Kero za kudate mume wa mtu

huu uzi una mambo ya wakubwa sana nitapofuka
 
Yaani wewe hujatofautiana sana na watoa comments
Waislam na wale wengine don't care wanamwambia shikilia hapohapo
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-065946.jpg
    346.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240921-065844.jpg
    348.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240921-065714.jpg
    371.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240921-065810.jpg
    340.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240921-065709.jpg
    383 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240921-065635.jpg
    328.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240921-065410.jpg
    366.3 KB · Views: 4


Ndio umeamua kuja kunisema huku
 

Attachments

  • IMG_20240909_144841.jpg
    60.1 KB · Views: 5
Na kila akitaka kutoka anashindwa
Shida mpya inainuka

Nadhani atafute shughuli ya kumuwezesha kutimiza mahitaji yake
Yeye ni mateka,na itachukua muda kujitambua kama ni mateka...si unajua yale mafundisho ya kwamba kuna mtu unatenda dhambi hiyo hiyo kila siku ukimaliza unajuta,huna amani ila huwezi kuacha,hapo maana yake wewe uko gerezani
 
Then ukamtelekeza Na mtoto wake
 
🤣🤣🤣ni kweli ulikuwa una date mdogo wake au uliamua kumchanganya adui?
 
Mmh sawa Demi!maana wewe halmashauri yako ya kichwa inaendaga anticlockwise
 
Anaongea tu huyo 🤣 kodi ikilipwa hakatai
Eti hadi kamuoa hajagundua kama umri tofauti kwelii?😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…