Kero za meseji taka (spams) kampuni za simu muwe na utaratibu kupata ridhaa kutoka kwa mtumiwaji

Kero za meseji taka (spams) kampuni za simu muwe na utaratibu kupata ridhaa kutoka kwa mtumiwaji

Chagga King

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
1,866
Reaction score
1,076
Kumekuwa na tabia ya kampuni nyingi za simu kuingia ubia na baadhi kampuni ambazo wamekuwa wanatuma meseji taka mbalimbali mara kubeti, bahati nasibu, n.k. kwenda kwenye namba za wateje bila ridhaa ya wateja wenyewe.

Nasema ni kero kwakuwa, unaweza ukakuta kwenye simu yako msg kama 10 zimeongozana na kila moja ikikutaka ama u bet au ucheze mchezo wa bahati nasibu, kiukweli hii sio sawa kabisa, kwani utaratibu wa hv vitu ni lazima mteja kwa ridhaa yake ajisajili ili kupata hizo jumbetaka (spams).

Huwa zinakera sana hasa pale umekaa kwa tension unasikilizia ujumbe muhimu, mara inaingia msg na ww kwa haraka unadhani ni ujumbe fulani (kama muamala) utakuwa umeingia kwenye simu yako, mara paap unakutana na ujumbe unakuambia "HONGERA UMECHAGULIWA KUSHINDA MIL 20, WEKA BUKU TU UINGIE KWENYE DROO" seriously!? This is very disturbing and disgusting ever.

Kampuni za simu tunaomba mtuondolee hii kero kwa kuwa nyie ndio mnaohusika na kunufaika na hizi kero tunazozipata, na ndio nyie pia mnaotoa namba zetu za simu, hili ni kosa, ipo siku mtaburuzwa mahakamani kwakuwa kuna wakati hizi jumbe taka zinaleta madhara kwa mtu, hasa mshtuko.
Screenshot_20221114_140833.jpg
Screenshot_20221114_140821.jpg
 
Kuna dada aliwapigia wakamwambia hawawezi kuacha kutuma, kama hazitaki afute
Dah! Mi waliniambia nijitoe, nikamuuliza nijitoe kivipi wakati mi sikujiunga, akasema wao hawahusiki so niipigie simu kampuni husika ndio waniondoe, nikagundua hili suala inabd vyombo vya sheria viingilie, so kila nikipata ujumbe kama hizo huwa naziblock hapohapo.
 
Dah!, Mi waliniambia nijitoe, nikamuuliza nijitoe kivipi wakati mi sikujiunga, akasema wao hawahusiki so niipigie simu kampuni husika ndio waniondoe, nikagundua hili suala inabd vyombo vya sheria viingilie, so kila nikipata ujumbe kama hizo huwa naziblock hapohapo
Niliwapigia wakanambia eti Mimi mwenyewe ndo nimejiunga. Nikawambia sijajiunga. Wakasema sisi hatujakuunga. Nikawambia now Niko porin. Nikitoka naenda kuwafungulia kesi ya usumbufu mahakaman. Wakaondoa chapu. Ni wapuuzi kweli
 
Kumekuwa na tabia ya kampuni nyingi za simu kuingia ubia na baadhi kampuni ambazo wamekuwa wanatuma meseji taka mbalimbali mara kubeti, bahati nasibu, n.k. kwenda kwenye namba za wateje bila ridhaa ya wateja wenyewe.

Nasema ni kero kwakuwa, unaweza ukakuta kwenye simu yako msg kama 10 zimeongozana na kila moja ikikutaka ama u bet au ucheze mchezo wa bahati nasibu, kiukweli hii sio sawa kabisa, kwani utaratibu wa hv vitu ni lazima mteja kwa ridhaa yake ajisajili ili kupata hizo jumbetaka (spams).

Huwa zinakera sana hasa pale umekaa kwa tension unasikilizia ujumbe muhimu, mara inaingia msg na ww kwa haraka unadhani ni ujumbe fulani (kama muamala) utakuwa umeingia kwenye simu yako, mara paap unakutana na ujumbe unakuambia "HONGERA UMECHAGULIWA KUSHINDA MIL 20, WEKA BUKU TU UINGIE KWENYE DROO" seriously!? This is very disturbing and disgusting ever.

Kampuni za simu tunaomba mtuondolee hii kero kwa kuwa nyie ndio mnaohusika na kunufaika na hizi kero tunazozipata, na ndio nyie pia mnaotoa namba zetu za simu, hili ni kosa, ipo siku mtaburuzwa mahakamani kwakuwa kuna wakati hizi jumbe taka zinaleta madhara kwa mtu, hasa mshtuko.View attachment 2416330View attachment 2416332
Mimi hua na highlight hiyo text napiga block naona siku hizi usumbufu umepungua hata kanisani, mahakamani au msikitini niikiingia na simu hua haisumbui tena
 
Mimi hua na highlight hiyo text napiga block naona siku hizi usumbufu umepungua hata kanisani, mahakamani au msikitini niikiingia na simu hua haisumbui tena
I do the same, nimepumzika kwa sasa
 
Back
Top Bottom