiki vyeti na wanakula posho kwa kazi hiyo.Ukisoma Barua Ile ya kupangiwa Kituo inamtaka mwajiri afanye uhakiki Wa vyeti vyako Kwanza ndipo akupokee rasmi. Nadhani hicho ndo kinakula muda
Nchi hii ina wapumbavu wengi Sana! Kama anaiba matrilioni ya hela na bado yupo tu, hiyo wala hawajali kabisa!Inawezekanaje watu wapange utaratibu ambao siyo rafiki kwa waajiriwa wapya? Iko hivi: Ukipangiwa ajira na sekretarieti ya ajira kwa maana ya kufaulu usaili, unapewa barua ya kuripoti kazini ndani ya siku 14 vinginevyo nafasi yako atapewa mwingine! Hii inmfanya mwajiriwa atafute nauli hata kwa kukopa toka huko aliko na kusafiri hadi kituo alichopangwa. Akifika huko wanakagua vyeti vyake halisi, na kujaza taarifa zake binafsi kisha huambiwa RUDI NYUMBANI NA TUKIKAMILISHA TARATIBU ZA AJIRA TUTAKUITA KWA SIMU!! Hapo wameshamaliza na unatoka ofisini bila hata senti moja! Hawajali utalala wapi na utakula wapi na usalama wako ni upi! na utasafiri vipi na utarudi tena vipi!! Niliposikia kwa mara ya kwanza kwa mtu aliyekuwa amepangiwa halmashauri moja huko tabora sikuamini kuwa huo ndio utaratibu!! Nilifikiri ni roho mbaya tu ya wahusika huko halmashauri ya tabora!! Juzi juzi kuna dogo alipata nafasi katika moja ya manispaa za Dar. Naye aliporipoti alipokelewa na kukaguluiwa vyeti vyake na kujaza fomu za personal particulars na kuambiwa arudi hadi atakapopigiwa simu! Ni wiki nimepita sasa na bado hajapigiwa simu na anajibanza tu kwa watun na hajui hadi lini!! Huu utaratibu una usumbufu sana!! Ninachofahamu watu huitwa wakati serikali imeshafanya maandalizi tayari ya kuwapokea na kuwahudumia!! Yaani kijana amesota na interview kibao kwa gharama kubwa sana ya nauli, malazi na chakula, sasa ameitwa kwenye ajira bado anasoteshwa! Niwaulize nyie mnaowafanyia hivyo wenzenu mnajua masaibu wanayopambana nayo wanaposubiria? Wengine wanalala kwenye vituo vya mabasi kwa kukosa pesa za gesti na nauli ya kurudi tena nyumbani hawana! Tafadhali angalau siku wanaporipoti wapeni zile posho za kujikimu zilizopo kisheria ili ziwalinde wanaposubiria!
Kama ni hivyo basi apewe nauli aliyotumia kuripoti kwa mujibu wa maagizo aliyopewa kwenye barua, kisha apewe nauli ya kurudi nyumbani akisubiri kuitwa tena!!Naomba nijibu kama ifuatavyo....unakuwa bado hujaingizwa kwenye mfumo, na mpaka uingizwe kwenye mfumo anaweza kuchukua mwezi au ndani ya miezi miwili ili upate mshahara wako, ili upate mshahara wako inabidi utumishi wa approve taarifa zako, kwa kuzikagua kiundani ili tusipate udanganyifu......kwa kuwa hakuna bajeti Yako ya kujikimu kwa mda ule,ndio maana tunakwambia kuwa kakae kwanza nyumbani mpaka tukupigie simu....jamani sio kwa ubaya,maana hakuna wa kukulisha hapa mjini.....kama hamuamini kawaulize walimu wanavyopata ajira,wanakaa zaidi ya mwezi ndio wanaingiziwa mshahara wao..muda wote huwa wanahudumiw na wakuu wa shule mpaka wanapopata mishahara Yao kwa mara ya kwanza.....alisikika HR mmoja wa michango.
Mimi sikatai hayo maelezo ya kurudi kusubiri taratibu. Ninachokataa ni kutokupewa nauli ya kuja na kurudi tena nyumbani wakati walikuita wenyewe!! Hoja yangu ni kuwa utarudije wakati huna nauli? Usijifanye hujui kama mtu anaweza kuwa hana nauli!! Kuripoti kwa mara ya kwanza hiyo ni safari rasmi lazima ilipiwe nauli kamili!!Nyie vijana hamjitambui muwe mnauliza ili mpate kujua mambo, ukienda kuripoti kituo cha kazi ukiambiwa rudi nyumban tena inabidi ushukuru umepewa muda wa kujiandaa vzuri kwa maisha mapya... Hapo maana yake umepewa siku sio chini ya 14 kurudi kujiandaa... Hapo maana yake rudi kavute pumzi wakat wanajiandaa kukuingiza ktk mfumo wa Payroll... Hapo maana yake hawajataka ubaki kazini wakat taratibu za stahiki zako kama mtumish hazijakamilika, kumbuka mifumo ya serikal inafanya kazi kwa mawasiliano na documents sahihi... As long as umetoa namba zako za cm na email sahihi tuliza komwe lako nyumban utaitwa... Halafu pia ukiripoti kituoni na kuambiwa rudi utapigiwa cm ni vizuri uombe namba ya wahusika acheni uoga wa kijinga... Zamani watu walikua wanaripoti kituoni wanaanza kazi then mishahara inachelewa hata miezi 3 unaishi vipi..? Ndiyo maana sikuhiz wanachukua taarifa zako zote wakishakamilisha taratibu ndio unaitwa kazini... Serikal sio private sector... All in all mkipata kazi fanyeni kazi kwa bidii weledi uaminifu na mkubali kujifunza kazi kwa waliotangulia na kamwe msiige tabia mbaya mtakazozikuta kwasabab kilamtu kaingia kazini na anafanya kazi kwa malengo take binafsi...
Serikal sio private sector... JipangeMimi sikatai hayo maelezo ya kurudi kusubiri taratibu. Ninachokataa ni kutokupewa nauli ya kuja na kurudi tena nyumbani wakati walikuita wenyewe!! Hoja yangu ni kuwa utarudije wakati huna nauli? Usijifanye hujui kama mtu anaweza kuwa hana nauli!! Kuripoti kwa mara ya kwanza hiyo ni safari rasmi lazima ilipiwe nauli kamili!!
niliporipoti na barua ya kupangiwa kituo ilikuwa ni rasmi na ni lazima igharimiwe!! Ni kwa kigezo kipi unasema sijaripoti rasmi wakati nilikuwa barua rasmi inayonitaka niripoti ndani ya siku 14 vunginevyo nafasi yangu atapewa mwingine? Hivi haiwezekani kuwa na utaratibu rafiki usiokuwa na usumbufu?Serikal sio private sector... Jipange
Ukirudi kuripoti rasmi ndio utalipwa nauli na mizigo nk...
Duh mambo n mengi mi nilidhani ukishapata tu kazi umemalizq kumbe kuna hili sakata tena jamani!!!!!!Wakigoma kukubaliana na wee bas kila siku fika ofc Kisha sain nenda zako au kaa kwenye benchi la wageni ikifika muda wa chai nenda rud Tena hapo
Nina maan yngu kubwa
Unapoambiwa wahusika mmoja Wapo ndo huyu hapa sasaKukiwa hakuna ajira kelele mkipata kelele. Mama kanyaga twende
Lipo sana!! Ni heri wale wanaopangiwa karibu na nyumbani kwao!! Hapo kusubiria haina usumbufu hata kama ni mwezi!! Sasa mtu alijua anaripoti kazini na alitafuta nauli ya kwenda tu tena kwa kukopa akijua akipokelewa atarudishiwa nauli na kupewa posho ya kujikimu!! Anachokutana nacho huko wengi wanajinyamazia huku wakiugulia maumivu makali moyoni!! Fikiria mtu hana nauli ya kurudi nyumbani, hana ndugu kwenye mji huo anafanyaje?Duh mambo n mengi mi nilidhani ukishapata tu kazi umemalizq kumbe kuna hili sakata tena jamani!!!!!!
,Bora umepata I'll nakutonya fanya Mara kwa .Mara kutembelea ofc kila baada ya siku tatu ,
Kuna kijan alilamika hapa ajira yake kupewa mtu mwingine Kisha yey akambiwa arudi nyumbano hvyo Ni vyema San uwe makini daile fika na unana na hr kuwa mm Niko najitoleaaa na kuzoea mazingiraaa
Aisee, uandishi huu...Inawezekanaje watu wapange utaratibu ambao siyo rafiki kwa waajiriwa wapya? Iko hivi: Ukipangiwa ajira na sekretarieti ya ajira kwa maana ya kufaulu usaili, unapewa barua ya kuripoti kazini ndani ya siku 14 vinginevyo nafasi yako atapewa mwingine! Hii inmfanya mwajiriwa atafute nauli hata kwa kukopa toka huko aliko na kusafiri hadi kituo alichopangwa. Akifika huko wanakagua vyeti vyake halisi, na kujaza taarifa zake binafsi kisha huambiwa RUDI NYUMBANI NA TUKIKAMILISHA TARATIBU ZA AJIRA TUTAKUITA KWA SIMU!! Hapo wameshamaliza na unatoka ofisini bila hata senti moja! Hawajali utalala wapi na utakula wapi na usalama wako ni upi! na utasafiri vipi na utarudi tena vipi!! Niliposikia kwa mara ya kwanza kwa mtu aliyekuwa amepangiwa halmashauri moja huko tabora sikuamini kuwa huo ndio utaratibu!! Nilifikiri ni roho mbaya tu ya wahusika huko halmashauri ya tabora!! Juzi juzi kuna dogo alipata nafasi katika moja ya manispaa za Dar. Naye aliporipoti alipokelewa na kukaguluiwa vyeti vyake na kujaza fomu za personal particulars na kuambiwa arudi hadi atakapopigiwa simu! Ni wiki nimepita sasa na bado hajapigiwa simu na anajibanza tu kwa watun na hajui hadi lini!! Huu utaratibu una usumbufu sana!! Ninachofahamu watu huitwa wakati serikali imeshafanya maandalizi tayari ya kuwapokea na kuwahudumia!! Yaani kijana amesota na interview kibao kwa gharama kubwa sana ya nauli, malazi na chakula, sasa ameitwa kwenye ajira bado anasoteshwa! Niwaulize nyie mnaowafanyia hivyo wenzenu mnajua masaibu wanayopambana nayo wanaposubiria? Wengine wanalala kwenye vituo vya mabasi kwa kukosa pesa za gesti na nauli ya kurudi tena nyumbani hawana! Tafadhali angalau siku wanaporipoti wapeni zile posho za kujikimu zilizopo kisheria ili ziwalinde wanaposubiria!
Kwanza inaonesha kuwa hujasoma andiko langu. Maana ungesoma ungejua kuwa ninaongea niliyoyaona kwa waajiriwa wapya! Kwa taarifa yako mimi ni mtumishi wa umma mstaafu!! Ninaandika hapa kwa manufaa mapana ya watanzania wanaonyanyasika kwenye ajira mpya!! Nimeandika kwa kirefu ili kutoa picha halisi ya tatizo. Shida ni kwamba kuna vwatu ni wavivu hata kusoma nusu ukurasa tu, wanaona ni taabu!! Ila kitu kizuri ni kwamba wewe ni mvivu pekee kati ya wasomaji karibia kama 40 hivi waliochangia kwenye uzi huu!! Jitafakari!!Aisee, uandishi huu...
Ulipangiwa wapi Mzee?
USHAURI: Rekebisha andiko lako. Ni refu na ingependeza likawa na paragraphs
I'm sorry if I have offended you anyway..
Kukiwa hakuna ajira kelele mkipata kelele. Mama kanyaga twende