Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Hivi wewe unamiliki hata pikipiki! Kwani adhabu za fine wanazotoza zinatokana na mwendo kasi pekee? Huna habari kuwa baadhi ya makosa wanayotoza fine ni kutokana na tafsiri potofu ya sheria?Lakini pia madereva wengi hawataki kufuata sheria za usalama barabarani.
Kwanini mnaendesha magari kwa mwendokasi?
Mwendokasi ni kosa la kisheria.
Hivi mnapataga muda wa kujitafakali kuhusu maisha?
Hivi mnawapenda wategemezi wenu?
Hata kama ninyi wenyewe pengine mmefika pa kujikataa na kwamba chochote kikitokea hamna cha kupoteza , Je vipi kuhusu wategemezi wenu hamna huruma nao? Mliwazaa waje wateseke wakose mahitaji ya msingi?
Maisha ya siku hizi siyo ya kutegemea ndugu akulelee mwanao wakati wake analea kwa mbinde.
Tutafakali zaidi.